Wabongo mlioko majuu hivi huko mnafanya kazi gani?

There you go... we can do that

On your point re walio nje, wanafanya nini na hesabu yao, i can tell you; hata walio dar/tz (na hasa sasa unemployment ilivyo juu) huwezi kujua wanafanya nini, tumeshindwa kulinda mazao yetu

i think we have hadi kufikia 50% ya wabongo walio kwenye inoformal sector ughaibuni na baadhi yao hawako na details zao kwani walishadestroy. the same kwa bongo, sidhani kama tunaweza kweli kusema nusu ya vijana wa tanzania wanafanya nini!!!! HATUWEZI tunaishia kusema wamejiajiri, which is not true

ningependa sana kuona serikali inasaidia vijana kupata hata zile short term contracts nje na kusaidia zile remittance hata kwenye vitega uchumi from a distance

Nimekuta wakenya wana agents wa equity bank in many countries na jamaa wanasema wakenya wananunua sana nyumba nyumbani kwa kutumia facilities za fedha za marekani under special agreements

there is always alot to learn


mimi nasema serikali ikishindwa tujaribu sisi wenyewe tu
vitu kama events za kitanzania nje ya nchi
mfano miaka 50 ya uhuru tungeweza hata kuwa na big concert london au kwenye miji
ambayo wabongo wapo wengi,mfano Houston....
unakumbuka mandela b day ya london????/
 
heri kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa binadamu afrika, usemi huu unamaana gani? hebu tafakari wewe?
 
Mimi nafanya kazi zifuatazo:

1. Regular floor maintenance
2. Dish washer manager.
3. Chief kitchen operations manager.

Usicheke, oooh,

pia ni:
- snow removing engineer
- sewarage systems clearing technician.
-Certified tree cutter.

Hizi kazi babu zinanipa hela ya bills zangu zote na cha juu kibao kinabaki na vilevile kijijini kwetu gorofa limeshakamilika. Njoo babu tuungane........!
 
Life is tough in bongo...and it is no piece of cake in the U.S. too. But the way our visiting relatives see it, dollars grow on trees and they have their traveling bags ready to pluck and pack them.....
word....
 
That is quite the same as relatives from upcountry when they visit their siblings in town. They don't know that u go out of ur way to give them a good time becoz they ar visiting. They think u eat at Hilton and Sea cliff everyday! Its normal bro!
Life is tough in bongo...and it is no piece of cake in the U.S. too. But the way our visiting relatives see it, dollars grow on trees and they have their traveling bags ready to pluck and pack them.....
 
Boss wabongo kwa kifupi hatuna utamaduni huu sisi tuna roho ya kwanini ingekuwa kusaidiana wengi wangekuwa huko kwanza sisi ni wa kwanza kuchomana wenyewe kwa wenyewe halafu unategemea ni wabongo wangapi watasaidia wenzao kwenda nje kuna wafilipino na wathailand kibao wamejaa Casino za Kilimanjaro Hyatt, Le Grand na Sea Cliff mbongo akiwa nje hata ukiwa unafanya jitihada za kwenda huko utasikia anakwambia huku hakufai usije..
Fynest achana na swala la "roho ya kwanini".
Binafsi nimewachoka wabongo na hata nikiwa na dili la ukweli sisumbuki maana nawajua, mtu anaomba kwa mbwembwe umtafutie scholarship alafu ukimpatia tena zile za uhakika hata maombi hatumi.Watu wasanii mpaka kwenye mambo yanayowafaidisha wenyewe.
Bila kusahau wale unaowasaidia alafu wewe ndie unaelipa malipo. . . . kumsaidia mbongo ni sawa na kukubali kesi.Sitaki kabisaaaaa. . . .. .
 
Mimi nafanya kazi zifuatazo:

1. Regular floor maintenance
2. Dish washer manager.
3. Chief kitchen operations manager.

Usicheke, oooh,

pia ni:
- snow removing engineer
- sewarage systems clearing technician.
-Certified tree cutter.

Hizi kazi babu zinanipa hela ya bills zangu zote na cha juu kibao kinabaki na vilevile kijijini kwetu gorofa limeshakamilika. Njoo babu tuungane........!

hapa mkuu unadanganya labda hizo za chini kama kweli ungekuwa huko ungesema..
 
Nina marafiki wengi wapo ulaya na marekani kazi yao ni kunitumia picha walizo piga kwenye majengo mbalimbali, lakini hawaniambii wanafanya kazi gani.Ninavyo wajua kwa kupenda sifa wangekuwa na kazi nzuri wangeniambia haraka .Kama kuna mtu mkweli aseme yeye anafanya nini? huko.


Kama unataka UOLEWE tutakuambia tunafanya nini huku. Kama hauhitaji, kazi ya nini wewe kujua? Ondoa utando katika ubongo wako kabla haujauliza swali humu au kutoa wazo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom