Mi nafundisha wilaya ya rombo tarakea idara ya msingi nataka kuhamia wilaya ya moshi vijijin tarafa ya kibosho,aliye tayari,tuwasiliane, kwa 0686390029
 
Walim kwa wale wanaohitaji kutengenezewa photoentry kwa ajili ya kidato cha nne na cha sita. Piga sim namba 0754038326. Tunatengeneza kwa bei rahisi na kwa viwango vinavyohitajika na necta.
 
Mwl JUDITH idara (msingi) yupo KILINDI-TANGA anataka mwl wa kubadilishana nae kutoka KOROGWE-TANGA au WILAYA MOSHI au HAI
no0684761513 au 0767428882.
 
Mwl idara sec yupo halimashauri ya BUTIAMA-MUSOMA anahitaji mtu wa kubadilishana nae kutoka eidha ARUSHA,MANYARA,SINGIDA au DODOMA no 0768565955/0756231236
 
WADAU MSIKATEE TAMAA WATU WENGI WANAFANIKIWA KUPITIA HUMU MIMI WENGI WALIOFANIKIWA NAWAJUA NIKIWEPO MIMI MWENYEWE KWA KUPITIA PAGE HII YA jf NIMEMPATA MWL YEYE AKATOKA TANGA-KILINDI AKAJA RUVUMA-MBINGA mimi KWA SASA NIPO TANGA.
Hivyo nawashauri msikate tamaa kutupia matangazo yenu humu ndani kama hauwezi kuweka tangazo au umepata mtu wa kubadilisha nae na hujui utaratibu nitafute kwa kupitia na 0756231236/0689270867 nitakusaidia.
 
Mwl MARIAM idara SEC yupo HALIMASHAURI YA WILAYA YA SIMANJIRO anatafuta mwl wa kubadilishana nae kutoka eidha IRINGA au NJOMBE-MAKAMBAKO.
Na 0766841280
au
0756231236.
 
Back
Top Bottom