Wake wa Marais wetu na Mambo yao

Hapa kuna tatizo,

1.Mama arudishiwe pesa zake (ambazo pia tunaka kujua alizipataje........)

2.Walionunua nyumba wapewe hati zao haraka iwezekanavyo, ili kieleweke

3.Mama Mkapa unaweza pia uka-negotiate na wakazi hao 12 ukawanunua.....NOTE: utueleze hayo mahela umeyapataje though

4. M-baya wetu mkubwa ni huyu ndg Zongo aliye-facilitate uuzwaji wa eneo hilo + nyumba 12...........huyu inabidi amwagiwe TINDIKALI na achomwe MOTO

5. Je kuna mkono wa SIMU 2000 Limited?


....otherwise, Mwikimbi......keep it up the good work!!

Hao watu wa aina ya akina Zongo wako wengi huko wizara ya ardhi, wanagawa kiwanja kimoja kwa watu zaidi ya mmoja, na wanauza upya viwanja vyenye right of occupancy tayari na kutoa hati nyingine, hivyo kusababisha migogoro ya ardhi. Wengine wanajigawia viwanja kibao kwa majina mbalimbali halafu wanaviuza upya. Kuna ufisadi sana hiyo wizara, na inaelekea John Pombe Maghufuli ingemshinda tu, maana "pombe" yake si kali tena, mgema alishasifiwa sasa katujazia maji tu! Huyo Anna Mkapa alitumia mtandao wa kifisadi ambao uko tayari. Wakati tunamlaumu na kumshutumu kwa kufanya ufisadi huu, tujumuishe pia hao walioko kwenye huo mtandao wa kifisadi, na wote walioulea na wanaoulea hadi sasa.
 
Watu Muache Kupiga Kelele Hizo Nyumba Zimenunuliwa Kihalali Na Hakuna Hata Chembe Moja Ya Rushwa Au Kudanganyana Na Mkataba Wa Uuzaji Nyumba Hizo Upo Wazi Sema Wahusika Wakuu Ndio Wanao .

Kwa Sasa Hizo Nyumba Pamoja Na Zingine Nyingi Ni Mali Ya Familia Ya Maro Sio Maro Mimi Lakini Maro Huyo

Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa! huoni kama kuna tatizo hapo!!! Unaona huyo fisadi mama Mkapa alizipata kihalali nyumba hizo!!!!

Yaani wewe wakazi wenye nyumba hizo wameuziwa nyumba hizo na wakalipa madeni yao yote ya ununuzi wa nyumba hizo, kumbe Fisadi Mama Mkapa naye alikuwa ameshazifisadi nyumba hizo!!! Kihalali nyumba hizo zilipoamuliwa ziuzwe basi waliostahili kutaarifiwa kwanza kabla ya yeyote yule juu ya uamuzi huo ni wakazi katika nyumba hizo na siyo fisadi Mama Mkapa. Kama anataka kujenga nyumba pale Mbeya ana mapesa aliyoyapata kifisadi chungu nzima awaachie walala hoi nyumba zao na yeye atafute viwanja ili ajenge na sio kukupuakupua mali za walala hoi kila kona ya Tanzania.
 
Lakini ngoja kwanza. Inapokuja kwenye Wahindi, hapo utu unanishinda hata nijitahidi vipi. I mean, wahindi wamezidi kwa kutoa rushwa, hili nalijua!

Hapa tupo ukurasa mmoja, kama ni kuwa mbaguzi basi so be it!
 
Hao watu wa aina ya akina Zongo wako wengi huko wizara ya ardhi, wanagawa kiwanja kimoja kwa watu zaidi ya mmoja, na wanauza upya viwanja vyenye right of occupancy tayari na kutoa hati nyingine, hivyo kusababisha migogoro ya ardhi. Wengine wanajigawia viwanja kibao kwa majina mbalimbali halafu wanaviuza upya. Kuna ufisadi sana hiyo wizara, na inaelekea John Pombe Maghufuli ingemshinda tu, maana "pombe" yake si kali tena, mgema alishasifiwa sasa katujazia maji tu! Huyo Anna Mkapa alitumia mtandao wa kifisadi ambao uko tayari. Wakati tunamlaumu na kumshutumu kwa kufanya ufisadi huu, tujumuishe pia hao walioko kwenye huo mtandao wa kifisadi, na wote walioulea na wanaoulea hadi sasa.

