Watu wa jf (hasa mmu) wengi "wezi"

Huku maraha tu, support yanini? wote wizi tu.

Na wewe ukiwemo,maana na uzee wote huo unavaamiwani unakodolea macho monitor,halafu unawasubiria wajukuu wako wakuletee hela ya vifurushi,wakikutosa unaanza kung'aka!
 
Na wewe ukiwemo,maana na uzee wote huo unavaamiwani unakodolea macho monitor,halafu unawasubiria wajukuu wako wakuletee hela ya vifurushi,wakikutosa unaanza kung'aka!

Wajukuu bado wadogo, wenye kazi wanangu na Baba lao. Lakini MashaAllah Mungu awazidishie hawaniangushi hata sijui hivyo vifurushi wanavilipia saa ngapi, maana nna Broad Band ya TTCL inaunganisha nyumba nzima sijui wamekorokocha nini huko wewe ukija hata mgeni ukitaka mtandao unawasha komputa yako unaingia tu, kwa raha zako, kuna mmoja akanambia mama hii usiingie haina "privacy" akaniwekea sijui kifurushi cha BB cha Airtel, sijui mwengine akaniwekea kifurushi cha modem ya TIGO kwenye laptop, sijui juzi mmoja kanizawadia ka Tablet ka Ipad na chenyewe kakaunganisha na Zantel ya post paid, alkhasir yaani Mungu awazidishie na anilindie na niwatangulie mbele ya haki, wanashindana kumlea mama yao. Umeme ukikatika narukia BB, ikiisha chaji ka Ipad2, hako ndio kiboko yao. Mara sijui "solar charger" almuhim sina la kukwambia.
 
Mimi nipo safarini natoka ukelewe naenda dar nikifika dar naenda mtwara so mimi simo hata hivyo natumia simu. Hata hivyo mimi nakubaliana na watu kushinda jf coz ni mazoezi.siku tukilianzisha/tukikinukisha kuhusu maandamano asubuhi hadi jioni tupo barabarani kila siku na hapo ndo utashangaa tuna kula nini na saa ngapi. mia

teh teh duh mkuu unawaza maandamano tu. mia
 
siku moja jioni niko home nilikuwa napita jukwaa hili......nikawa napitia thread moja baada ya nyingi nilichoshangaa ni kwamba kuna memba mmoja huwa anakuwa wa kwanza kujibu thread.....yaai akichelewa sana mtu mwingine akajibu anayefuatia ni yeye.....halafu kuna kuwwa nakama mtirirko flani hivi wa baadhi ya watu ambao ni commoni sana ndiio maana juz kina memba mmoja huwa anaweka kambi yake huku sasa hiyo juzi akawa jukwaa la siasa...kwenye ile thread ya kizushi iliyoletwa kule ikisema lowasa na chenge wametupwa nje na ccm.....watu walishangaa sana kumuona huyo memba kule..wakawa wanamuuliza hivi..''DA'' na wewe unapenda jukwaa la siasa.????........
 
siku moja jioni niko home nilikuwa napita jukwaa hili......nikawa napitia thread moja baada ya nyingi nilichoshangaa ni kwamba kuna memba mmoja huwa anakuwa wa kwanza kujibu thread.....yaai akichelewa sana mtu mwingine akajibu anayefuatia ni yeye.....halafu kuna kuwwa nakama mtirirko flani hivi wa baadhi ya watu ambao ni commoni sana ndiio maana juz kina memba mmoja huwa anaweka kambi yake huku sasa hiyo juzi akawa jukwaa la siasa...kwenye ile thread ya kizushi iliyoletwa kule ikisema lowasa na chenge wametupwa nje na ccm.....watu walishangaa sana kumuona huyo memba kule..wakawa wanamuuliza hivi..''DA'' na wewe unapenda jukwaa la siasa.????........

Hivi wewe unajua sheria za JF vizuri???? Na kwani napangiwa jukwaa la kwenda??? Watu wengine bana........aahh ngoja ninyamaze.......kwani tatizo lako nini nikichangia thread???? UNACHEKESHA Source: FF
 
siku moja jioni niko home nilikuwa napita jukwaa hili......nikawa napitia thread moja baada ya nyingi nilichoshangaa ni kwamba kuna memba mmoja huwa anakuwa wa kwanza kujibu thread.....yaai akichelewa sana mtu mwingine akajibu anayefuatia ni yeye.....halafu kuna kuwwa nakama mtirirko flani hivi wa baadhi ya watu ambao ni commoni sana ndiio maana juz kina memba mmoja huwa anaweka kambi yake huku sasa hiyo juzi akawa jukwaa la siasa...kwenye ile thread ya kizushi iliyoletwa kule ikisema lowasa na chenge wametupwa nje na ccm.....watu walishangaa sana kumuona huyo memba kule..wakawa wanamuuliza hivi..''DA'' na wewe unapenda jukwaa la siasa.????........

mkuu wengi tunaingia jukwaa la siasa kila siku ,lengo ni kudadis na kuperuzz maana ukijitia kuchangia kichwa kinapata moto,kugumu sana kule,mmu ni raha mstarehe full shangwe na kucheka hadi mbavu zinauma though maudhi samtaim yapo.
 
