Wanawake tu, ndio wajibu swali hili

Hiyo hospital ilikuwa kwa mnyamani hospito?
Na uelewa wa huyo nurse/daktari ulikuwaje?Na wakati unafika kuchoma ulikuwa wagonjwa wangapi per 1 nurse?

Watu wanaenda hospitali za private kama Regency au Aga Khan na hawaulizi masuali. Ni tabia ya mtu. Na kiuhalisia si tabia nzuri. Uliza masuala mengi iwezekanavyo ukiwa hospitali. Ni muhimu kwako.
 
Unajua Polisi walisemaje tulipofika`pale kufungua jalada! "Aroo mbona binti mwenyewe ni mkubwa tu, sio kwamba alitaka mwenyewe, asitupotezee muda kufungua kesi wakati alitaka mwenyewe" ilibidi niwatishe kuwa nitaenda kumuona IGP kama watashindwa ku-handle hiyo kesi, wakaogopa.....................

Mawazo potofu hayo.Mbona mtu anapoibiwa mali zake polisi hasemi..."urijitakia mwenyewe aisee kujionyesha una mali"!Very unprofessional way to handle situations.Huwezi kuleta hoja ya kujitakia iwe ni kuiba "mwili" wa mtu au mali yake.
 
Unaweza kujifanya mtumwa na bado asiridhike akakufanyia makubwa zaidi kwa kigezo hicho hicho tena cha kutoa picha zako. Embu fikiria uko nae, hali wajua mpo wawili tu ndani but mara ghafla anakuletea tena vidume wengine unapigwa fiesta (be it kwa nguvu, kupuliziwa dawa or whatever mradi tu akuenjoy)........sasa utakuwa umefaidika nini na utumwa wako?? Kwangu mimi hakuna cha kujifanya mtumwa, linalowezekana leo lisingoje kesho! Nimeamua kukuacha nakuacha tu, ukitaka sambaza hizo picha coz najua zitavuma kwa muda na baadae zitatulia kama dawa ya babu wa loliondo!!! Mind you, kwa upande wa sheria sikuaachii, ukihonga ukashinda heri yako. Na nitahakikisha nafuatilia mlolongo wa kesi, mhusika aliyeiuza ndo atajibu vizuri!!!
 
Mawazo potofu hayo.Mbona mtu anapoibiwa mali zake polisi hasemi..."urijitakia mwenyewe aisee kujionyesha una mali"!Very unprofessional way to handle situations.Huwezi kuleta hoja ya kujitakia iwe ni kuiba "mwili" wa mtu au mali yake.

Sawa kabisa! Mambo ya blaming the victim hayo.

Ni sawa pia na kumwambia mwanamke aliyebakwa alijitakia mwenyewe kwa sababu alivaa kimini na hivyo kutamanisha watu.

Hii inanikumbusha kuna kipindi hapo nyuma kuna mtu alipost picha ya mdada aliyekuwa kavaa shimizi na hivyo kupelekea kuzingwa na watu huko Iringa. Kuna watu walisema eti yote yaliyompata alistahili!
 
Tena kwa tahadhari ya wanaotegemea kujifungulia TZ, ujuaji muuache nyumbani kabla ya kufika hospito. Wana trick zao za kuongeza maumivu like a million time, si private au gov. Labda ukate kitu kidogo basi wahudumia kama yai.
lakini ujuaj??? Maralia hata ukiwa mjuaji haina shida ndo mana nasema ujuaji unategemea na mazingira na uelewa wa mtu unaye-deal naye.

Mgonjwa ana haki ya kuelezwa kila linaloendelea. Ana haki pia ya kusema kile ambacho anahisi yeye kitampunguzia maumivu na kipi hakitampunguzia.

Kama madaktari na wahudumu wengine wanakwenda kinyume na ethics za kazi zao, hilo ni suala ambalo linatakiwa kukemewa na kukatazwa kwa nguvu zote. Sio kuwaambia watu wasiulize masuali au kusema vile wanavyodhani hospitali.

