Wanawake tu, ndio wajibu swali hili

Mtu hospitali analipia pesa kibao wakati mwengine lakini akitoka pale hawezi hata kubabaisha kukueleza daktari kamwambia nini.

Wanasahau kuwa ule ni mwili wao, na wanatakiwa walau ujue ki-juu juu chanzo cha magonjwa, namna ya kujikinga na dawa ikifika mwilini mwako itafanya kazi gani.
Umenikumbusha juzi katika wakati naumwa nilipoenda hospitali daktari akaniuliza 'Kawaida huwa unameza dawa gani za malaria nikamjibu halafu akaniandia hizo hizo nilizomwambia, nikamuuliza ina maana mimi ndio daktari na mimi ndio mgonjwa maana ni kama hizo dawa nime-reccomend mimi halafu wewe umefanya kazi ya kuandika tu kwenye karatasi" Je hizo dawa this zikinikataa what will happen daktari akaanza blah blah blah nikasema mhhh hapa kuna ???????? nyingi sana
 
Umenikumbusha juzi katika wakati naumwa nilipoenda hospitali daktari akaniuliza 'Kawaida huwa unameza dawa gani za malaria nikamjibu halafu akaniandia hizo hizo nilizomwambia, nikamuuliza ina maana mimi ndio daktari na mimi ndio mgonjwa maana ni kama hizo dawa nime-reccomend mimi halafu wewe umefanya kazi ya kuandika tu kwenye karatasi" Je hizo dawa this zikinikataa what will happen daktari akaanza blah blah blah nikasema mhhh hapa kuna ???????? nyingi sana

ila weweee..
 
Mi nlishawah tishiwa hyo issue yakusambaziwa pcha,(ckuwa na hakika km alikuwa nazo kweli)alinambia alizchkua cku 1 nyt,aliponipasua kchwa na kumwambia bac akadai atanisambazia pcha zangu,kiukwel nlimwambia 2 fanya hvyo ila cwez tn kuwa nawe.
Nakiri baada ya pale nliish kwa tabu nkihofia hyo habari.
 
Umenikumbusha juzi katika wakati naumwa nilipoenda hospitali daktari akaniuliza 'Kawaida huwa unameza dawa gani za malaria nikamjibu halafu akaniandia hizo hizo nilizomwambia, nikamuuliza ina maana mimi ndio daktari na mimi ndio mgonjwa maana ni kama hizo dawa nime-reccomend mimi halafu wewe umefanya kazi ya kuandika tu kwenye karatasi" Je hizo dawa this zikinikataa what will happen daktari akaanza blah blah blah nikasema mhhh hapa kuna ???????? nyingi sana

Ukiondoka hapo unameza dawa lakini roho hata haijaridhika. Ndo maana nasema kwa Bongo ndo kabisa unatakiwa kwenda hospitali ukiwa na idea kidogo ya nini kinatakiwa kifanyike. Unaweza kupewa dawa ya magonjwa mengine au dose si saizi yako!
 
Kwa kawaida inatakiwa daktari umchunguze mgonjwa system zote na ukae nae si chini ya dakika 45,hata kama unaumwa jipu tu au rashes za kawaida,ila ndio hivyo shortcuts na uhaba wa ma daktari unachangia

Kwa bongo hili ni miujiza. Daktari mwenyewe tu akiiangalia foleni inayomhitaji, mishipa ya fahamu inanenepeana ghafla!!! Kama ulivosema, uhaba wa madaktari na uchache wa hospitali zenyewe pia unachangia!! Kwa upande wa pili, daktari mwenyewe anakizahanati chake pembeni au kifamasi anatibu kwa magendo, sasa akusikilize wewe mda wote huo halafu wagonjwa wa kule kwake akawahudumie saa ngapi na wakati wao ndo wanamgea dau kubwa????
 
Ukiondoka hapo unameza dawa lakini roho hata haijaridhika. Ndo maana nasema kwa Bongo ndo kabisa unatakiwa kwenda hospitali ukiwa na idea kidogo ya nini kinatakiwa kifanyike. Unaweza kupewa dawa ya magonjwa mengine au dose si saizi yako!
Gee kingine kinachochangia ni kuwa ni watu wachache sana wanaosoma vile vikaratasi vilivyomo ndani vyenye maelezo kuhusu dawa wengi wakipewa dawa huwa hawasomi maelezo wanakimbilia kumeza tu
 
I wish ingekuwa dar afu nikakusindikiza mwananyamala, te te te, ningerekodi hiyo sinema tukauza kama ile ya mapanki

