Vua Gamba Vaa Gwanda, Ndani ya Ukonga Jumamosi hii 19/05/2012

Mkuu MD25 usiwe na shaka na hilo.
Baada ya mazizini tunakwenda kufunga kazi mtaa wa mzambarauni. Kuna watu kibao wako tayari kuvua magamba na kuvaa magwanda, na ndio wameomba tufanye mkutano maalum eneo hilo.

Kwahiyo tarehe 26/05/2012 jumamosi ya wiki ijayo operation vua gamba vaa gwanda itakuwa jirani kabisa na nyumbani kwa jerry slaa. Jiandae kuwepo mkutanoni.

Pamoja sana mkuu. Makamanda Mungu awatangulie, tuwaache ccm na mapete yao ya shekh yahya vidoleni (mfano: malima mzee wa kunyonya titi).
Ningependa hii operation 'VUA GAMBA... VAA GWANDA', ifika hadi pale mwisho wa lami, nyumbani kwa mzee William baba yake huyu Jerry mpenda chuchu kama malima. Ningependa hii M4C, ibomoe 'ngome' za magamba kama ilivyofanyika msata-bagamoyo...
 
Last edited by a moderator:
Halafu huyu kijana Jerry Silaa nasikia anajiandaa kugombea Ubunge Ukonga.Naapa akipeleka mguu Ukonga na mimi nitajitosa tupambane.Huyu Kijana ameshindwa kufanya chochote akiwa kama meya wa Ilala.

Mkuu Molemo. Huyu dogo, anajiona as if amezaliwa kuwa kiongozi, hata kwenye comments zake kwenye baadhi ya posts utaona anaandika hivi 'kuna watu wananionea wivu, kwa sababu watu wakiangalia mafanikio yangu na umri wangu na wakiangalia mafanikio yao na umri wao, wanabaki kunionea wivu'
yani kana akili za kitoto sana, kamabaki kutunisha tumbo tu, anachofanya ukonga hakieleweki. Ukimuuliza vipi kuhusu barabara ya mombasa - moshi bar, kanadai wananchi ndio hawataki maendeleo, yani nikapuuzi sana. Tokea awe diwani mwaka 2005, hakuna juhudi zozote za maana za kutafuta ufumbuzi wa maji safi (asinieleze habari za visima). Mbona ubungo wameweza kusambaza maji kupitia mradi wa wachina, yeye kwa nini asiige? Pia ukonga ni kubwa mno, watu ni wengi sana, hivi ni kwa nini hajaweza kuratibu ujenzi wa soko kubwa na lakisasa? Amebakia porojo tu, anakera sana huyu dogo.
 
Safari hii ccm hata wamsimamishe nani, lazima mafuriko ya Chadema yapite nae. Wamlete masaburi ama Jerry wote hao tunawamudu zaidi ya sana.
Tumejiandaa vizuri sana na bado tunaendelea kujiandaa kuhakikiha kwamba tunaizika rasmi ccm.

Masaburi sidhani kama atagombea ubunge even udiwani, kwani kwa sasa hizi ishu za siasa zinam-cost sana, mpaka kule chuoni kwake IPS-Chanika, mambo yanaenda kimkanda mkanda, kulipana mshahara inakuwa ishu...
 
Mkuu Molemo. Huyu dogo, anajiona as if amezaliwa kuwa kiongozi, hata kwenye comments zake kwenye baadhi ya posts utaona anaandika hivi 'kuna watu wananionea wivu, kwa sababu watu wakiangalia mafanikio yangu na umri wangu na wakiangalia mafanikio yao na umri wao, wanabaki kunionea wivu'
yani kana akili za kitoto sana, kamabaki kutunisha tumbo tu, anachofanya ukonga hakieleweki. Ukimuuliza vipi kuhusu barabara ya mombasa - moshi bar, kanadai wananchi ndio hawataki maendeleo, yani nikapuuzi sana. Tokea awe diwani mwaka 2005, hakuna juhudi zozote za maana za kutafuta ufumbuzi wa maji safi (asinieleze habari za visima). Mbona ubungo wameweza kusambaza maji kupitia mradi wa wachina, yeye kwa nini asiige? Pia ukonga ni kubwa mno, watu ni wengi sana, hivi ni kwa nini hajaweza kuratibu ujenzi wa soko kubwa na lakisasa? Amebakia porojo tu, anakera sana huyu dogo.

Halafu Pamoja na udhaifu wote huo anajiita Meya wa Ilala.Shame on him!
 
