Waraka toka Ikulu: Hebu tuujadili...

For public consumption na kuweka mambo in proper perspective walivyofanya Ikulu ni sawa; BUT then kama wanadai ni jinai wamechukua hatua gani kwa mhusika au ni untouchable?
 
TAARIFA KUTOKA IKULU

Kumekuwepo na wimbi la vijana wasio waadilifu hasa kutoka jukwaa la MMU(JAMII FORUMS) wanaojinadi kumtokea na kukubaliwa mtoto wa mkuu mheshimiwa mwa#asha.tunapenda kuuarifu umma kuwa taarifa hizi si za kweli kwani mheshimiwa mwa#asha ni mdogo na anaendelea na masomo na kamwe hawezi kuwakubali warugaruga wa jf,kwanza wamezidi ujuaji sana.

IMETOLEWA NA WAZEE WA IT
MAGOGONI.

Umewaigiza vema hawa wanaoshusha hadhi ya ikulu yetu. Bila shaka kurugenzi hiyo imejaa vilaza
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,

THE STATE HOUSE,

P.O. BOX 9120,

DAR ES SALAAM.

Tanzania.
TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Katika siku chachezilizopita, Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Moses Nursery ya Yombo Vituka,Dar es Salaam, Bwana Moses Kabambara amekuwa anasambaza kadi kwa watu binafsi,makampuni, mashirika na ofisi za ubalozi zilizoko nchini akisaka michango kwaajili ya ununuzi wa madawati na ujenzi wa madarasa na uzio wa shule yake.

Katika kadi yake yakuomba michango na kwenye taarifa anazozisambaza kwenye vyombo vya habari,Bwana Kabambara anatumia jina la Mheshimiwa Salma Kikwete, Mke wa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Nembo ya Taifa kuonyesha kuwa Mheshimiwa Mama Kikwete ndiye mchangishaji na Mgeni Rasmi kwenye matembezi ya shughuli yakuchangia maendeleo ya shule yake.
Aidha, amekuwa anadai kuwa Mama Kikwete ndiye atakuwa Mgeni Rasmi kwenye shughuli hiyo.

Tunapenda kuchukua nafasi hii kuuarifu umma wa Tanzania kama ifuatavyo kuhusu suala hili:
(a) Kwamba Mama Salma Kikwete kamwe hajapata kuridhia kuwa Mgeni Rasmi katika matembelezi hayo
(b) Kwamba Mama Salma Kikwete hajapata kukubali kuwa mchagishaji ama hata mshiriki wa aina yoyote katika uchangishaji fedha kwa ajili ya shule hiyo.
(c) Kwamba Bwana Kabambara anaufanyia udanganyifu umma ili uweze kuamini kuwa Mama Salma Kikwete amekubali kushiriki katika shughuli za uchangiaji fedha shule yake.

Tunapenda kupitia taarifa hii kuutahadharisha umma kuwa macho na vitendo vya baadhi ya watu wanaotumia majina ya
Viongozi wa Kitaifa kuchangisha ama kukusanya fedha ama hata kufanya mambo mengine yenye kulenga manufaa au maslahi binafsi. Hili ni kosa la jinaimbali na kwamba vitendo vya namna hii husababisha usumbufu kwa jamii na kwa viongozi husika.

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam
.

8 Mei, 2012

Je: NI SAHIHI KWA IKULU KUTOA WARAKA WA AINA HII?




Hapo kwenye RED. Mama Salma ni kiongozi wa KITAIFA?
 
Hili ni tangazo la nyanya/jojo, kwani walishindwaje kumkamata badala ya kutoa tamko as if huyo Moses ni Al-qaida hakamatiki?
 
Katika mambo yote yanayohitaji maelezo kutoka Ikulu hili ndilo la priority?
 
TAARIFA KUTOKA IKULU

Kumekuwepo na wimbi la vijana wasio waadilifu hasa kutoka jukwaa la MMU(JAMII FORUMS) wanaojinadi kumtokea na kukubaliwa mtoto wa mkuu mheshimiwa mwa#asha.tunapenda kuuarifu umma kuwa taarifa hizi si za kweli kwani mheshimiwa mwa#asha ni mdogo na anaendelea na masomo na kamwe hawezi kuwakubali warugaruga wa jf,kwanza wamezidi ujuaji sana.

IMETOLEWA NA WAZEE WA IT
MAGOGONI.

