Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Tunabeba Mabox, Tunasafisha Magari (Car Wash) tunajenga nyumba, tunasafisha Mabarabara, na kazi nyingi tu ngumu karibu unakaribishwa njoo uje ujionee huku majuu kulivyo kugumu ile mbaya lakini pesa zipo mishahara huku ni Euro ,Paund ya Malkia, na dollar ya Obama unakaribishwa karibu........Nina marafiki wengi wapo ulaya na marekani kazi yao ni kunitumia picha walizo piga kwenye majengo mbalimbali, lakini hawaniambii wanafanya kazi gani.Ninavyo wajua kwa kupenda sifa wangekuwa na kazi nzuri wangeniambia haraka .Kama kuna mtu mkweli aseme yeye anafanya nini? huko.