Kwa mwalimu yeyote wa sekondari aliye mkoa wa mbeya wilaya yeyote ile anayetaka kuja wilaya ya kwimba-mwanza, naomba uni "pm" au tuwasiliane kwa namba zifuatazo:
Mimi Bartholomew Temba,Mwl wa sekondari mwenye (TSD no 18.05/T.12) katika Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu natafuta Mwl wa kubadilishana kituo cha kazi. Yeye aje wilaya maswa na mimi nije wilaya ya wilya ya dodoma ,Chamwino na kongwa. Mawasiliano; 0756666613.
Walimu kwa yoyote anaetaka kubadilishana vituo vya kazi idara sec, njoo Lushoto_Bumbuli
Mimi nije ulipo wewe, mkoa Pwani, Morogoro, Mtwara, Dodoma, Mbeya Iringa, shinyanga Tabora, ni Pm km upo tayari
Njoo Lushoto Tanga idara ya msingi nije HAI Kilimanjaro, Moshi vijijini, Moshi Manispaa, Siha, Rombo, kama upo tayari 0758121353, 0717690221, 0684533627.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.