MADIBA MANDELA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 503
- 398
Dah we ndo huna point kabisa ndugu yaani posho za watu kufanya kazi zao nazo wanyimwe coz ya kubana matumizi vipi hao wabunge wanaolipana posho ile sio kazi yao? ebu tujaribu kuwaza tuache uvivuNauli ya kwenda na kurudi utapatiwa mwalimu. Pia naomba ufahamu kuwa serikali imeamua kubana matumizi na kupeleka pesa itakayopatikana kwenye miradi yaa maendeleo. Naomba tuwe wavumilivu na tuunge mkono nia njema ya serikali yetu. Naomba ifahamike kuwa nia na malengo ya serikali mema kabisa. Inachofanya serikali si yo ukatili kama baadhi yenu mnavyofikiria. Serikali inataka kila mtanzania afaidike na matunda ya serikali yake. Wakati utaongea. Mtayaona hayo matunda kwa macho yenu. Asanteni.