Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Napenda kutumia fursa hii kuwafahamisha wadau wa JF kwamba jumamosi hii ya tarehe 19/05/2012 kutakuwa na mkutano wa hadhara eneo la Ukonga mtaa wa Mazizini katika muendelezo wa operation Vua Gamba Vaa Gwanda.
Pamoja na mambo mengine tutazindua ofisi ya tawi la mazizini na kuwavisha magwanda wanachama wapya wengi, miongoni mwao ni kutoka ccm.
Makammanda watakaoongoza mashambulizi jukwaani ni pamoja John Heche (M/Kiti Bavicha Taifa amethibitisha), ambao hawajathibitisha lakini wamepelekewa mwaliko ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe.
Karibuni sana wadau.
UPDATES:
Hadi sasa maandalizi kwa ajili ya mkutano wa kesho yanakwenda vizuri sana.
Kama nilivyokuwa nimetaja hapo awali, waliothibitisha kuwepo kesho ni pamoja na John Heche (mwenyekiti wa Bavicha Taifa) na Mh. Suzan Kiwanga (MB) ambaye pia ni meneja kampeni msaidizi wa Chadema Taifa.
Viongozi kadhaa wa ccm toka kata za ukonga, kitunda, gongolamboto na pugu wanatarajiwa kuvua magamba na kuvaa kombati hiyo kesho.
Pamoja na mambo mengine tutazindua ofisi ya tawi la mazizini na kuwavisha magwanda wanachama wapya wengi, miongoni mwao ni kutoka ccm.
Makammanda watakaoongoza mashambulizi jukwaani ni pamoja John Heche (M/Kiti Bavicha Taifa amethibitisha), ambao hawajathibitisha lakini wamepelekewa mwaliko ni Tundu Lissu na Zitto Kabwe.
Karibuni sana wadau.
UPDATES:
Hadi sasa maandalizi kwa ajili ya mkutano wa kesho yanakwenda vizuri sana.
Kama nilivyokuwa nimetaja hapo awali, waliothibitisha kuwepo kesho ni pamoja na John Heche (mwenyekiti wa Bavicha Taifa) na Mh. Suzan Kiwanga (MB) ambaye pia ni meneja kampeni msaidizi wa Chadema Taifa.
Viongozi kadhaa wa ccm toka kata za ukonga, kitunda, gongolamboto na pugu wanatarajiwa kuvua magamba na kuvaa kombati hiyo kesho.