Ni kweli kwamba kunamatatizo katika idara ya ardhi kama ilivyo katika idara zingine, lakini hili la Zongo mimi nakataa kabisa, soma maelezo yangu post #15. Si mtetei zongo ila ni jambo lisilowezekana. Wanaopaswa kulaumiwa ni hao wa Wizara ya Ujenzi.
 
Ni kweli kwamba kunamatatizo katika idara ya ardhi kama ilivyo katika idara zingine, lakini hili la Zongo mimi nakataa kabisa, soma maelezo yangu post #15. Si mtetei zongo ila ni jambo lisilowezekana. Wanaopaswa kulaumiwa ni hao wa Wizara ya Ujenzi.

Tatizo letu wadanganyika tunaweka bureaucratic procedures kibao katika systems zisizo-work. Matokeo yake ni kujichanganya katika kutoa maamuzi, ingawa katika suala hili wahusika wametumia upenyo katika system mbovu kufanya maovu yao.

Matatizo ya dizaini hii yasingekuwemo kama serikali yetu ingepunguza milolongo ya kutoa maamuzi.
 
Nziku,
Mkuu wangu yaonyesha wazi kuwa wewe ktk ufisadi haupo kabisaaa. mtu safi na muumini wa dini gani sijui!...
lakini nachotaka kukwambia ni hivi:- Thata siku moja usije mwekea mtu dhamana ya kile anacho/asicho weza kufanya. Tanzania ya leo haineknai wazi kama ile ya zamani hakuna kitu kisichowezekana..halafu tunamzungumzia nani hapa Mama ANNA MKAPA! mkuu huyo Zongo kama ndiye daraja la kuvukia basi atavusha deal..Hivi mkuu umesahau ya Richmond na taratibu zilizokuwa zikitakiwa? Umesahau mkataba ulisainiwa hotelini London bila wananchi wakazi wa Buswagi kufahamu kinachoendelea!..
Nitarudia kusema huyu mama Mkapa hakuna kitu asichokiweza inapofikia maswala ya nyumba ushindwe wewe... Hela yako tu tena basi yeye mwenyewe anaweza kukupa Morgage akumalize kwa interest yaani nyumba zote za serikali anafahamu nani kashika wapi na wapi mipaka yake. Wameisha gawana longtime tunachokiona sisi ni mazingaombwe matupu..Hakuna cha wizara wala mjomba wake city au diwani!
Na hiyo fedha mnayozungumzia (Shy) alikuwa nayo LINI? au biashara hiyo kaianza lini kama sio baada ya awamu ya pili ya Mkapa, maanake kabla ya hapo hakuna nyumba za serikali zilizokuwa zikiuzwa.
 
Mkandara,
ni kweli kabisa i hate ufisadi na mafisadi na swala la kumwekea mtu dhamani duh hapa ninapata shida, yaani hata yasiyowezekana yanawezeshwa, imekuwa nchi ya mauzauza sasa.

But it is real true that the City Council can not sell the govt house unless the Finance commitee and Full Council passed the resolution. Na kwa kuwa vikao vya Full Council vipo open kwa kila mtu, jambo hilo lingekuwa limejulikana mapema.

Kwa jinsi mambo yalivyo itapita miaka kadhaa ya kutokuwa na imani na watendaji wakuu wa Serikali pamoja na viongozi. ni hatari sana
 
shy mbona unatuzingua tena? Yaani mwizi akikuibia mbuzi halafu akaenda kumchinja halafu akarudi na kuuzia nyama yake wewe utanunua tu kwa vile mwizi kageuka mchoma nyama ya mbuzi?

Mmh MwKJJ, wewe ni balaa. Nimesoma huu msemo wako nikataka kuvunja mbavu. Kuna mtu alikuwa pembeni yangu akafikiri ndo naanza kufyatu. Huo ni msemo wa MWAKA.
 
Nimesikia mengi sana kuhusu huyu mama kumiliki real estate nchini; nasikia kuna mitaa Dar ukigusa tu unaambiwa imeshanyakuliwa... lakini hadi hivi sasa sijaona karatasi hata moja linalomuunganisha huyu mama na dili lolote la real estate. Kati ya mali hizo zote kuna yoyote yenye jina lake, kampuni, au familia yake ya karibu...?

Mzee Mwanakijiji,

Je weye wajua ajizi ya Keyser Soze?

Je wafahamu ile mantiki ya kufanya illogic kuwa logic na logic kuwa illogic or impossible to be possible and possible to be impossible?
 
Bado sijaelewa hiyo habari. Unaongelea mamlaka mbili tofauti yaani Wizara ya ujenzi na Halmashauri ya Manispaa, kwamba Wizara imeuza nyumba husika kwa watumishi walioishi humo kwa muda mrefu (thats right). Pia Halmashauri ya jiji la Mbeya limeuza nyumba hizo kwa Mama Anna Mkapa.

Mimi naona hapa kuna gap of information. Halmashauri haiwezi kuuza nyumba bila kukubaliwa na Kamati ya Fedha na Uongozi na Baraza la madiwani. Kamishna wa Ardhi (Wizara ya Ardhi) hawezi kutoa hati ya umiliki wa ardhi ya nyumba iliyokuwa ya serikali ya mtaa (Halmashauri) bila Mihtasari ya kamati ya fedha na ule wa Baraza la Madiwani.

Afisa ardhi wa jiji hana uwezo wa kuuza mali (ardhi) ya Halmashauri wala Kamishna wa ardhi hawezi kumkubalia.

Mauziano ya ardhi ni lazima yahusishe Mwanasheria mwenye uwezo wa kiapo, hivyo isingekuwa rahisi kwa afisa ardhi kutekeleza hayo anayotuhumiwa eti kwa kuwa yupo karibu na mama Anna Mkapa.

Mkuu naomba ufuatilie vizuri hizo source, kwani kuna watu wengine siku hizi wanapenda kusukuma jambo wanalotaka kwa kupitia nguvu ya tuhuma za mtu mkubwa. Inawezekana hao jamaa wanahitaji hati za kumiliki ardhi na wameambiwa masharti ambayo wanahisi ni magumu (just my assumption).

Kama ulivyo eleza, kwamba nyumba hizo zipo katika eneo moja (inawezekana kikawa ni kiwanja kimoja) hivyo haiwezekani kutolewa hati kwa watu tofauti mpaka iffanyike plot sub-division, ambayo inamlolongo wake mkubwa tu. au watu hao wakubaliane kisheria kumiliki eneo hilo kwa hisa ie asilimia 8 kwa kila mmoja.

Kama kweli pameuzwa kwa Anna Mkapa, wakati tayari palisha uzwa kwa watu waanaoishi hapo basi waliuza ni Wizara ya ujenzi siyo jiji. Siwatetei jiji ila sababu nilizoeleza hapo mwanzoni zinaondoa uwezekano wa Halmashauri ya jiji kutenda kosa hilo.

Bora umedeclare wazi kuwa ni assumption yako.Wewe naona unajaribu kuleta mantiki katika kuhoji ujambazi wa mafisadi,kumbuka kuwa mafisadi hawathamini wala kujali procedure.Cha muhimu kwao ni lengo kutimia,kwa maana hiyo whatever authority that did give that land to the First Lady Fisadi kwa makusudi kabisa hawakufuata utaratibu mradi tu Mama Fisadi apate eneo,kwani nyumba si zilikuwa zinauzwa kwa wafanyakazi waliokuwa wanazikalia muda huo (licha ya ujambazi uliojitokeza)?Mama Fisadi si alikuwa Magogoni bize na ujasiriamali wa ANBEM na TanPower?

Pia ukumbuke kipindi hicho kilikuwa ndicho kilele cha ujambazi na ufisadi ambao haukuwahi kutokea hapa nchini,unadhani wao wangefanya nini muda huo?
 
Wakuu wenye data watuorodheshee 'tujisenti' twa hawa partners ANBEN maana inaonekana list ni ndefu. Nianze na zinazotajwa sana

1. TanPower/Kiwira
2. Bank M
3. Ikulu ndogo Lushoto
4. Hotel SA
5. ...

Mkuu Ikulu ndogo Lushoto hapana, ila ana miliki nyumba, nadhani na hoteli huko kwa kina Shetani.
Si alisema yeye si tajiri? Mbona hamuelewi? Kwani mtu kuwa na tubilioni tuchache ni utajiri?
Hata hivyo kama BMW angetaja mali zake baada ya kutoka pale Magogoni..tungeweza kulinganisha za za alipoingia Benzi 1, Isuzu trooper, Shamba, nk.


Ile hoteli iko katika kijiji cha Irente na kila mmoja pale mahali anajua ni ya mstaafu wetu! Inaitwa Irente View Hotel na inapatikana katika www.irenteview.com.
Nyumba yake ya kuishi Lushoto iko katika kijiji cha Mkuzi, njia ya kwenda Mlola na ni jirani kabisa na nyumbani kwa Hassan Ngwilizi.
 
