Usifungue thread hii utani huu siyo

Ndo manaa mrefu mpka unaona jana...mfupi mpaka ukikaaa kweye piriton migu inaningnia
Una nywel moja unalilia kwenda saluni
Mlipka wali mkfunga mlango na pini

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Siku zote jitahidini kufuata instruction....... wewe uliyefungua thred hiii

" Mashavu ka sidiria!!!!"

twende twende twende,ndo maana we mnene mpaka ukipakwa rangi ya njano kwa mbali watu wanasema school bus,ukipakwa nyekundu watu wanakuja kutoa m-pesa!
 
ndo maana kwenu mna nyumba ya nyasi.wezi wakija wanawaambia.fungueni mlango au tulete ng'ombe?
 
Back
Top Bottom