DAWA YA SIKIO
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 979
- 180
Huuuuh ! Huu mpododo umenipa namba ya kobota nini ? Mbona nikipiga inakata!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sura kama mtoto wa mkulima
kichwa kama tochi
Twende twende,ndo maana ulizaliwa bar ukaitwa tusker.
Kwenu wachafu mpaka Mende wamehamaSiku zote jitahidini kufuata instruction....... wewe uliyefungua thred hiii
" Mashavu ka sidiria!!!!"
Siku zote jitahidini kufuata instruction....... wewe uliyefungua thred hiii
" Mashavu ka sidiria!!!!"
''We umebemendwa !''Siku zote jitahidini kufuata instruction....... wewe uliyefungua thred hiii
" Mashavu ka sidiria!!!!"
muone kwanza kiuno ka mbwa akata kona, ndo mana mamako changu,babako deiwaka ukazaliza chokoraa! haya kôjoa ukalale na ukikataa nakuongeza!
una sura imekunjamana ka nyama ya goti ....sura mbaya ka nyuma ya sufuria ...twende twende ..
kwapa lako linanuka ka choo cha stendi
....Chek pua ya mtoa mada...ka reproductive organ ya punda
ndo mana kwenu kuchafu mpk mende wanapaogopa! we mwembamba mpk ukisimama ukutan mtu anafikir ni ufa au nyumba imecrack!
Siku zote jitahidini kufuata instruction....... wewe uliyefungua thred hiii
" Mashavu ka sidiria!!!!"
mi sjafungua,imefunguka bahati mbaya,ila akili kama ya baba ake riz, twende twende,huna thamani kama bia iliyo flatemuone kwanza kiuno ka mbwa akata kona, ndo mana mamako changu,babako deiwaka ukazaliza chokoraa! haya kôjoa ukalale na ukikataa nakuongeza!