Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
MImi KURA yangu kwa CHADEMA. CHADEMA SHIME TUSHIKAMANE tuwashauri na vya vingine vije kujiunga pamoja
Na mimi hilo linanishangaza sana, Jimbo la segerea kuna Rachel Mashishanga ameshatangaza nia ya kugombea na ninaamini kuwa angemuangusha yule mcheza Taarabu aliyepo sasa. Huyu mpenda zoe ana jimbo alilogombea sasa inakuwaje analiacha na kuja kutaka jimbo lingine. Bila kutueleza at least atahakikisha lile jimbo nalo linakwenda upinzani itakuwa ngumu sana kumwelewa huyu mtu. Afadhali angwekwenda ukonga na kumtoa yule Binagi ambaye ndiye anayetoa siri nyingi za chadema kwa CCM na inaonekana anataka kuwauzia jimbo la ukonga bei rahisi.
So far namsupport Rachel kubeba tiketi ya Segerea na atashinda.
Si hivyo tu watapata mishangao hasa hawa sisi m watabaki wanajiuliza maswali yasiyo na majibu. Wavute pumzi kidogo tu.......Hivi ni vijimambo tu mambo makubwa yanakuja hamtaamini macho na masikio yenu midomo itabaki wazi.
Soon tutasikia Mpendazoe for president Chadema! I can see it coming...
Mkuu GS,
Sikujua na wewe umetanga za nia!! Signature yako...
(Mgombea Ubunge Mtarajiwa(CHADEMA)-Niunge Mkono)
Mkuu Nyunyu.Nimetangaza nia na nimerudi jana tu toka Jimboni.Nitarejea tena next week
Ndo maana nilikuwa sikupati kwa simu!!
Gender Sensitive,
Hivi ikiwa CCM walifanya makusudi kuwakwaza CCJ wakijua kwamba mwisho wake vigogo wachache tu ndio watajiunga na Chadema..Kwa maana kwamba wapo vigogo ambao hawataweza ku cross over toka CCM kwenda Chadema kwa sababu za kihistoria ya chama hicho..vigogo wote waliotishia kuhamia Chadema au chama kingine walikolimbiwa..
Na habari za mjini zinasemekana kuwa wapo vigogo wa chama ambao wangependa sana kukihama chama lakini usalama wao utakuwa hatarini na hakuna sheria wala chombo cha kulinda maisha yao...
Je, Chadema imejiandaa vipi kuwahakikishia hawa watu usalama wao pindi wakiiunga na chama hicho!
Ni kweli wamejiunga Chadema, kumekuwa na mazungumzo ya muda mrefu kati yao na uongozi wa juu wa Chadema. Ikumbukweni mazungumzo baina yao na si uongozi mzima wa CCJ umetoa baraka hizo na hii haina maana waliounga mkono CCJ wote sasa nao wamefuata mkumbo. Kwa sisi wengine kuna mambo ambayo hatuwezi kuvunja kanuni kwayo kwa sababu ya political expediency or political opportunism if you will.
Uamuzi huu ni wa kueleweka kama tutakavyoona kuanzia wiki chache zijazo baada ya Bunge kuvunjwa.
Chadema itakapovuka mstari ule wa ajenga, nitakuwa mtu wa kwanza kuinga mkono kwa nguvu zangu zote. Kwa sasa bado wako upande wa pili wa mstari.[/QUOTE]
Upande wa pili wa mstari,upi huo,kwa kuwa ninchofahamu CCJ ndio kimeshakufa kifo cha asili.Unamaanisha huna chama chochote kwa sasa?
Ni kweli wamejiunga Chadema, kumekuwa na mazungumzo ya muda mrefu kati yao na uongozi wa juu wa Chadema. Ikumbukweni mazungumzo baina yao na si uongozi mzima wa CCJ umetoa baraka hizo na hii haina maana waliounga mkono CCJ wote sasa nao wamefuata mkumbo. Kwa sisi wengine kuna mambo ambayo hatuwezi kuvunja kanuni kwayo kwa sababu ya political expediency or political opportunism if you will.
Uamuzi huu ni wa kueleweka kama tutakavyoona kuanzia wiki chache zijazo baada ya Bunge kuvunjwa.
Chadema itakapovuka mstari ule wa ajenga, nitakuwa mtu wa kwanza kuinga mkono kwa nguvu zangu zote. Kwa sasa bado wako upande wa pili wa mstari.[/QUOTE]
Upande wa pili wa mstari,upi huo,kwa kuwa ninchofahamu CCJ ndio kimeshakufa kifo cha asili.Unamaanisha huna chama chochote kwa sasa?
kwa sasa sijaona chama chenye kuwakilisha japo kwa kiasi fulani fikra na maono yangu kuhusu Taifa. CCJ bado inabakia kuwa ni fikra ambayo naweza kujenga kutoka hapo.
Tatizo la MMKJ, when it comes to CCJ, he is full of politics even in simple questions and matters!Ni kweli wamejiunga Chadema, kumekuwa na mazungumzo ya muda mrefu kati yao na uongozi wa juu wa Chadema. Ikumbukweni mazungumzo baina yao na si uongozi mzima wa CCJ umetoa baraka hizo na hii haina maana waliounga mkono CCJ wote sasa nao wamefuata mkumbo. Kwa sisi wengine kuna mambo ambayo hatuwezi kuvunja kanuni kwayo kwa sababu ya political expediency or political opportunism if you will.
Uamuzi huu ni wa kueleweka kama tutakavyoona kuanzia wiki chache zijazo baada ya Bunge kuvunjwa.
Chadema itakapovuka mstari ule wa ajenga, nitakuwa mtu wa kwanza kuinga mkono kwa nguvu zangu zote. Kwa sasa bado wako upande wa pili wa mstari.[/QUOTE]
Upande wa pili wa mstari,upi huo,kwa kuwa ninchofahamu CCJ ndio kimeshakufa kifo cha asili.Unamaanisha huna chama chochote kwa sasa?
Ni kweli wamejiunga Chadema, kumekuwa na mazungumzo ya muda mrefu kati yao na uongozi wa juu wa Chadema. Ikumbukweni mazungumzo baina yao na si uongozi mzima wa CCJ umetoa baraka hizo na hii haina maana waliounga mkono CCJ wote sasa nao wamefuata mkumbo. Kwa sisi wengine kuna mambo ambayo hatuwezi kuvunja kanuni kwayo kwa sababu ya political expediency or political opportunism if you will.
Uamuzi huu ni wa kueleweka kama tutakavyoona kuanzia wiki chache zijazo baada ya Bunge kuvunjwa.
Chadema itakapovuka mstari ule wa ajenga, nitakuwa mtu wa kwanza kuinga mkono kwa nguvu zangu zote. Kwa sasa bado wako upande wa pili wa mstari.
Upande wa pili wa mstari,upi huo,kwa kuwa ninchofahamu CCJ ndio kimeshakufa kifo cha asili.Unamaanisha huna chama chochote kwa sasa?