Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #21
Wow.... GS, My friend;
I am proud of CCJ leaders na pia i am very proud of CHADEMA for accepting this change. Hii ndiyo ndoto yangu kwenye upinzani, fighting the common enemy.
Najua MMM naye atakua hepi na kusema ukweli huu ni uamuzi wa busara sana... UNGANENI NA KUWA NA SAUTI ZAIDI BUNGENI, ITS ONLY THEN NDIPO DEMOKRASIA YA KWELI ITAPATIKANA
BTW, HEBU CORRECT HIZO SPELLING, HAO NI OFFICE MATES KWA SASA
AT LIST THIS WILL ALSO SWING THE MEDIA ATTENTION TO UPINZANI
Nimekupata rafiki De Novo.Vipi B point lini tena?