kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Hivi unamwamini sana yule mama eti!! Kuna siku utaacha tu. Japo cna uhakika na andiko la mleta mada.Hii taarifa kamwe haiwezi kua ya kweli...marking ni jambo sensitive sana,sizani km Prof Ndalichako anaweza kuliingizia mzaha,huenda mleta mada umemnukuu vibaya..