Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #41
Kwa kweli Chadema wananishangaza mimi nilidhani ni chama mbadala kama wanavyosema kama hata majimbo muhimu ya Dar es Salaam walikuwa hawana wanachama waliokuwa wametayaarishwa ili wagombee basi nimeshashusha mukari ambao nilidhani mwaka huu wangelikuwa nao katika kupambana na CCM, kazi ipo kwelikweli
Aliyekuambia katika majimbo hayo hakuna wagombea wengine nani?katika majimbo hayo tajwa ya Dar yaani Temeke na Segerea kote kuna wagombea wengine tena zaidi ya mmoja.Kura za maoni ndio zitaamua nani ni nani..