Anayetaka kuja mwanza, mimi nije wilaya za kyela au mboz au mbarali au wilaya ya mbeya vijijin au mbeya manispaa au rungwe. Idara sec. 0763 24 36 24 au 0788 98 35 97
Mwalimu wa shule ya MSINGI yuko SENGEREMA -mwanza anaomba mtu wa kubadilishana Nae alioko MOROGORO MJINI au popote au mkoa wa PWANI kwa mawasiliano no.0786338475.
Ndugu walimu wenzangu, nipo HALMASHAURI YA MJI MASASI. Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi(Idara ya Elimu Sekondari) katika MKOA WA MOROGORO hasa MANISPAA YA MOROGORO(Wew uje Mji Masasi mimi nije morogoro manispaa au wilaya yoyote katika mkoa wa mororgoro. Ni pm tuwasiliane
Namba 075763953 mm ni mwl niko manispaa tabora idara ya sekondari nataka kubadilishana na mwl yeyote idara ya sekondar aliyeko mkoa wa morogoro, dares salaam au arusha
mm n mwalimu(sekondari) natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo...aje Ruvuma-Tunduru mm niende Kilimanjaro..wilaya yoyote ile.
au Arusha my phone no.0755431928 au email evanshija@gmail.com
Anayetaka kuja mwanza, mimi nije wilaya za kyela au mboz au mbarali au wilaya ya mbeya vijijin au mbeya manispaa au rungwe. Idara sec. 0763 24 36 24 au 0788 98 35 97
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.