Jamani hebu tusiwe wavivu wa kufikiri tuliojaa wivu na watu wa kulalamika kila wakati.Hoja iko hapo.Haina uthibitisho wowote sisi tunaanza kulalamika na kulaumu watu.Kuna mtu anaweza kututhibitishia madai hayo???Mimi naziona kama chuki binafsi.
Kwa mnaojua sheria,je ni kosa au ni kifungu gani cha sheria kinamkataza mke wa rahisi kuwa mjasiriamali ama kufanya biashara???
Mama Anna Mkapa ni msomi mzuri tu aliyebobea na amekaa katika biashara siku nyingi tuu,je tendo la mmewe kuwa rais linamkataza automatically kuendelea na biashara zake???
Mwenye ushahidi aje mbele aseme labda mchakato wa kununua nyumba hizo ulighubikwa na mazingira ya rushwa.Lakini mimi hadi sasa nayyaona maneno haya kama uzushi tu wa kumsingizia na kumchafua mzee wa watu.
Hebu tuwe makini na matumizi haya ya habari
Jamani hebu tusiwe wavivu wa kufikiri tuliojaa wivu na watu wa kulalamika kila wakati.Hoja iko hapo.Haina uthibitisho wowote sisi tunaanza kulalamika na kulaumu watu.Kuna mtu anaweza kututhibitishia madai hayo???Mimi naziona kama chuki binafsi.
Kwa mnaojua sheria,je ni kosa au ni kifungu gani cha sheria kinamkataza mke wa rahisi kuwa mjasiriamali ama kufanya biashara???
Mama Anna Mkapa ni msomi mzuri tu aliyebobea na amekaa katika biashara siku nyingi tuu,je tendo la mmewe kuwa rais linamkataza automatically kuendelea na biashara zake???
Mwenye ushahidi aje mbele aseme labda mchakato wa kununua nyumba hizo ulighubikwa na mazingira ya rushwa.Lakini mimi hadi sasa nayyaona maneno haya kama uzushi tu wa kumsingizia na kumchafua mzee wa watu.
Hebu tuwe makini na matumizi haya ya habari
Fisadi ni fisadi tu hivi huyu mama ana watoto wangapi kwani anataka kumiliki nyumba ngapi na uzee wote
Ila najua wachaga hawaachi kitu
mtu haruhusiwi kununua nyumba sikuhizi?
Huo Mama Ana wahindi wengi humfuata yeye kununua majumba ya serikali kila siku ofisini kwake utafiukiria ndio wizara ya ardhi, city na kadhalika zimefunga hapo!.
Ukabila!
Ina maana wasukuma wote ni mafisadi kama Chenge?
Kweli kabisa Mushi,
Ukabila uachwe kabisa kwenye hili swala
Na maswala mengine yote!
Lakini ngoja kwanza. Inapokuja kwenye Wahindi, hapo utu unanishinda hata nijitahidi vipi. I mean, wahindi wamezidi kwa kutoa rushwa, hili nalijua!