Lazima watu waelezwe na wazielewe huduma bora zinavyotakiwa kuwa, ili waweze ku-aspire kuzipata huduma hizo
 
Unajua Polisi walisemaje tulipofika`pale kufungua jalada! "Aroo mbona binti mwenyewe ni mkubwa tu, sio kwamba alitaka mwenyewe, asitupotezee muda kufungua kesi wakati alitaka mwenyewe" ilibidi niwatishe kuwa nitaenda kumuona IGP kama watashindwa ku-handle hiyo kesi, wakaogopa.....................

umeona sasa?
polisi wa bongo bila kumjua mkuu wa kituo hupati haki zako..

by the way muwe mnasaidia kupaka rangi vituo vya polisi aisee
wahindi huwa wanafanya hivyo..
anatoa msaada wa rangi kituo cha polisi na kuchukua contacts za mkuu wa kituo
sasa ole wako uingie anga zake,utashangaa...
mimi polisi wa jirani huwa nawalipia mama ntilie siku moja moja lol
atakae ingia anga zangu shauri yake lol
 
Kuna siku nilienda hospitali kisa nimefanya kijipu mguuni karibu na ankle. Nilikaa kwa daktari zaidi ya nusu saa tunafahamishana ilikuwaje nifanye kijipu. Of course it was in 'Manchester', but knowing me I would have still done the same if it was in Dar :]
 
Hii inanikumbusha kuna kipindi hapo nyuma kuna mtu alipost picha ya mdada aliyekuwa kavaa shimizi na hivyo kupelekea kuzingwa na watu huko Iringa. Kuna watu walisema eti yote yaliyompata alistahili!

Naikumbuka sana hiyo. Kuna wengine bila ya aibu walisema wao pia wangemzonga na kumzoea huyo dada kama wangekuwepo eneo la tukio (@-@)
 
Lini hiyo waelezwe, kwa ari zaidi na nguzu zaidi na kasi zaidi tulinayo??

Najua ni haki ya mgonjwa kuuliza maswali, lakini kwa hali halisi ya tz kwa sasa hiyo ni anasa kubwa na itategemea mood ya dokta ya siku hiyo. Na kama nyumba ndodo yake imemchanganya ana-rapture membrane ya mjamzito wa miezi 5.


Mgonjwa ana haki ya kuelezwa kila linaloendelea. Ana haki pia ya kusema kile ambacho anahisi yeye kitampunguzia maumivu na kipi hakitampunguzia.

Kama madaktari na wahudumu wengine wanakwenda kinyume na ethics za kazi zao, hilo ni suala ambalo linatakiwa kukemewa na kukatazwa kwa nguvu zote. Sio kuwaambia watu wasiulize masuali au kusema vile wanavyodhani hospitali.

Lazima watu waelezwe na wazielewe huduma bora zinavyotakiwa kuwa, ili waweze ku-aspire kuzipata huduma hizo
 
Kuna siku nilienda hospitali kisa nimefanya kijipu mguuni karibu na ankle. Nilikaa kwa daktari zaidi ya nusu saa tunafahamishana ilikuwaje nifanye kijipu. Of course it was in 'Manchester', but knowing me I would have still done the same if it was in Dar :]

Kwa kawaida inatakiwa daktari umchunguze mgonjwa system zote na ukae nae si chini ya dakika 45,hata kama unaumwa jipu tu au rashes za kawaida,ila ndio hivyo shortcuts na uhaba wa ma daktari unachangia
 
atangaze tu kwani nitakufa kuliko nikae naye anipe AIDs si bora nipate aibu ila najua ctakufa mwe!
tena aibu yenyewe itavuma tu wiki 2 au 3 kwisha litaibuka lengine huko mitandaoni na kufunika langu ila akinipa ukimwi nakufa kabisa loh!

Umeona eeh?? Mi kwakweli siwezi kufanywa mtumwa kwa hilo, tena asahau kabisa hata kama ukimwi usingekuwepo! Itanicost kwa muda tu then baadae naendelea na life kama kawa!!!
 
umeona sasa?
polisi wa bongo bila kumjua mkuu wa kituo hupati haki zako..

by the way muwe mnasaidia kupaka rangi vituo vya polisi aisee
wahindi huwa wanafanya hivyo..
anatoa msaada wa rangi kituo cha polisi na kuchukua contacts za mkuu wa kituo
sasa ole wako uingie anga zake,utashangaa...
mimi polisi wa jirani huwa nawalipia mama ntilie siku moja moja lol
atakae ingia anga zangu shauri yake lol

Hii mbinu safi sana, ngoja nianze kujipendekeza kwa hawa jamaa, kuna kituo kidogo hapa jirani na home kabisa...........
 
