Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako afuta posho za kusahisha mitihani ya Mock na NECTA

Jaman walimu mimi nadhani FUKU approach hapa ndo inatakiwa kutumika. FUndisha Kadri Unavyolipwa. Chukua kile ulipwacho then kifanyie CBA tafuta point of optimality then invest accordingly hapo hutahitaji kupigizana kelele na mtu asiekujali.
 
Professor of what?
Kama ni hivyo basi kila shule iwe na mitihani yake na isahihishwe na walimu wahusika. Kusiwe na mtihani wa taifa.
Posho zote zifutwe kwa wafanyakazi wa idara zote, kuanzia wabunge na mawaziri, hata kama ni safari, kama ni ya kikazi wasilipwe.
Aanze kujifutia posho yeye kwanza
 
Hii serikali ni ya kikei sana..hivi waalimu watakuwa na moyo wa kutufundishia watoto wetu shuleni kwa mwendo huo
 
Nina nyoto au ndo ukweli? Tulieni dose iwaingie sawa sawa
Acha kuwadhihaki walimu. Wanafanya kazi kubwa
Eti matunda!!!! fild zingine mbona hamzigusagi ovyo ovyo,.....

Futeni basi na hizi posho kwani ni moja ya sehemu ya majukumu ya kazi ya wapokea posho hizo.........

a) posho za wabunge
b) posho za madiwani
c)posho za vikao vya halmashauri na wilaya
d) posho za maaskari pale wanapo safirisha wafungwa
e)posho za madaktari na wauguzi
d) posho za majaji, mahakimu na TRA

Field ya ualimu ndio fild pekeee ambayo mwalimu anakatwa mshahara wake kuchangia darasa, dawati, na meza yake ya kukalia ofisini!!!

haijawai tokea askari kukatwa mshahara akachangia kununua pingu, kupanua gereza ama godoro la kulalia mfungwa!!!

haijawai tokea daktari akakatwa mshahara kununua kitanda, godoro ama shuka la mgonjwa

mwaka jana waalimu hawa hawa walisimamia mitihani ya kidato cha nne, bila aibu serikali hii imewadhulumu na mpaka leo hijawai walipa!!! nabungeni walikiri kuwa hawaja walipa lakini wiki mbili zilizo pita waziri uyo uyo kaja na takwimu kuwa kesha walipa wooote !!!!


namshukuru mungu aliye nipa nguvu kuachana na kazi na nawapa pole mlio baki humo jamani!!! nina miaka miwili sasa nipo uraiani natafuta kwa jasho langu!!!


kazi kama imelaaniwa vile!!!! kila kiongozi ameshawaona waalimu kama maboya!!!! ni vitisho, dharau na kejeli kila kukicha!!!

waalim nao kutokana na umaskini walio nao wanshindwa kupaza sauti kuyakemea haya, wanagugumia myoyoni na mgomo wao wanauamishia kwa watoto!!!!

sijawai kuona kazi ya ajabu ajabu kama ya ualimu nchin TANZANIA!!! hawa watu sio lazima muwape mishahara mikubwa!!! hata mkiwaheshimu tu na kuwa aknoweldge ni mshahara tosha!!!!

mnawafanya kama watoto!!! madaraja kuwapandisha mpka mtake nyinyi, mwenge ukipita mnawakata kimyakimya,!!! hamna aibu....????

skuizi wengi wamekua wajasiliamali na kufanya ualimu kama sorce yakupata mikopo kufanya biashara zao binafsi na sio kufundisha!!! tafuta mwalimu yeyote asiye jishughulisha, yaani awe yeye na mshahara mshahara na yeye hana tofauti na mtu asiyenakazi!!! wengine msio kwenye fild mtasemahana malengo!!!


huu ni upuuzi !!!!!!!!!!