Duh hii sasa balaa huyu mama Kiboko hii nchi anataka anunue yote sasa majengo kibao anahusika nayo hapa Dar pale Kwa Kandoro ile hotel anahusika watu tumelia weeeeee sasa nasikia kamuuzia mfanyabiashara mwingine kama 400mill.Haka mama Hakalidhiki na hizo pesa za pension 80% mmh sasa pesa zote hizo atapeleka wapi na atafanyia nn?jamani uroho mwingine umezidi mpaka MBY ameingia nako mmh!hatujui kwao Moshi huko naona Jmushi anaweza kusema mama huyu kawekeza kiasi gani pale Ushirika Moshi kwani ndo kwao hukoo..
Haya tunaomba full data toka MBY tumwanike huyu mama amezidi kula jasho la wananchi.
 
Ni kweli kwamba kunamatatizo katika idara ya ardhi kama ilivyo katika idara zingine, lakini hili la Zongo mimi nakataa kabisa, soma maelezo yangu post #15. Si mtetei zongo ila ni jambo lisilowezekana. Wanaopaswa kulaumiwa ni hao wa Wizara ya Ujenzi.

Mkuu,

Kama uko Mbeya au unaweza kuwasiliana na idara ya ardhi Mbeya not official waulize kwanini Zongo aliamishwa kutoka Mbeya kwenda Mtwara kwa maombi ya wakuu wake wa kazi. Nimekusaidia clue kwa kuanzia kuonyesha kuwa kila kitu kinawezekana hapa Tz, kalani anaweza kuuza nyumba za serikali bila hata full council kujua.
 
6.Lamada apartments (ilala- amenyang'anya toka posta).

7.Imalaseko zote

Uvumi: baada ya moto moto ya JK ameiuza Lamada apartments kwa Kishimba "mmiliki" wa imalaseko,

Wakuu kuna mdau mmoja alinidokeza kuwa kuna nyumba zimejengwa kama ka kijiji fulani Sam nujoma road karibu na njiapanda ya chuo kikuu (ubungo) mkono wa kushoto ukitokea mwenge kuwa ni za mama ana. Alijenga kwa madhumuni ya kituo cha watoto lakini sikuona kitu kinaendelea hadi nilipoondoka huko labda sasa kuna kitu chocho kinaendelea pale?
 
Ni kweli kwamba kunamatatizo katika idara ya ardhi kama ilivyo katika idara zingine, lakini hili la Zongo mimi nakataa kabisa, soma maelezo yangu post #15. Si mtetei zongo ila ni jambo lisilowezekana. Wanaopaswa kulaumiwa ni hao wa Wizara ya Ujenzi.

mkuu unasahau kuwa serikali haina utamaduni wa kusajili ardhi yake, ardhi ina nyumba na kuna watu wanaishi, kwa zaidi ya miaka kumi,kama wapangaji halafu wamiliki, ujenzi hawna wasiwasi hata kidogo, kwa kuwa ni mali yao. all over the sudden walipouziwa wanaanza process za kumilikishwa, wanaenda manispaa kama stage ya kwanza, huko ndiko wanakutana na kijingi kuwa ardhi mnaoyoomba ina mtu naye ni huyo fisadi, wanakimbilia ujenzi, nao ujenzi wanashangaa, ujenzi mbeya wamewasiliana na katibu mkuu wao, naye anashangaa, sasa mkuu unaliona hili.

kuna habari kuwa huyo bwana zongo aliandika hiyo offer akiwa dsm, alioenda kukutana na huyu fisadi

futilieni mkuu

msajili msajili wa ardhi
kanda ya mbeya
simu 0754 277410
 
Wakuu kuna mdau mmoja alinidokeza kuwa kuna nyumba zimejengwa kama ka kijiji fulani Sam nujoma road karibu na njiapanda ya chuo kikuu (ubungo) mkono wa kushoto ukitokea mwenge kuwa ni za mama ana. Alijenga kwa madhumuni ya kituo cha watoto lakini sikuona kitu kinaendelea hadi nilipoondoka huko labda sasa kuna kitu chocho kinaendelea pale?

mkuu unakaribia ukweli, eneo lile lilikuwa mali ya TTCL, ikaundwa kampuni inaitwa simu 2000, mkurugenzi mkuu ni bwana peter samson maro, huyu ni mtoto wa mama ana mkapa wa kwanza, yule aliyemzaa kabla hajakutana na bwana mkapa, kwa hiyo huyu bwana kajiuzia lile eneo peke yake ndo umeona anafanya vitu vyake pale(kumbuka kuwa simu2000ltd, was tasked to manage the assets of the then ttcl, UKO HAPO MKUU? HABARI NDO HIYO
 
Back
Top Bottom