williardkikoti
New Member
- Aug 1, 2013
- 4
- 0
Wakuu nisaidieni nina mdogo wangu hayupo kwenye orodha ya ambao wanatakiwa kuapply kwa mara ya pili na nikicheck profile yake iko hivi SELECTION IS ON PROGRESS, you will be notified when it is done. Ni kawaida hii hali???