Waraka toka Ikulu: Hebu tuujadili...

Kumbe madikteta mpo wengi? kwani Ikulu kazi yake ni kukamata watu?

Una matatizo kwenye kwenye ubongo wa nyuma, mwandishi kakuambia ni jinai kutumia majina ya viongozi ,kama ni jinai nini kifanyike tofauti na kukamatwa? sasa wewe ndiyo mmoja watu mnaopenda kubembelezwa hata kama mmekosea kama walioambiwa wapige mbizi wakataka kuandamana kwa sh.200!!! wakati sukari na mafuta yalipanda wakawa wapole kama kondoo wa sufu. HAKUNA DICTATOR HAPO
 
huyo Salma ndiye haswa alipaswa kujibu hoja hiyo, na wala siyo ikulu. Salma na Ikulu wakoje?
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,

THE STATE HOUSE,

P.O. BOX 9120,

DAR ES SALAAM.

Tanzania.
TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Katika siku chachezilizopita, Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Moses Nursery ya Yombo Vituka,Dar es Salaam, Bwana Moses Kabambara amekuwa anasambaza kadi kwa watu binafsi,makampuni, mashirika na ofisi za ubalozi zilizoko nchini akisaka michango kwaajili ya ununuzi wa madawati na ujenzi wa madarasa na uzio wa shule yake.

Katika kadi yake yakuomba michango na kwenye taarifa anazozisambaza kwenye vyombo vya habari,Bwana Kabambara anatumia jina la Mheshimiwa Salma Kikwete, Mke wa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Nembo ya Taifa kuonyesha kuwa Mheshimiwa Mama Kikwete ndiye mchangishaji na Mgeni Rasmi kwenye matembezi ya shughuli yakuchangia maendeleo ya shule yake.
Aidha, amekuwa anadai kuwa Mama Kikwete ndiye atakuwa Mgeni Rasmi kwenye shughuli hiyo.

Tunapenda kuchukua nafasi hii kuuarifu umma wa Tanzania kama ifuatavyo kuhusu suala hili:
(a) Kwamba Mama Salma Kikwete kamwe hajapata kuridhia kuwa Mgeni Rasmi katika matembelezi hayo
(b) Kwamba Mama Salma Kikwete hajapata kukubali kuwa mchagishaji ama hata mshiriki wa aina yoyote katika uchangishaji fedha kwa ajili ya shule hiyo.
(c) Kwamba Bwana Kabambara anaufanyia udanganyifu umma ili uweze kuamini kuwa Mama Salma Kikwete amekubali kushiriki katika shughuli za uchangiaji fedha shule yake.

Tunapenda kupitia taarifa hii kuutahadharisha umma kuwa macho na vitendo vya baadhi ya watu wanaotumia majina ya Viongozi wa Kitaifa kuchangisha ama kukusanya fedha ama hata kufanya mambo mengine yenye kulenga manufaa au maslahi binafsi. Hili ni kosa la jinaimbali na kwamba vitendo vya namna hii husababisha usumbufu kwa jamii na kwa viongozi husika.

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam
.

8 Mei, 2012

Je: NI SAHIHI KWA IKULU KUTOA WARAKA WA AINA HII?
HAPO KWENYE BOLD, Kwani mama Salma Kikwete ni Kiongozi wa kitaifa?
 
Sasa nguvu iliyopo Ikulu imeshindwa nini kumkanya huyo moses direct mpaka waje kujikomba kwa wandishi na hiyo press ikulu kazi yao ni kuwakingia kifua waoliko ikulu nao wamezidi.
 
HAWATAKI AIBU HII IJIRUDIE.....

MK%2Bwa%2BWAMA%2Bakikabidhi%2Bhundi%2Bkwa%2BMK%2Bwa%2BSama%2BKikwete%2BSACCOS%2BLTD%2BKwa%2BMK%2Bwake%2BShaaban%2BMgeni.JPG
 
Hii kurugenzi ya habari ya ikulu duuu..!!!!!!! hivi ni vigezo gani hutumika kupata hawa watu pale magogoni?Hivi mke wa Rais ni Kiongozi wa Kitaifa pia? Kwa cheo gani eti vile?
:juggle:
 
Haiwezekani mtu atokee mashambani aanze kutumia jina la Mke wa Rais kuchangisha mchango wa shule yake, kuna uzi umekatikia mahala.
 
Mama Salma siyo kiongozi wa Kitaifa kwa hili ilitakiwa akanushe yeye mwenyewe na siyo Ikulu na ikiwezekana akashtaki mwenyewe kama Salma na siyo kiongozi wa Kitaifa. Alafu hili neno Muheshimiwa linatakiwa litumike wakati gani???????? Kama mama Salma Kikwete unamuita Muheshimiwa kwasababu ni Mke wa Rais inabidi hata Ridhwani Kikwete naye aitwe Muheshimiwa kwasababu ni mtoto wa Rais.
 
Eti 'muheshimiwa mama Kikwete', kwani wakimwita mwalimu Salma atapoteza u-mke wa rais
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,

THE STATE HOUSE,

P.O. BOX 9120,

DAR ES SALAAM.

Tanzania.
TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Katika siku chachezilizopita, Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Moses Nursery ya Yombo Vituka,Dar es Salaam, Bwana Moses Kabambara amekuwa anasambaza kadi kwa watu binafsi,makampuni, mashirika na ofisi za ubalozi zilizoko nchini akisaka michango kwaajili ya ununuzi wa madawati na ujenzi wa madarasa na uzio wa shule yake.

Katika kadi yake
yakuomba michango na kwenye taarifa anazozisambaza kwenye vyombo vya habari,Bwana Kabambara anatumia jina la Mheshimiwa Salma Kikwete, Mke wa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Nembo ya Taifa kuonyesha kuwa Mheshimiwa Mama Kikwete ndiye mchangishaji na Mgeni Rasmi kwenye matembezi ya shughuli yakuchangia maendeleo ya shule yake.Aidha, amekuwa anadai kuwa Mama Kikwete ndiye atakuwa Mgeni Rasmi kwenye shughuli hiyo.

Tunapenda kuchukua nafasi hii kuuarifu umma wa Tanzania kama ifuatavyo kuhusu suala hili:
(a) Kwamba Mama Salma Kikwete kamwe hajapata kuridhia kuwa Mgeni Rasmi katika
matembelezi hayo
(b) Kwamba Mama Salma Kikwete hajapata kukubali kuwa mchagishaji ama hata mshiriki wa aina yoyote katika uchangishaji fedha kwa ajili ya shule hiyo.
(c) Kwamba Bwana Kabambara anaufanyia udanganyifu umma ili uweze kuamini kuwa Mama Salma Kikwete amekubali kushiriki katika shughuli za uchangiaji fedha shule yake.

Tunapenda kupitia taarifa hii kuutahadharisha umma kuwa macho na vitendo vya baadhi ya watu wanaotumia majina ya Viongozi wa Kitaifa kuchangisha ama kukusanya fedha ama hata kufanya mambo mengine yenye kulenga manufaa au maslahi binafsi. Hili ni kosa la
jinaimbali na kwamba vitendo vya namna hii husababisha usumbufu kwa jamii na kwa viongozi husika.

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam
.

8 Mei, 2012

Je: NI SAHIHI KWA IKULU KUTOA WARAKA WA AINA HII?

Nahisi kichefuchefu kama ofisi kubwa namna hii itakuwa na udhaifu kwenye rangi ya buluu. Inaonyesha ni aina gani ya watu waliopewa jukumu la kufanya kazi hii.
 
huu sasa ni upuuzi; kama kweli walichoandika Ikulu ni cha kweli kutoa tamko ni kuthibitisha hofu yetu sisi wengine. Kuna watu hawana kazi isipokuwa kufikiria kila siku watoe tamko gani. Ina maana kweli hakuna mtu huko Ikulu ambaye angewashauri NINI hasa cha kufanya badala ya kutoa tamko?
Asante sana MM kwa kufupisha safari yangu.
I can now spend my time on other articles.
 
Ina maana ikulu imeshidwa kwenda kumkamata mtu mmoja hadi watoe tamko? nina wasi wasi hii shule ni yao wanaipa promo...

huyo miliki wa shule ndg. Kabambara inawezekana ni invisible, haiwezekani kumkamata bali ni kutoa tamko lisilo na mashiko kabisa.
 
THEUNITED REPUBLIC OF TANZANIA

DIRECTORATEOF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com
press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425

PRESIDENTS OFFICE,

THE STATE HOUSE,

P.O. BOX 9120,

DAR ES SALAAM.

Tanzania.
TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Katika siku chachezilizopita, Mkurugenzi wa Shule ya Chekechea ya Moses Nursery ya Yombo Vituka,Dar es Salaam, Bwana Moses Kabambara amekuwa anasambaza kadi kwa watu binafsi,makampuni, mashirika na ofisi za ubalozi zilizoko nchini akisaka michango kwaajili ya ununuzi wa madawati na ujenzi wa madarasa na uzio wa shule yake.

Katika kadi yake yakuomba michango na kwenye taarifa anazozisambaza kwenye vyombo vya habari,Bwana Kabambara anatumia jina la Mheshimiwa Salma Kikwete, Mke wa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania na Nembo ya Taifa kuonyesha kuwa Mheshimiwa Mama Kikwete ndiye mchangishaji na Mgeni Rasmi kwenye matembezi ya shughuli yakuchangia maendeleo ya shule yake.
Aidha, amekuwa anadai kuwa Mama Kikwete ndiye atakuwa Mgeni Rasmi kwenye shughuli hiyo.

Tunapenda kuchukua nafasi hii kuuarifu umma wa Tanzania kama ifuatavyo kuhusu suala hili:
(a) Kwamba Mama Salma Kikwete kamwe hajapata kuridhia kuwa Mgeni Rasmi katika matembelezi hayo
(b) Kwamba Mama Salma Kikwete hajapata kukubali kuwa mchagishaji ama hata mshiriki wa aina yoyote katika uchangishaji fedha kwa ajili ya shule hiyo.
(c) Kwamba Bwana Kabambara anaufanyia udanganyifu umma ili uweze kuamini kuwa Mama Salma Kikwete amekubali kushiriki katika shughuli za uchangiaji fedha shule yake.

Tunapenda kupitia taarifa hii kuutahadharisha umma kuwa macho na vitendo vya baadhi ya watu wanaotumia majina ya Viongozi wa Kitaifa kuchangisha ama kukusanya fedha ama hata kufanya mambo mengine yenye kulenga manufaa au maslahi binafsi. Hili ni kosa la jinaimbali na kwamba vitendo vya namna hii husababisha usumbufu kwa jamii na kwa viongozi husika.

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam
.

8 Mei, 2012

Je: NI SAHIHI KWA IKULU KUTOA WARAKA WA AINA HII?

Ni sahihi..
 
Back
Top Bottom