Mimi ni MSAIDIZI WA JAJI (judge's legal assistant) hapa Dar, lakini nafikiri thamani ya maisha yangu ni sawa na ya mfanyakazi wa ndani wa malaya wa Ulaya.
Msidharau kazi za hovyo huko majuu, kwani wanajua pia utu wa mtu, kimalipo. Tanzania utumishi serikalini bila kuiba ni sawa na mwanamke kujiuza utupu wake kwa robo bei.
:eyebrows:
Msidharau kazi za hovyo huko majuu, kwani wanajua pia utu wa mtu, kimalipo. Tanzania utumishi serikalini bila kuiba ni sawa na mwanamke kujiuza utupu wake kwa robo bei.
:eyebrows: