are haina specific bei. Mimi nilinnunua heka 10 mwaka 2009 kwa shilingi laki 3kwa heka zote. Ni eneo Zuri kwa migomba. So Kama mko tayari nitawaulizia. If ua serious.mkuu tumwagie bei ya mashamba huko inaendaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
are haina specific bei. Mimi nilinnunua heka 10 mwaka 2009 kwa shilingi laki 3kwa heka zote. Ni eneo Zuri kwa migomba. So Kama mko tayari nitawaulizia. If ua serious.mkuu tumwagie bei ya mashamba huko inaendaje
Karibuni mahenge. SIto migomba tu hata mipalachichi inakubali. Mtimbira kwa migomba pako poa sana. I can give u people ABC. TIWASILIANE. NITAWASAIDIA.
Nina ufahamu mzuri na wilaya ya Ulanga kule mahenge/ mtimbira. Huko maeneo ni mazuri sana.Mkuu, Karl peters wangu hajarudi toka Chita, sasa nisaidie yafuatayo.
Bei kwa eka moja ya shamba plain,
Manpower ipo au ni ya kuagiza,
Mazao yanamea vizuri hapo,
Umbali wa jumla in km, toka Dar mpaka hapo, au toka mikumi mpaka hapo,
Je Parachichi miche ipo hapo au ni ya kuagiza,
Nina ufahamu mzuri na wilaya ya Ulanga kule mahenge/ mtimbira. Huko maeneo ni mazuri sana.
mkuu kama zako hizo niandae ngapi kwa sasa. ni ya kijiji au ya watu. natanguliza shukrani.are haina specific bei. Mimi nilinnunua heka 10 mwaka 2009 kwa shilingi laki 3kwa heka zote. Ni eneo Zuri kwa migomba. So Kama mko tayari nitawaulizia. If ua serious.
Kuna mkungu unaotokana na Mradi huu toka shamba moja la mkulima huko Ngara umefikia kilo 230! Kuna taarifa huenda ukavunja rekodi katika vitabu vya Guieness. Mradi umezalisha takriban aina kama tatu za mbegu ambazo zinafaa kwa biashara kuanzia kula hadi kutengeneza mvinyo! Kwa maelezo zaidi, fanya mawasiliano na maafisa kilimo wilaya za Mkoa wa Kagera na wilaya ya Kibondo mkoa wa Kigoma ambako Mradi huu umetekelezwa.
search humu, kunanyuzi nyingi zinahusu ndizi humu.
unataka nimsachie?Hujamsaidia bado
Sa hivi njoo huku kirua uone mkungu wa ndizi mshale ni sh.600, namaanisha shilingi Mia sita ya kitanzania afu hakuna mtu anakuja kununua mkungu wala nini, mpk imefika hatua ndizi zinakatwa katwa anapewa ng'ombe, so msidhani kutajirikia kwenye ndizi ni rahisi kama mnavodhani
tatizo wakulima wengi huwezi kuta amefika hata ekari moja. wengi huuza kwa wachuuzi.Kama Ni rahisi hivo wahaya wote wangekua kama rugemarila
rungwe ndizi mzuzu inajumliwa kwa 2000-5000. ikifika dar inauzwa 12,000-18,000. zinafikaga hadi 30,000. uliza hizo mshale ikipanda sana inafika tsh ngapi? liza pia dar ni tsh ngapi?Sa hivi njoo huku kirua uone mkungu wa ndizi mshale ni sh.600, namaanisha shilingi Mia sita ya kitanzania afu hakuna mtu anakuja kununua mkungu wala nini, mpk imefika hatua ndizi zinakatwa katwa anapewa ng'ombe, so msidhani kutajirikia kwenye ndizi ni rahisi kama mnavodhani
tatizo wakulima wengi huwezi kuta amefika hata ekari moja. wengi huuza kwa wachuuzi.