shame on you AFRIKA kwa kupuuza elimu!!!!!! aibu kwako waziri kwa kuwa mwalimu unae waumiza waalim wenzako!!!! hemu waeshimu kidogo icho unacho waondolea ndio una wa demolorize totaly!!!
Mwalimu gani ameambiwa achangie meza yake ya kukalia? Pia naomba uache mara moja kuwakatisha wenzako tamaa. Naonba ufahamu kuwa serikali hii inawapenda wafanyakazi wake wote ikiwemo na walimu. Tena walimu ni miongoni mwa wafanyakazi wanaolipwa vizuri katika nchi hii. Nashauri walimu na wafanyakazi mtumie muda wenu wa ziada kujishughulisha na kazi na shughuli za uzalishaji Mali ili muweze kukidhi mahitaji yenu mengine.
Hata hivyo naomba mfahamu kuwa wafanyakazi wote wa umma hawafiki laki 6. Watanzania wapo zaidi ya milioni 40. Serikali hii Ipo kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wote siyo wafanyakazi pekee.
Hapa ni kazi tu!
Asanteni.
 
Da! Hauko serious kwani mwalimu hakeshi anaandaa somo au kujaribu kupitia masomo kujiweka vizuri,kazi ya ualimu inatumia akiri sana,pia ndo chanzo cha wataalamu wote hata hao maaskari wamefundishwa na waalimu,tujaribu kuwaheshimu.
 
Acha kuwadhihaki walimu. Wanafanya Nazi kubwa

Mwalimu gani ameambiwa achangie meza yake ya kukalia? Pia naomba uache naea moja kuwakatisha wenzako tamaa. Naonba ufahamu kuwa serikali hii inawapenda wafanyakazi wake wote ikiwemo na walimu. Tena walimu ni miongoni mwa wafanyakazi wanaolipwa vizuri katika nchi hii. Nashauri walimu na wafanyakazi mtumie muda wenu wa ziada kujishughulisha na kazi na shughuli za uzalishaji Mali ili muweze kukidhi mahitaji yenu mengine.
Hata hivyo naomba mfahamu kuwa wafanyakazi wote wa umma hawafiki laki 6. Watanzania wapo zaidi ya milioni 40. Serikali hii IPO kwa ajili ya kuwatumikia wananchi wrote siyo wafanyakazi tu.
Hapa no kazi tu.
Asanteni.
Wala siwadhiki bali mnaugua ugonjwa wa kutojiamini kwasbbu ya uwezo wenu wa ufahamu.
 
nlitegemea wabane matumiz af pesa zpelekwe kwenye sekta ya elmu. kuboresha maslah ya watoa elim na mazngra ya elm sas nao wanakamuliwa polen walimu
 
Wala siwadhiki bali mnaugua ugonjwa wa kutojiamini kwasbbu ya uwezo wenu wa ufahamu.
Binti ni vyema ukijiheshimu. Namna ya serikali kukukamata ipo. Serikali ina mkono mrefu. Wewe hukulazimishwa kufanya kazi serikalini na wala hakuna aliyelazimishwa.
 
shida sana,kumtukana mtu usiyemjua,nikama unajitukana mwenyewe,kuna kila dalili wakati unazaliwa ulitanguliza MIGUU badala ya kichwa
Yaani kuna mtu kaheuka utafikir mimi ndo ndalichako....aisee kamtafute huko huyo k.i.l.aza mwenzako.mimi kukusifia isiwe ndo mwanzo wa kupandisha nyeg@...kama hasira mpelekee aliyekushauri kuwa mwalimu idiot
 
........Kuna Watu watazimia Jamanii maana daah ! hali inazidi kuwa mbaya kila kukicha ....ila itasaidia maana kuna walimu wana zaid ya miaka 10 kazini hawajawahi kusimamia mitihani kwa sababu ya upendeleo wa maafisa.wajigawie posho sasa tuone
Maafisa unamaanisha wakuu WA shule? Maana mapendekezo ya nani akasahihishe yanafanywa na wakuu wa shule sio maafisa. Unalitambua hilo?
 
shida sana,kumtukana mtu usiyemjua,nikama unajitukana mwenyewe,kuna kila dalili wakati unazaliwa ulitanguliza MIGUU badala ya kichwa
Unalaana wewe unamtukanaje babaako ...hujui kuwa bibiyako alipata kazi sana kukupatia baba...naona mamaako kakufunza ujinga..ubarikiwe sana kijana..
 
Back
Top Bottom