Hapo Mwananyamala napakumbuka sana, ilikuwa ni mwaka 2001, nilipoingia kumuona`Dr. nikamkuta anaongea na simu yake ya Twanga Pepeta, tena alikuwa anaongea na hawara yake, basi akaongea weee, alipokata tu simu akaniandikia dawa na kunipa cheti......... mie kwa hamaki nikamwambia mbona hata sijamwambia naumwa ugonjwa gani! ndio akashtuka na kuanza kuniuliza naumwa nini! kumbe alinichanganya na mgonjwa ambaye ameshamuhudumia............. emagine kakutana na wale wa Kwa Mtogole, wala asingehoji angejichukulia cheti chake na kwenda kuchukua dawa dirishani au kuchomwa sindano........... mkumbuke kuwa huku uswahilini madaktari huonekana kama miungu watu. Huku uswahilini huvipopoa kweli vibinti baada yakuvitoa mimba bila malipo...........
 
Gee kingine kinachochangia ni kuwa ni watu wachache sana wanaosoma vile vikaratasi vilivyomo ndani vyenye maelezo kuhusu dawa wengi wakipewa dawa huwa hawasomi maelezo wanakimbilia kumeza tu

Daktari kasema wao ndo hawajishughulishi tena kujua zaidi.

Kuna na lile la kuandikiwa dawa dose kubwa kwa vile anaangalia umri badala ya weight. Midongo ya chloroquine enzi zile unaambiwa umeze tatu tatu tatu.........hata kidogo nilikuwa sizimezi, natafuta second opinion :]
 
Daktari kasema wao ndo hawajishughulishi tena kujua zaidi.

Kuna na lile la kuandikiwa dawa dose kubwa kwa vile anaangalia umri badala ya weight. Midongo ya chloroquine enzi zile unaambiwa umeze tatu tatu tatu.........hata kidogo nilikuwa sizimezi, natafuta second opinion :]

Mi nilikuwa natupa hizo klorokwini. Nilikuwa nikimaliza dozi ya sindano ndo imetoka hiyo. I hated them pills with a passion.
 
Daktari kasema wao ndo hawajishughulishi tena kujua zaidi.

Kuna na lile la kuandikiwa dawa dose kubwa kwa vile anaangalia umri badala ya weight. Midongo ya chloroquine enzi zile unaambiwa umeze tatu tatu tatu.........hata kidogo nilikuwa sizimezi, natafuta second opinion :]

Mi nilikuwa natupa hizo klorokwini. Nilikuwa nikimaliza dozi ya sindano ndo imetoka hiyo. I hated them pills with a passion.
Kumbe wanaoingia mitini kumeza dawa wako wengi...lol
 
Mi nilikuwa natupa hizo klorokwini. Nilikuwa nikimaliza dozi ya sindano ndo imetoka hiyo. I hated them pills with a passion.

We acha tu. Sijawahi kuona dawa zinazokera kama zile. Chungu, kisha zinakuzidisha kujiskia vibaya.
 
Kweli tupu! Kuna siku nilishtuka ankle nikaenda agha khan,itwas wknd. Wakaanza mbwembwe zao manake ni emergency, xray hakuna kitu. Wakanipa dawa ya kuchua, na diclopar na vidonge vingine. Nafika home nikaanza kusoma vikaratasi na mtandao pembeni. Vile vidonge vingine kumbe ni antiacid bana! Nikaachana navyo. Japo ningekua nimelipia cash ningetoa mtu roho!
Gee kingine kinachochangia ni kuwa ni watu wachache sana wanaosoma vile vikaratasi vilivyomo ndani vyenye maelezo kuhusu dawa wengi wakipewa dawa huwa hawasomi maelezo wanakimbilia kumeza tu
 
Mi nlishawah tishiwa hyo issue yakusambaziwa pcha,(ckuwa na hakika km alikuwa nazo kweli)alinambia alizchkua cku 1 nyt,aliponipasua kchwa na kumwambia bac akadai atanisambazia pcha zangu,kiukwel nlimwambia 2 fanya hvyo ila cwez tn kuwa nawe.
Nakiri baada ya pale nliish kwa tabu nkihofia hyo habari.

Miezi michache ilopita rafiki yangu alichimbwa mkwara (na boyfriend wake ambae pia ni rafiki yangu) unaotaka kufanana na huu isipokuwa ye hakuwa naked kabisa!!! Ila wao waliongea wakayamaliza though hawakuendelea kuwa pamoja tena!
 
Back
Top Bottom