Natoa kero yangu kwenye hospitali za wachina / wakorea, hawathamini kabisa privacy / usiri wa wagonjwa + maadili, hutuchukulia kama vifaa na sio watu

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Ni katika moja ya hospitali niliwahi kwenda kwenye matibabu yangu, hospitali inadeal na mambo ya mishipa / nerves.

Siku nimeenda niliambiwa niende kwa wiki nzima kuna mashine naitumia kwa dakika kadhaa kisha naondoka,

Yani mle chumbani kilichokuwa kikibidi kututenganisha na mtu mwengine ni pazia lakini lilikuwa hata halitumiki.

Kulikuwa na wagonjwa wanaume nadhani ni matatizo ya kukosa nguvu ama vitu vingine walikuwa wanalala chali kwenye kitanda kisha inabidi wavue suruali walale chali sehemu za siri zikiwa wazi, yani hapo pembeni na mimi nikiendea na matibabu yangu naona kabisa mzee yupo na miaka 60 anadanyiwa hivi inabidi tu niangalie pembeni, wale madaktari wala hawajali kutumia pazia,

Mwengine nae kaja kaambiwa ashuhshe suruali naona akawa kama anasita hivi maana mazingira hayana usiri na licha ya kwamba tupo wawili tu bado mlango haujafungwa yani mtu akipita anaona kila kitu.
 
itaje tuijue hakuna haja kuficha
licha ya ukweli mtu mweusi yupo bado ktk kujitafuta kuwa mtu kamili haiwapi wengine sababu ya kutunyanyasa ili hali sisi hatuwafanyii ubaya.
 
wagonjwa wat
Ni katika moja ya hospitali niliwahi kwenda kwenye matibabu yangu, hospitali inadeal na mambo ya mishipa / nerves.

Siku nimeenda niliambiwa niende kwa wiki nzima kuna mashine naitumia kwa dakika kadhaa kisha naondoka,

Yani mle chumbani kilichokuwa kikibidi kututenganisha na mtu mwengine ni pazia lakini lilikuwa hata halitumiki.

Kulikuwa na wagonjwa wanaume nadhani ni matatizo ya kukosa nguvu ama vitu vingine walikuwa wanalala chali kwenye kitanda kisha inabidi wavue suruali, yani hapo namimi nikiendea na matibabu yangu naona kabisa mzee yupo 50 huko inabidi tu niangalie pembeni, wale madaktari wala hawajali kutumia pazia,

Mwengine nae kaja kaambiwa ashuhshe suruali naona akawa kama anasita hivi maana mazingira haya usiri na licha ya kwamba tupo wawili tu bado mlango haujafungwa yani mtu akipita anaona kila kitu.
wagonjwa watafta tiba huwa hawaogopi wala kuona haya🐒
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom