Anaehtaj kuja mombo(shekilango sec) mm niende tanga jiji, kibaha, mkuranga au bagamoyo. 0655276619, 0786276619
 
KUBADILISHANA KITUO CHA KAZI
Mwl idara ya elimu msingi aje MEATU SIMIYU nami niende BABATI MANYARA.
Mawasiliano haya;
0764556647
0789533675
 
Nahitaji mwl wa kubadilishana kituo cha kazi kutoka babati (v), mjini. Idara ya elimu mcng.
Contact info.
0764556647
0789533675
 
Njoo lindi liwale idara ya sec.nije geita,chato au sengerema na bunda ikiwekezana,cmu 0684361392
 
njoo busega mjini nusu saa kufika mza mjini mimi nije Pwani mkuranga,kisarawe,kibaha au bagamoyo idara ya Secondari.
Mawasiliano
0713007615
 
Kwa anaehtaji kuja wilaya ya korogwe(mombo) mm niende kati ya maeneo haya. Tanga jj, kibaha, dar es salaam, au mkuranga. Ani sms kwa 0655276619, 0786276619
 
Anayetaka tubadirishane kituo kuja Kahama niende
Iringa Manispaa,Iringa vijijini...idara Sekondary.0684122208
 
Habarin mm ni mwl wa s/m nipo masasi nataka mwl wa kutoka wilaya yyte ya mkoa wa tanga tubadilishane nicheck kupitia 0685-395059 au 0717-352880
 
Habarini,mm ni mwl wa s/m nipo masasi ninahitaji kubadilishana na mwl yyte ambaye yupo mkoa wa tanga wilaya yyte.nitafuta kupitia 0685-395059 au 0717-352880
 
Back
Top Bottom