Ha ha ha ha haaaaaaaaaa
hii nayo kali...kama tunaruhusiwa kuiuliza maswali kurugenzi...mmempeleka shule ipi atakapoweza kufaulu saivi?
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,

THE STATE HOUSE,

P.O. BOX 9120,

DAR ES SALAAM.

Tanzania.
TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Katika siku chachezilizopita, Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Moses Nursery ya Yombo Vituka,Dar es Salaam, Bwana Moses Kabambara amekuwa anasambaza kadi kwa watu binafsi,makampuni, mashirika na ofisi za ubalozi zilizoko nchini akisaka michango kwaajili ya ununuzi wa madawati na ujenzi wa madarasa na uzio wa shule yake.

Katika kadi yake yakuomba michango na kwenye taarifa anazozisambaza kwenye vyombo vya habari,Bwana Kabambara anatumia jina la Mheshimiwa Salma Kikwete, Mke wa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Nembo ya Taifa kuonyesha kuwa Mheshimiwa Mama Kikwete ndiye mchangishaji na Mgeni Rasmi kwenye matembezi ya shughuli yakuchangia maendeleo ya shule yake.
Aidha, amekuwa anadai kuwa Mama Kikwete ndiye atakuwa Mgeni Rasmi kwenye shughuli hiyo.

Tunapenda kuchukua nafasi hii kuuarifu umma wa Tanzania kama ifuatavyo kuhusu suala hili:
(a) Kwamba Mama Salma Kikwete kamwe hajapata kuridhia kuwa Mgeni Rasmi katika matembelezi hayo
(b) Kwamba Mama Salma Kikwete hajapata kukubali kuwa mchagishaji ama hata mshiriki wa aina yoyote katika uchangishaji fedha kwa ajili ya shule hiyo.
(c) Kwamba Bwana Kabambara anaufanyia udanganyifu umma ili uweze kuamini kuwa Mama Salma Kikwete amekubali kushiriki katika shughuli za uchangiaji fedha shule yake.

Tunapenda kupitia taarifa hii kuutahadharisha umma kuwa macho na vitendo vya baadhi ya watu wanaotumia majina ya Viongozi wa Kitaifa kuchangisha ama kukusanya fedha ama hata kufanya mambo mengine yenye kulenga manufaa au maslahi binafsi. Hili ni kosa la jinaimbali na kwamba vitendo vya namna hii husababisha usumbufu kwa jamii na kwa viongozi husika.

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam
.

8 Mei, 2012

Je: NI SAHIHI KWA IKULU KUTOA WARAKA WA AINA HII?

Huyo Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Ubongo wake umelala...Kwanza kwani Huyo Salma Kikwete hivi ni kiongozi wa kitaifa eeeh!Mbona Katiba haimsemi au hii mpya ndo inamtaja! Afu kama ni kosa la jinai si wamshtaki huyo jamaa....Dah...Salva Magamba yameumaliza weredi wake katika tasnia ya Habari....resti ini pisi....
 
Huyo Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Ubongo wake umelala...Kwanza kwani Huyo Salma Kikwete hivi ni kiongozi wa kitaifa eeeh!Mbona Katiba haimsemi au hii mpya ndo inamtaja! Afu kama ni kosa la jinai si wamshtaki huyo jamaa....Dah...Salva Magamba yameumaliza weredi wake katika tasnia ya Habari....resti ini pisi....

hahahahahaha mkuu ng'hily nimekuona nimeikumbuka hotuba yako ya 2010 temeke Mwembe yanga ukiwnaia ubunge wa temeke. Salama lakini??
 
Last edited by a moderator:
Mama Salma ana cheo gani kitaifa?

Nchi ya Tanzania inaendeshwa kwa katiba. Na katika katiba hiyo hakuna sehemu yoyote ile inayomtambua mke/wake wa rais kama kiongozi/viongozi wa nchi ya Tanzania. Hii inayofanyika hapa ni kinyume na taratibu za nchi.
 
Kwani yeye nikiongozi gani katika nchi yetu..
Hatabuliki hata kwenye katiba yetu...
 
Mama Salma si kiongozi wa kitaifa, angeachwa ajibu mwenyewe badala ya kutumia Rasilimali za Serikali. tujifunze kutofautisha kati ya VIONGOZI na NDUGU ZA VIONGOZI. Naona tunaanza kulewa madaraka.
 
Back
Top Bottom