Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 609
- 1,563
Ningependa kuweka jambo sawa ambalo limetolewa ufafanuzi na shirikisho la mpira wa miguu TFF ya kwamba Mwenyekiti wa chama Cha vilabu barani afrika Eng, Hersi said kwa WADHIFA wake atakuwa anaingia moja kwa moja kwenye vikao vya kimaamuzi vya Marais WA Kanda wa mashirikisho ya vyama vya soka barani afrika WA CAF!
Kuna wale mbumbumbu wa ukoloni bado awajaelewa cheo cha Hersi kinaenda mbali zaidi kifursa na wao wamebaki kukebehi tu wakidhania icho ni cheo kama cha wakina mangungu na try again! Kuingia kwenye vikao vya CAF sio jambo la kupuuzwa labda kwa wale wenye mtindio wa ubongo ndio wanaoweza kubeza!
Hiyo ni connection ya moja kwa moja kwa Hersi kiuongozi maana kesho na keshokutwa huwezi kujua atakuwa wapi ndani ya Uongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika!
Wazee wa kupigwa kono la nyani watuambie ni kiongozi wao yupi ana WADHIFA mkubwa ndani ya chombo cha soka barani Afrika?
Hawana ubavu wa kupenya kwakuwa hawana lolote la maana walilolifanya ndani ya klabu yao zaidi ya kuimprove kwenye uchawi!
Kuna wale mbumbumbu wa ukoloni bado awajaelewa cheo cha Hersi kinaenda mbali zaidi kifursa na wao wamebaki kukebehi tu wakidhania icho ni cheo kama cha wakina mangungu na try again! Kuingia kwenye vikao vya CAF sio jambo la kupuuzwa labda kwa wale wenye mtindio wa ubongo ndio wanaoweza kubeza!
Hiyo ni connection ya moja kwa moja kwa Hersi kiuongozi maana kesho na keshokutwa huwezi kujua atakuwa wapi ndani ya Uongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika!
Wazee wa kupigwa kono la nyani watuambie ni kiongozi wao yupi ana WADHIFA mkubwa ndani ya chombo cha soka barani Afrika?
Hawana ubavu wa kupenya kwakuwa hawana lolote la maana walilolifanya ndani ya klabu yao zaidi ya kuimprove kwenye uchawi!