mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
NI sahihi!
Ikulu ni mahala pakubwa na panatawaliwa na sheria. kama kosa limeonekana hakuna haja ya kutoa taarifa bali ni kukamata na kumfungulia mashitaka. ikulu inahangaika nini kutoa taarifa kwa jambo kama Hili? tunatataka taarifa kama zihusuzo kushuka kwa thamani ya shilingi mfumuko wa bei n.k