MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
njoo tabora urambo nije kati ya mukoa ya dodma,morogoro,pwani au dar es salaam. Wilaya yoyote katika mikoa hiyo. Idara ya sekondari. Nichek 0652583409
Vip huko rungwe hakuna wa kuja mwanza tubafilishaneRungwe(kiwira) mwalimu njooo,mi Nije mbeya jiji,mbeya vijijin na wilaya ya mbozi kwa mkoa wa songwe-idara sec - 0765432283
Njoo Tabora nije SumbawangaNatafuta wa kubadlishana naye mm nipo Manispaa ya sumbawanga natafuta MTU wa kubalishana naye hapo Itigi singida ni mwalimu s/m
Yup huyohivi wew kila sehemu upo mana nshakuona hii mara ya tano cjui upo wapi wew
Sent using Jamii Forums mobile app