jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,316
- 36,463
Mwenye tetesi atusaidie VIBALI vya uhamisho wanatoa lini tena kwa mwaka huu.
Tumia mfumo watu wanahama kila siku.
Mwenye tetesi atusaidie VIBALI vya uhamisho wanatoa lini tena kwa mwaka huu.
Mkuu kwann usiwe mpole kama ushakamilisha kumbuka Kuna wenzio ata jina halijaenda Tamisemi bado anahangaika na mifumoMwenye taarifa anisaidie majina ya uhamisho kwa watumishi wa umma yanatoka lini kwa mwaka 2024
Km upole inatosha boss mana nimebadilishana na mtu tokea february2023 lkn mpk leo jina halijatoka kumbuka kwamba mtu akiomba uhamisho nikwamba anachangamotoMkuu kwann usiwe mpole kama ushakamilisha kumbuka Kuna wenzio ata jina halijaenda Tamisemi bado anahangaika na mifumo
Mfumo upi sasa ?Tumia mfumo watu wanahama kila siku.
Sasa utafanya nn ndugu! La msingi ni kufuta subira tu! Na kama unaweza nenda mwenyewe Tamisemi dodomaKm upole inatosha boss mana nimebadilishana na mtu tokea february2023 lkn mpk leo jina halijatoka kumbuka kwamba mtu akiomba uhamisho nikwamba anachangamoto
Ndugu zangu mm ni mwalimu Wa Secondari nipo Mlandizi natafuta Mwalimu wilaya ya Arusha mjini tubadilishane aje kibaha mm nije Arusha namfata mume wangu upatapo ujumbe huu nitafute kwa 0787000247
Mwaka huu hakunaMwenye taarifa anisaidie majina ya uhamisho kwa watumishi wa umma yanatoka lini kwa mwaka 2024
Mpole ndo asijue kinachoendelea?Mkuu kwann usiwe mpole kama ushakamilisha kumbuka Kuna wenzio ata jina halijaenda Tamisemi bado anahangaika na mifumo
Basi nipe taarifa ata kwa mwaka kesho au kesho kutwa, mana ata sishangai inawezekana ikawa hakuna coz tumekua wahanga wa kunyanyaswaaaaMwaka huu hakuna
biologyUnafundisha masomo gani Mwl.?