Kwa kawaida inatakiwa daktari umchunguze mgonjwa system zote na ukae nae si chini ya dakika 45,hata kama unaumwa jipu tu au rashes za kawaida,ila ndio hivyo shortcuts na uhaba wa ma daktari unachangia

Mtu hospitali analipia pesa kibao wakati mwengine lakini akitoka pale hawezi hata kubabaisha kukueleza daktari kamwambia nini.

Wanasahau kuwa ule ni mwili wao, na wanatakiwa walau ujue ki-juu juu chanzo cha magonjwa, namna ya kujikinga na dawa ikifika mwilini mwako itafanya kazi gani.
 
I wish ingekuwa dar afu nikakusindikiza mwananyamala, te te te, ningerekodi hiyo sinema tukauza kama ile ya mapanki

Kuna siku nilienda hospitali kisa nimefanya kijipu mguuni karibu na ankle. Nilikaa kwa daktari zaidi ya nusu saa tunafahamishana ilikuwaje nifanye kijipu. Of course it was in 'Manchester', but knowing me I would have still done the same if it was in Dar :]
 
umeona sasa?
polisi wa bongo bila kumjua mkuu wa kituo hupati haki zako..

by the way muwe mnasaidia kupaka rangi vituo vya polisi aisee
wahindi huwa wanafanya hivyo..
anatoa msaada wa rangi kituo cha polisi na kuchukua contacts za mkuu wa kituo
sasa ole wako uingie anga zake,utashangaa...
mimi polisi wa jirani huwa nawalipia mama ntilie siku moja moja lol
atakae ingia anga zangu shauri yake lol
Hahahaha!!! Boss kuna trick zingine banaa huwa zinalipa kuna siku nilienda kituo cha polisi eti hawana karatasi nikanunua rim mbili za A4 nikawaachia nikachukua namba ya simu za jamaa siku nawapigia simu salama ya kwanza nasikia "Ndio mheshimiwa wangu tukasaidie" anayesema hivyo ananizidi zaidi ya miaka 20 kufika kituoni nikapewa treatment ambayo laiti kama kila mwananchi angekuwa anapata hiyo treatment basi tungekuwa mbali sana
 
Kwa kawaida inatakiwa daktari umchunguze mgonjwa system zote na ukae nae si chini ya dakika 45,hata kama unaumwa jipu tu au rashes za kawaida,ila ndio hivyo shortcuts na uhaba wa ma daktari unachangia

Bold ya pili...Kwa Tanzania kwa wastani, daktari mmoja anahudumia watu zaidi ya 50,000 ..linganisha na USA dokta mmoja kwa watu 300, uholanzi 1:320 wakati Cuba ina the best ratio ya 1:172 ( hizi ni takwimu za 2008 kufuatana na Global mapping of Doctor to patient ratio.! Hizo dakika 45 sijui labda kama ni nyumbani kwake au kwenye clinic yake private.
 
Dawa ya blackmailer is to come clean! Mtu kama huyo I guess I will even call a press conference na kuwaambia part of the story na kueleza. Kuna mdada alikua blackmailed na fundi wa laptop for like a year. She is competent lakini asipowapa hela wanarelease naked photos of her,mwisho wa siku anafukuzwa kazi. Alikuja pata boss wa kike chizi, akamuambia jamaa wanamtesa. Boss wake akawapigia akawaambia do what u want,she won't loose this job and the photos is an old news. Akawatumia na hizo naked photos kwenye email. Waliishia hapo,she is still working for the same office!
 
Mi naweza mwachia ahangaike nalo tena nahamia na kwake kabsa.
Ya nini niumize kichwa wakati hatoi kitu hapo.

Umeona eeh?? Mi kwakweli siwezi kufanywa mtumwa kwa hilo, tena asahau kabisa hata kama ukimwi usingekuwepo! Itanicost kwa muda tu then baadae naendelea na life kama kawa!!!
 
Back
Top Bottom