Watu wa jf (hasa mmu) wengi "wezi"

0004.gif
0001.gif
0020.gif
0001.gif
0009.gif

0013.gif
0009.gif
0019.gif
0019.gif
0021.gif



0019.gif
0015.gif
.....................................................

aisee nilidhani umeniandikia mimi!
 
Kuna watu kila thread yeye anacomment kuanzia asubuhi hadi jioni. Utakuta kwenye thread moja mtu ana comment zaidi ya 20, halafu amecoment thread 20 au 30. kwa wastani kila dakika anakuwa amecoment kitu. Kazi anafanya saa ngapi? naamini wengi wameajiliwa kwa mantik hiyo wanaiba muda wa mwajir na hivyo wanalipwa malipo ambayo hawastahili. huu ni wizi mkubwa.

hata kama umejiajir, lazima ulipwe kutokana na kazi unayoifanya. sasa kama siku nzima wewe unacomment mmu hiyo kazi unafanya saa ngapi? pia mnalipwa malipo haramu. na huu pia ni ufisadi ambao wengi humu wanajifanya kuupinga hali wao ni mafisadi wakuu. kwa mtindo huu uzalendo uko wapi. nchi hii itaendelea kweli.

Fanyeni kazi badala ya kushinda kupiga umbea mitandaoni.

Ngumu kumeza lakini ukweli ndio huo.

Kiritimba,
25.11.2011

Watu wanatumia mitandao kulisha familia zao na sio makuli kama unavyo fikiria kalaghabaho
 
Watu wanatumia mitandao kulisha familia zao na sio makuli kama unavyo fikiria kalaghabaho

Acha hizo mkuu.
najua wapo baadhi ambao kazi zao ni mitandao related.
lakini kuna watu kibao humu mi nawajua wameajiliwa lakini muda wote wamo mmu.
sizungumzi kwa kuhisi mkuu, nina uhakika.
 
yaelekea uwelewa wako uko chini sana, kama m2 hayupo busy kiivo au unadhani we ulivyo kwa wahindi ndo kila m2?? mwngne kajiajiri!

nani aliyekuambia kuwa ukijiajiri ndo utumie 100% ya muda wako kwenye social forums 24/7. Huo pia ni wizi kwa sababu utakua unapata pesa ambayo hujafanyia kazi.
 
Kwani huyu sio aliaga jukwaa hili jana kwamba hatorudi tena? na kama unauwezo wa kuwaona wenzako kwamba wanashinda kwenye mtandao wewe huwa unakuwaga wapi? kwenye makalio au mtandaoni? hizi ni thread za kipuuzi kutoka kwa mpuuzi.

we masaburi kweli.
waziri mkuu wa uingereza anakuita akakupe pesa ya bure. Si hutaki kufanya kazi..!
 
Hata mimi nashangaa leo karudi kufanya nini tena hapa. Hajui pia wengine hii ndio ajira yao?

najua kuna watu hii ni ajira, lakini si wote. wengi wao ni wezi wa muda, aidha wanaibia watu wengine au wanajiibia wenyewe.
 
Asante kwa kuliona hilo,lakini wengine wamejiajiri ,Laptop zipo full mtandao ..Na JF ni kisima cha burudani
:focus:


hata kama wamejiajili,haiwezekani watumie muda wote 24/7 mtandaoni. watakuwa wanapata pesa haramu yaani hawajaifanyia kazi.
 
Tutabisha lakini me binafsi naona ni ukweli,tena hz international companies wameshaanza kulalamika wa tz tunatumia muda mwingi kwa social sites kuliko kufanya kazi na tunapenda kutoa excuse kibao


wana macho lakini watajifanya hawaoni...
wana maskio lakini watajifanya hawasikii...
kwa sababu tu wameshikwa kunako ukweli.
 
Kiritimba umeingia porini kinyama, kama umegundua thread nyingi zinazohusu mahusiano na jamii hazihusishi uchambuzi yakinifu na hazibore mara nyingi na hivyo kufanya urahisi wa ku comment.
Thread nyingi ndefu zenye uchambuzi hudorora na kusi appear automatically. Hii inaweza kuwa ni kutokana na urefu wa mada yenyewe na kumfanya msomaji kushindwa kuendelea aidha kwa sababu anatumia simu au uhaba wa muda.
Hivyo basi, kushinda watu majukwaani haimananishi hawafanyi kazi, kila kitu ni kujiwekea taratibu tu mkuu.

na hiyo concentration wanaitoa wapi kama kweli wapo bize!
 
najua kuna watu hii ni ajira, lakini si wote. wengi wao ni wezi wa muda, aidha wanaibia watu wengine au wanajiibia wenyewe.
hebu tujuze cuz leo post yako ya kwanza umeipost leo saa 10:25 na mpka sasa hivi ni saa 8 kasoro upo active kwenye hii thread. umetumia zaidi ya masaa matatu hapa JF! Huo muda umeupata wapi?
 
hebu tujuze cuz leo post yako ya kwanza umeipost leo saa 10:25 na mpka sasa hivi ni saa 8 kasoro upo active kwenye hii thread. umetumia zaidi ya masaa matatu hapa JF! Huo muda umeupata wapi?

angalia vizuri mkuu, ndo kwanza nimeingia sema niko fast tu.
hapa kazini huwa kuna break katika muda huo nilioposti bandiko la kwanza, na sa hz nipo breki ya lunch. kwa hiyo huwa natembelea humu wakat wa breki tu tofauti na ninyi ambao muda wote mpo humu (huwa nasoma comment zenu jion nikimaliza kazi)
 
Back
Top Bottom