NECTA Mjitafakari sana: Awamu ijayo tungeni mitihani tofauti tofauti kulingana na aina za shule kwa mizania yenu

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,417
11,077
Hello walimwengu.

Nimesitika sana na kauli yenye ufinyu wa fikra na mizania mbovu sana, dhana yao ya utofauti wa mazingira ya kusomea ya wanafunzi na mashule mbalimbali mbona haijatumika kutunga mitihani tofauti tofauti kama wanalijua hilo, je hawajui kuna shule wanafunzi wanafika form4 bila kusoma syllabus za form 3 na 4 Kwa masomo yote, kukosa waalimu wa masomo mengi, kufundishwa na walimu wenye msongo wa mawazo, manyanyaso, kudhulumiwa, kuishi mazingira duni, na hao hao NECTA kuwadhulumu waalimu walosahisha mitihani posho zao, kama mwalimu anaesahisha paper za form 4 anadhulumiwa na NECTA tutarajie nini.

Kuna mdau alipandisha thread hapa jukwaani ya walimu walioenda marking ya paper ya form 4 kudhulumiwa perdiems /posho zao.

NECTA wajitafakari wasitoe kauli za kijinga na kizuzu. Wajifunze kutoa kauli huishi pana kwenye kujitafakari.

NECTA: Next time watunge mitihani tofauti tofauti kulingana na aina za shule.

Ni hayo tu

Wadiz
 
Hello walimwengu.

Nimesitika sana na kauli yenye ufinyu wa fikra na mizania mbovu sana, dhana yao ya utofauti wa mazingira ya kusomea ya wanafunzi na mashule mbalimbali mbona haijatumika kutunga mitihani tofauti tofauti kama wanalijua hilo, je hawajui kuna shule wanafunzi wanafika form4 bila kusoma syllabus za form 3 na 4 Kwa masomo yote, kukosa waalimu wa masomo mengi, kufundishwa na walimu wenye msongo wa mawazo, manyanyaso, kudhulumiwa, kuishi mazingira duni, na hao hao NECTA kuwadhulumu waalimu walosahisha mitihani posho zao, kama mwalimu anaesahisha paper za form 4 anadhulumiwa na NECTA tutarajie nini.

Kuna mdau alipandisha thread hapa jukwaani ya walimu walioenda marking ya paper ya form 4 kudhulumiwa perdiems /posho zao.

NECTA wajitafakari wasitoe kauli za kijinga na kizuzu. Wajifunze kutoa kauli huishi pana kwenye kujitafakari.

NECTA: Next time watunge mitihani tofauti tofauti kulingana na aina za shule.

Ni hayo tu

Wadiz
Itafika kila mkoa, wilya, kata mtaa nk watajitungia mitihani yao! Nchi imeshapoteza mwelekeo!
 
Hello walimwengu.

Nimesitika sana na kauli yenye ufinyu wa fikra na mizania mbovu sana, dhana yao ya utofauti wa mazingira ya kusomea ya wanafunzi na mashule mbalimbali mbona haijatumika kutunga mitihani tofauti tofauti kama wanalijua hilo, je hawajui kuna shule wanafunzi wanafika form4 bila kusoma syllabus za form 3 na 4 Kwa masomo yote, kukosa waalimu wa masomo mengi, kufundishwa na walimu wenye msongo wa mawazo, manyanyaso, kudhulumiwa, kuishi mazingira duni, na hao hao NECTA kuwadhulumu waalimu walosahisha mitihani posho zao, kama mwalimu anaesahisha paper za form 4 anadhulumiwa na NECTA tutarajie nini.

Kuna mdau alipandisha thread hapa jukwaani ya walimu walioenda marking ya paper ya form 4 kudhulumiwa perdiems /posho zao.

NECTA wajitafakari wasitoe kauli za kijinga na kizuzu. Wajifunze kutoa kauli huishi pana kwenye kujitafakari.

NECTA: Next time watunge mitihani tofauti tofauti kulingana na aina za shule.

Ni hayo tu

Wadiz
We kinachokukutoa povu ni nini NECTA km taasis wamebadilisha utaratibu wao we wasumbuliwa na nini?. Kuna maslahi yako yameguswa? Mtihani utakuwa moja maana NECTA ni moja na Taifa ni moja ule ni mtihani wa Taifa. We somesha mtoto wako shule unayotaka apate A zote ni kwa faida yako, mpaka utangazwe? Kuna ni nini hapo. Tangazeni shule zenu wenyewe msitegemee NECTA iwatangazie najua mliifaidi sana NECTA. Nampongeza sana yule mtendaji mkuu wa NECTA kwa kuondoa ule upuuzi uliojaa ubaguzi.
 
Mitihani hatuiwezi

Sisi tunajuwa kukata mauno tu

Mtusamehe....

Ova
Screenshot_20230130_111737_YouTube.jpg
 
We kinachokukutoa povu ni nini NECTA km taasis wamebadilisha utaratibu wao we wasumbuliwa na nini?. Kuna maslahi yako yameguswa? Mtihani utakuwa moja maana NECTA ni moja na Taifa ni moja ule ni mtihani wa Taifa. We somesha mtoto wako shule unayotaka apate A zote ni kwa faida yako, mpaka utangazwe? Kuna ni nini hapo. Tangazeni shule zenu wenyewe msitegemee NECTA iwatangazie najua mliifaidi sana NECTA. Nampongeza sana yule mtendaji mkuu wa NECTA kwa kuondoa ule upuuzi uliojaa ubaguzi.
Hizi hasira za panya angalia wigo wa mtazamo ama ushauri, wasiishie hapo bali watende haki hata kwa shule ambazo hazina maandalizi ya kutosha kwa wahitimu kupata alama nzuri, watoto wengi wanafeli shule kwa kukosa kupewa dose stahiki kukidhi kufaulu mtihani
 
Mungu atupe nguvu na hekima kila mmoja akemee hii hali mbaya ya kitaaluma hapa nchini
 
Hakuna namna NECTA iache kulalamina ipanue goli kwa Shule za Serikali, ili kuweka mizani sawa kati ya private na public school
 
Back
Top Bottom