Usifungue thread hii utani huu siyo

Twende twende,mashavu kama mimba ya panya,twende sasa,nywele mojamoja kama mkutano wa nzi...
 
muone kwanza mwembamba hadi ukisimama stand/kituoni konda wa daladala anasema hatupakii miwa kwa daladala.
 
twende, twende..
maskio ka popo bawa aliyewagonga watu wa mbagala!!
 
Back
Top Bottom