siku moja jioni niko home nilikuwa napita jukwaa hili......nikawa napitia thread moja baada ya nyingi nilichoshangaa ni kwamba kuna memba mmoja huwa anakuwa wa kwanza kujibu thread.....yaai akichelewa sana mtu mwingine akajibu anayefuatia ni yeye.....halafu kuna kuwwa nakama mtirirko flani hivi wa baadhi ya watu ambao ni commoni sana ndiio maana juz kina memba mmoja huwa anaweka kambi yake huku sasa hiyo juzi akawa jukwaa la siasa...kwenye ile thread ya kizushi iliyoletwa kule ikisema lowasa na chenge wametupwa nje na ccm.....watu walishangaa sana kumuona huyo memba kule..wakawa wanamuuliza hivi..''DA'' na wewe unapenda jukwaa la siasa.????........

Mbona hii sio issue sana..Kwa mtu anayetaka kuchangia faster anafanya hivi.

Window ya kwanza inakuwa ile ya NEW POST ...haifungi ..kila mara anai RELOAD

Then anakuwa busy na thread nyigine hata 5 kwenye window tofauti .. anachangia ... na kila mara haihitaji kufunga na kufungua window kazi yake ni RELOAD tu!!

Kwa dakika moja anweza Kuzijibu thread zote 5 au hata zaidi bila kufunga na kufugua window mpya..

Na kila aki RELOAD window ya NEW POST anaona kabisa thread mpya ..ambayo haijachangiwa ..kama anania ya kujibu kila New Thread kwa post ya kwanza ... anaweza kabisa ..akichelewa sana atajibu post ya pili au ya Tatu...

Kuona ajabu kuwa mtu alikuwa thread moja ...alafu wewe ukafungua thread nyingine ukamkuta naye kaja huko ...HAKUNA HUO UMBALI ..anacheza na FIXED window zake kadhaa kwa click RELOAD tu!! ...kama ana usongo sana ana RELOAD kila baada ya sekundi ... mwingine anakusubiria ujibu tu (yeye anajibu tayari amesha copy ..anapest..) ... then naye ana UPLOAD...

SOURCE. JAMBOFORUMS!!
 
Kuna watu kila thread yeye anacomment kuanzia asubuhi hadi jioni. Utakuta kwenye thread moja mtu ana comment zaidi ya 20, halafu amecoment thread 20 au 30. kwa wastani kila dakika anakuwa amecoment kitu. Kazi anafanya saa ngapi? naamini wengi wameajiliwa kwa mantik hiyo wanaiba muda wa mwajir na hivyo wanalipwa malipo ambayo hawastahili. huu ni wizi mkubwa.

hata kama umejiajir, lazima ulipwe kutokana na kazi unayoifanya. sasa kama siku nzima wewe unacomment mmu hiyo kazi unafanya saa ngapi? pia mnalipwa malipo haramu. na huu pia ni ufisadi ambao wengi humu wanajifanya kuupinga hali wao ni mafisadi wakuu. kwa mtindo huu uzalendo uko wapi. nchi hii itaendelea kweli.

Fanyeni kazi badala ya kushinda kupiga umbea mitandaoni.

Ngumu kumeza lakini ukweli ndio huo.

Kiritimba,
25.11.2011

We mwenyewe umepata wapi mda wa kuchunguza yote hayo na kuandika ulichoandika. Kwa hiyo na wewe ni .............!
 
Mbona hii sio issue sana..Kwa mtu anayetaka kuchangia faster anafanya hivi.

Window ya kwanza inakuwa ile ya NEW POST ...haifungi ..kila mara anai RELOAD

Then anakuwa busy na thread nyigine hata 5 kwenye window tofauti .. anachangia ... na kila mara haihitaji kufunga na kufungua window kazi yake ni RELOAD tu!!

Kwa dakika moja anweza Kuzijibu thread zote 5 au hata zaidi bila kufunga na kufugua window mpya..

Na kila aki RELOAD window ya NEW POST anaona kabisa thread mpya ..ambayo haijachangiwa ..kama anania ya kujibu kila New Thread kwa post ya kwanza ... anaweza kabisa ..akichelewa sana atajibu post ya pili au ya Tatu...

Kuona ajabu kuwa mtu alikuwa thread moja ...alafu wewe ukafungua thread nyingine ukamkuta naye kaja huko ...HAKUNA HUO UMBALI ..anacheza na FIXED window zake kadhaa kwa click RELOAD tu!! ...kama ana usongo sana ana RELOAD kila baada ya sekundi ... mwingine anakusubiria ujibu tu (yeye anajibu tayari amesha copy ..anapest..) ... then naye ana UPLOAD...

SOURCE. JAMBOFORUMS!!

Anajua hayo basi?? Kusoma hajui hata kuangalia picha hajui pia
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli. Kuna watu wengi tu hawana cha kufanya, hushinda JF KUTWA KUCHWA.
Si dhambi pia kukaa na kupost kutwa nzima hapa. Dhambi ni JE HUNA CHA KUFANYA KABISA?
Angalao wale wezi wa muda wa ofisini ambao ni wachache saaaaana.
 
Back
Top Bottom