TUKO PAMOJA NAWAZA KUFUNGUA TAWI BAHI DODOMA NAHITAJI KAMPANI YENU WAKUBWA KATA IKO WAZI,NA JIMBO PIA SIELEWI NIANZIE WQAPI.:alien:
 
kama wadarisalama nao wanavaa gwanda,basi tananyika imekombolewa rasmi !

Miongoni mwa wilaya ngumu hapa mjini ni TEMEKE, ila pia kesho pande za Kekomwanga kutakuwa na kazi sana maana tunaenda kuvunja mizizi yote pande za Keko Mwanga B pale!!

Kama kwa Mnyika, Mdee na Uncle Mpendazoe waliweza.....

Kitaeleweka tu hapa mjin.
 
Miongoni mwa wilaya ngumu hapa mjini ni TEMEKE, ila pia kesho pande za Kekomwanga kutakuwa na kazi sana maana tunaenda kuvunja mizizi yote pande za Keko Mwanga B pale!!

Kama kwa Mnyika, Mdee na Uncle Mpendazoe waliweza.....

Kitaeleweka tu hapa mjin.

Mkuu wangu watu wa Keko ni waelewa sana.Mtaa wa Keko Mwanga umeongozwa na TLP na CUF muda mrefu.Watu wa eneo hilo ni opposition by nature.
 
Miongoni mwa wilaya ngumu hapa mjini ni TEMEKE, ila pia kesho pande za Kekomwanga kutakuwa na kazi sana maana tunaenda kuvunja mizizi yote pande za Keko Mwanga B pale!!

Kama kwa Mnyika, Mdee na Uncle Mpendazoe waliweza.....

Kitaeleweka tu hapa mjin.

Mkuu jouneGwalu niwatakie kila la kheri huko Temeke.
Bado sijaona vuguvugu lenu wilayani Temeke fanyeni amsha amsha ya kueleweka. Niliwahi kuongea na mwenyekiti wa Temeke bw. Yona kuelekeza nguvu maeneo ya Tandika, Yombo na Buza. Ccm imechokwa sana na cuf inapumulia mashine.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu jouneGwalu niwatakie kila la kheri huko Temeke.
Bado sijaona vuguvugu lenu wilayani Temeke fanyeni amsha amsha ya kueleweka. Niliwahi kuongea na mwenyekiti wa Temeke bw. Yona kuelekeza nguvu maeneo ya Tandika, Yombo na Buza. Ccm imechokwa sana na cuf inapumulia mashine.

Usijali Kamanda Mwita Maranya!!
Kesho tunaamini tutangaza mwisho hizo zama, maandalizi yapo sawa mpaka sasa.
Tunaweza kuwa na Mdee kama ratiba yake itaruhusu, pia ntatafuta wasaa wa kuongea kwa kirefu na viongozi wa wilaya
 
Last edited by a moderator:
Mwita Maranya Tupe updates Mkuu, wengine tuko KM nyingi sana kutoka Ukonga
 
Mwita Maranya Tupe updates Mkuu, wengine tuko KM nyingi sana kutoka Ukonga

Molemo nae kadondosha uzi kuwa mkutano ni jumamosi ijayo tar 26/05/2012.Ktk Uzi huu taarifa zinasema mkutano ni leo tar 19/05/2012 vipi mbona taarifa ni tofauti?.Au mikutano itafanyika mara mbili?
 
Molemo nae kadondosha uzi kuwa mkutano ni jumamosi ijayo tar 26/05/2012.Ktk Uzi huu taarifa zinasema mkutano ni leo tar 19/05/2012 vipi mbona taarifa ni tofauti?.Au mikutano itafanyika mara mbili?

Mkuu usichanganye.Mkutano wa leo upo hapa Ukonga mazizini na mkutano wa Jumamosi ni wa kitaifa Jangwani.Nipo mkutanoni nitawapa updates kadiri inavyowezekana.
 
Nilikuwa nataka kuja kwenye huo mkutano nimeishia pale Moshi bar nimerudi barabara mbovu sana...jimbo la Matola
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa nataka kuja kwenye huo mkutano nimeishia pale Moshi bar nimerudi barabara mbovu sana...jimbo la Matola

Mkuu Ritz ni kweli barabara ni mbovu sana sana.Huwezi amini kama huku kunaishi watu.Ni aibu kuu kwa CCM
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa nataka kuja kwenye huo mkutano nimeishia pale Moshi bar nimerudi barabara mbovu sana...jimbo la Matola

pale nyumbani kwenu mbona hamuijadili hiyo bara bara? Au ndo hamuwapendi Watz wa huko?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom