Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako afuta posho za kusahisha mitihani ya Mock na NECTA

Nauli ya kwenda na kurudi utapatiwa mwalimu. Pia naomba ufahamu kuwa serikali imeamua kubana matumizi na kupeleka pesa itakayopatikana kwenye miradi yaa maendeleo. Naomba tuwe wavumilivu na tuunge mkono nia njema ya serikali yetu. Naomba ifahamike kuwa nia na malengo ya serikali mema kabisa. Inachofanya serikali si yo ukatili kama baadhi yenu mnavyofikiria. Serikali inataka kila mtanzania afaidike na matunda ya serikali yake. Wakati utaongea. Mtayaona hayo matunda kwa macho yenu. Asanteni.
sidhani kama mwalimu aliye kijijini anayefundisha masomo yote kuanzia la kwanza mpaka la saba atakuelewa.. lakini time will tell
 
Wizara ya elimu sayansi na teknolojia imefuta posho ambazo walikuwa wanalipwa walimu pindi wako kwenye kazi ya kusairisha mitihani kama pesa yao ya kujikimu badala yake serikali imedai kuwa zoezi hilo ni sehemu ya kazi yao wakati huo posho hizo zilikuwa zinawasaidia walimu kujikimu pindi walipokuwa kwenye zoezi hilo.

Pia Prof. Joyce Ndalichako amesema yupo mbioni kuisuka wizara ya Elimu Upya.

Chanzo: Magazeti ya leo
Not Offical confirmed information
 
Wizara ya elimu sayansi na teknolojia imefuta posho ambazo walikuwa wanalipwa walimu pindi wako kwenye kazi ya kusairisha mitihani kama pesa yao ya kujikimu badala yake serikali imedai kuwa zoezi hilo ni sehemu ya kazi yao wakati huo posho hizo zilikuwa zinawasaidia walimu kujikimu pindi walipokuwa kwenye zoezi hilo.

Pia Prof. Joyce Ndalichako amesema yupo mbioni kuisuka wizara ya Elimu Upya.

Chanzo: Magazeti ya leo
Basi na Wabunge wasilipwe sitting allowance
 
Safi sana sasa afute na mishahara kabisa aweke tu chakula cha mchana shuleni ajenge mabweni ya walimu karibu na shule tuchape kazi aisee "haoa kazi tu"
 
Ni muda wa kufanya kweli...... Kupatwa kwa elimu
Walimu muda ndo huu
Walimu tuna hali ngumu, WALIMU.

Na sisi tuna umuhimu, WALIMU.

good morning teacher! Goodmorning Sir! Kunuka zeze!

MWALIMU hicho kisambaa..! Nimechanganyikiwa mpaka naongea kisambaa darasani..!

By Late Johnwalker n Mkoloni. Poleni sana walimu.
 
ila yeye pesa na posho zake zinaingia kama kawaida ... au sio? za uwaziri na bungeni Dodoma za vikao .au sio?
kama yeye ni mzalendo kweli si angeanza na kufuta posho zake?...
kwa hili la waalimu ..amebugi sana
 
Walimu tuna hali ngumu, WALIMU.

Na sisi tuna umuhimu, WALIMU.

good morning teacher! Goodmorning Sir! Kunuka zeze!

MWALIMU hicho kisambaa..! Nimechanganyikiwa mpaka naongea kisambaa darasani..!

By Late Johnwalker n Mkoloni. Poleni sana walimu.
Pole ya nini? Naumwa?
 
Wizara ya elimu sayansi na teknolojia imefuta posho ambazo walikuwa wanalipwa walimu pindi wako kwenye kazi ya kusairisha mitihani kama pesa yao ya kujikimu badala yake serikali imedai kuwa zoezi hilo ni sehemu ya kazi yao wakati huo posho hizo zilikuwa zinawasaidia walimu kujikimu pindi walipokuwa kwenye zoezi hilo.

Pia Prof. Joyce Ndalichako amesema yupo mbioni kuisuka wizara ya Elimu Upya.

Chanzo: Magazeti ya leo
Inasikitisha sanaaa!!!
 
Kazi sanaaa!!
Motivation inasomwa Chuoni kwenye Madarasa.
Mazingira halisi, Inakatazwa!!!
 
Hii taarifa kamwe haiwezi kua ya kweli...marking ni jambo sensitive sana,sizani km Prof Ndalichako anaweza kuliingizia mzaha,huenda mleta mada umemnukuu vibaya..
 
Back
Top Bottom