Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
polisi wa bongo waite uone kama
'hawajachukua pesa yako ya mboga ya kesho' lol
Kwanza napata picha namna watakavyokusulubu kwa maneno.
"yaaani unaleta dharau. Unaita porisi kuja kutoa mdudu"
polisi wa bongo waite uone kama
'hawajachukua pesa yako ya mboga ya kesho' lol
Hahaaa kuna mama mmoja alikuwa na Tarantula chumbani kwake....licha ya animal control kuja na kumtoa mama hakuridhika. Ilibidi ahame. Kuna watu wana phobia na hao wadudu aisee daah! Hata kama likiwa feki hata kulishika hawataki.
Kwanza napata picha namna watakavyokusulubu kwa maneno.
"yaaani unaleta dharau. Unaita porisi kuja kutoa mdudu"
nilikuwa najizuia kucheka aisee
halafu huyo mwanamke polisi
alikuwa anasisitiza jamaa ayataje matusi ya nguoni aliyotukanwa
kwa sauti...imagine..
eti 'kwahiyo alikwambia wewe unananihiwa? lol
yaani live matusi...jamaa hadi anaona aibu..lol
The Boss, Kisheria katika kuandikisha maelezo, Polisi hakuna TAFSIDA kabisa, unaelezea tukio kama lilivyotokea`na natusi unayataja kama yalivyo. Emagine mwanamke kabakwa au kaliwa mande, anatakiwa aelezee kama ilivyo, na ndio maana kesi za aina hiyo zinaendeshwa chamber kwa siri ili kulinda maadili.
Hilo ni kosa na kimsingi unaruhusiwa kukataa kutoa maelezo hapo counter............. yupo binti wa kaka yangu aliwahi kubakwa nikampeleka polisi kufungua jalada, wakati wa kuandikisha maelezo, niliomba mwenyewe kutoka nje, maana viungo vya uzazi vilikuwa vinatajwa kama vilivyo........ neno uume au uke au sijui akanifanya hayakutumika kabisa, na badala yake yaitumika maneno halisi kama tunavyofahamu...........................sasa wao wanakuuliza counter..
kila mtu anasikiliza..lol
Mimi kumbe polisi wa bongo sitawaweza maana kwanza huwa nna na ujuaji juu nikipewa huduma. lolz
Nikienda hospitali daktari anajuta kunifahamu :]
Ushindwe na ulegee!!Hebu anza wewe kujifanya mwanamke!!
nilikuwa najizuia kucheka aisee
halafu huyo mwanamke polisi
alikuwa anasisitiza jamaa ayataje matusi ya nguoni aliyotukanwa
kwa sauti...imagine..
eti 'kwahiyo alikwambia wewe unananihiwa? lol
yaani live matusi...jamaa hadi anaona aibu..lol
Mimi kwanza huwa nataka maelezo marefu ilikuwaje nikaumwa hivyo nilivyoumwa ili siku ya pili nisiumwe tena (kawaida inaweza pita miaka sijaumwa)
Pili nieleweshwe dawa hiyo ina vitu gani na inafanya kazi vipi, pamoja na side effects zake (nishawahi kudhuriwa na dawa zamani, basi nimekuwa kidogo nna kiji-forbia)
Tatu nitegemee kupona kamili lini ili niweze kujua nirudi hospitali lini kama sijapona
Bila ya kupata majibu hayo, huwa siondoki hospitali ng'oo
BTW: Polisi wa 'Manchester' raha weee, ndani ukimuona spider unamuogopa unawapigia wakuja kumtoa :]]
He he he, nicheke kizenji, huduma zote mjuaji wee, unakuwaga umebakiza eneo la logic?
Basi sitii neno tena.
Sijui kufanya kitu nusu nusu, kabla sijenda hospitali (au kupata huduma nyengine) huwa nna jiandaa vilivyo. So huko masuali atakayokutana nayo daktari asiponipa majibu, nitaomba nipatiwe daktari mwengine. Ni haki yangu ya msingi kisheria
Baadhi ya Madaktari wa bongo hawajazoea challenge, wakikuona wewe ni pasua kichwa, wanakususa, na huwa wanaambiana, utajikuta unapigwa danadana.................
Baadhi ya Madaktari wa bongo hawajazoea challenge, wakikuona wewe ni pasua kichwa, wanakususa, na huwa wanaambiana, utajikuta unapigwa danadana.................
Kuhusu hao polisi watoa spider tunawaomba huku kwetu manzese watusaidie kutoa kunguni, viroboto, mende chawa na mijusi, pse Gee
Sijui kufanya kitu nusu nusu, kabla sijenda hospitali (au kupata huduma nyengine) huwa nna jiandaa vilivyo. So huko masuali atakayokutana nayo daktari asiponipa majibu, nitaomba nipatiwe daktari mwengine. Ni haki yangu ya msingi kisheria