Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,405
ritz labda nikusahihishe, hilo jimbo la Ukonga linaongozwa na mbunge wa CCM Mwanamke mmoja anaitwa sijui Eugine Mwaiposa, pili hiyo kata kunakofanyika huo mkutano Diwani wake ni Jery Silaa na ambaye ndio meya wa Ilala, sasa nashukuru kwa kutupa taarifa kwamba kumbe kata anayoishi meya wetu hata barabara ni mgogoro, kwahiyo Mimi kama Matola mkazi wa jimbo la Segerea sitegemei maendeleo yoyote kutoka kwa viongozi hawa wa CCM.Nilikuwa nataka kuja kwenye huo mkutano nimeishia pale Moshi bar nimerudi barabara mbovu sana...jimbo la Matola
Last edited by a moderator: