Viongozi wa CCJ Wajiunga Rasmi na CHADEMA

Naomba msaada kwani kiswahili kinanipa taabu kidogo, Je

  • Mroho wa kitu ni anayetafuta kitu naye apate au aliyenacho na hataki mwingine apate ?
  • Mroho ni mwenye njaa anayetafuta chakula au mwenye shibe anayekula na kusaza ?
  • Mroho ni masikini ambaye hana hata cha kuita cha kwake au tajiri aliyekomba jila kitu ?
  • Mroho wa madaraka ni Chadema inayotafuta madaraka au CCM iliyokaa madarakani miaka 50 ?
Naoma mniambieni mroho hasa ni nani.
 
Hii CCJ toka kuanzishwa kwake ilionekana haiko strong. Kilichoonyeshwa kwenye Star TV jana kuanzia ofisi zao zilipo mhhh niliongeza mashaka na chama hiki.
Kama chama kinahamwa na viongozi wa ngazi za juu, ina maana hakina mwenyewe?
Bila shaka walitegemea wangepata wale ambao wangehama toka CCM, baada ya kukosekana wakaona wamedanganyika. Hivyo, kila mwanaCCJ anaamua kivyake
 
Hongera zangu kwa uamuzi wa busara waliochukua Mheshimiwa Mpendazoe na wenziwe. Sasa huko waendako waende na dira ya kuunganisha wapinzani na sio kuzidi kuwavuruga ama kuchukulia vyama hivyo kama backup plan ya so called Wapiganaji/wapambanaji/etc. Janga la Mrema Factor na athari yake katika ukuaji wa demokrasia makini linatosha....



omarilyas

Mkuu nagalau leo umecoment vizuri kuhusu CHADEMA,nilivyoona nilidhani utakuwa umechafua hali ya hewa
 
kama vile mchezo wa kuigiza!!! Hello, Siutani. Kweli madaraka matamu. Bila shaka mpendazoe atakua anajuta kwa nini alikimbia ccm. Lakini pia niulize, kilichomfanya mpendazoe akimbie kugombea jimbo lake ni nini? au huko segerea kuna nini?:sick:
 
Naomba msaada kwani kiswahili kinanipa taabu kidogo, Je


  • Mroho wa kitu ni anayetafuta kitu naye apate au aliyenacho na hataki mwingine apate ?
  • Mroho ni mwenye njaa anayetafuta chakula au mwenye shibe anayekula na kusaza ?
  • Mroho ni masikini ambaye hana hata cha kuita cha kwake au tajiri aliyekomba jila kitu ?
  • Mroho wa madaraka ni Chadema inayotafuta madaraka au CCM iliyokaa madarakani miaka 50 ?

Naoma mniambieni mroho hasa ni nani.
Mroho wa madaraka ni CCM iliyokaa madarakani miaka 50
 
Naomba msaada kwani kiswahili kinanipa taabu kidogo, Je

  • Mroho wa kitu ni anayetafuta kitu naye apate au aliyenacho na hataki mwingine apate ?
  • Mroho ni mwenye njaa anayetafuta chakula au mwenye shibe anayekula na kusaza ?
  • Mroho ni masikini ambaye hana hata cha kuita cha kwake au tajiri aliyekomba jila kitu ?
  • Mroho wa madaraka ni Chadema inayotafuta madaraka au CCM iliyokaa madarakani miaka 50 ?
Naoma mniambieni mroho hasa ni nani.

Dhana ya chama cha siasa unaifahamu?
 
Back
Top Bottom