Mr. Politician
Member
- May 16, 2008
- 74
- 7
Mimi nimeuliza tu kama una uhusiano na Mama Mkapa na ndiyo maana unamtetea hata kwa vitu visivyo kichwa wala mguu.Wewe unaweza kuja na sababu zako murua tu za kumtetea na kuwarudishia imani wana jamiiforums kuwa humtetei mama Anna Mkapa nee Maro kwa sababu ya maslahi ya kifamilia/ kiukoo.
Hujafanya hivyo.
Mchagga mwenzie
Hujui mbinu ya mafisadi?
Angalia alivyofanya Lowassa, Chenge na Ben. Ni kukimbilia nyumbani kwanza