Kama unataka kuhamia rorya idara ya secondary na mm nije mkuranga, kibaha, ilala, temeke, kinondoni twanga 0683900853
 
Wilaya niliyopangiwa ni Karagwe, Kagera.
Wilaya ambazo napenda kufanyia kazi ni Ilemela au Nyamagana zote za Mwanza, na Morogoro Mjini. Kama kuna Mwalimu yupo tayari tubadishane vituo hivyo. Namba yangu ni 0718870092.
Ahsante.
 
mm Mwlm wa sekondar NATAFUTA mwlm wa kutoka SINGIDA au DODOMA wilaya yeyote ile yeye aje KALIUA-TABORA (npo mjini shule ya kaliua) 0782127733
 
Mwl aliepangiwa mikoa ya nyanda za juu kusini (mbeya, iring) au morogoro, na anataka kurudi shinyanga ajitokeze wabadilishane na jamaa yangu

NB: idara ya secondary 0752735855
 
Mimi ni mwalimu wa sekondari(shahada) nimepangwa mwanza ukerewe,kama kuna mwl aliyepangwa wilaya yoyote ya mikoa ya morogoro,pwani au mbeya naomba tubadilishane.ahsante.
 
Npo TABORA idara ya msingi nahtaji mwlm wakubadilishana wilaya yeyote mikoa ya MBEYA,IRINGA,MOROGORO & NJOMBE. Tuwasiliane 0765216845
 
Habari ya leo, awali yote napenda kuwapongeza kwa kupata ajira ya ualimu . Samahani wapenda yeyote naomba tubadilishane vituo vya kazi mimi nimepangiwa Busega ila napenda kwenda halmashauri ya Ludewa mkoani Njombe,au Bagamoyo,mufindi,Kilosa hata Njombe vijijini tuwasiliane kupitia email mngailo@yahoo.com au namba ya simu 0758031902 naomba sana waheshimiwa
 
Mwl mollel idara (sec) yupo MWANGA- KILIMANJARO anatafuta mwl wakubadilishana nae kutoka NGORONGORO.
Na0766617237 au
0756231236 karibu tuanze michakato.
 
Niko babati,idara sec,natafuta wa kubadili nae m niende nyamagana,ilemela(mwanza),geita mji,au kahama mji.
 
Niko babati,idara sec,natafuta wa kubadili nae m niende nyamagana,ilemela(mwanza),geita mji,au kahama mji.0765900781
 
Back
Top Bottom