Hapa kuna tatizo,
1.Mama arudishiwe pesa zake (ambazo pia tunaka kujua alizipataje........)
2.Walionunua nyumba wapewe hati zao haraka iwezekanavyo, ili kieleweke
3.Mama Mkapa unaweza pia uka-negotiate na wakazi hao 12 ukawanunua.....NOTE: utueleze hayo mahela umeyapataje though
4. M-baya wetu mkubwa ni huyu ndg Zongo aliye-facilitate uuzwaji wa eneo hilo + nyumba 12...........huyu inabidi amwagiwe TINDIKALI na achomwe MOTO
5. Je kuna mkono wa SIMU 2000 Limited?
....otherwise, Mwikimbi......keep it up the good work!!
Hao watu wa aina ya akina Zongo wako wengi huko wizara ya ardhi, wanagawa kiwanja kimoja kwa watu zaidi ya mmoja, na wanauza upya viwanja vyenye right of occupancy tayari na kutoa hati nyingine, hivyo kusababisha migogoro ya ardhi. Wengine wanajigawia viwanja kibao kwa majina mbalimbali halafu wanaviuza upya. Kuna ufisadi sana hiyo wizara, na inaelekea John Pombe Maghufuli ingemshinda tu, maana "pombe" yake si kali tena, mgema alishasifiwa sasa katujazia maji tu! Huyo Anna Mkapa alitumia mtandao wa kifisadi ambao uko tayari. Wakati tunamlaumu na kumshutumu kwa kufanya ufisadi huu, tujumuishe pia hao walioko kwenye huo mtandao wa kifisadi, na wote walioulea na wanaoulea hadi sasa.