Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,883
sijabisha. bei inategemea ndizi na ndizi. jiulize kwanini bei ipo hivyo, labda wamefunga mpaka?. je bei ikiwa juu hufika ngapi? je dar ni tsh ngapi?. inatakiwa utafiti sababu kabla ya kuja na conclusion.Kama huamin Mkuu,njoo kirua mtu ana ekari 5 afu mambo ni Yale yale, anyway jambo unalofanya ni jema sana mungu akuongoze kwenye mafanikio
ngoja nikupe mfano. Brazil inazalisha 33% ya kahawa duniani. kuna miaka barafu huanguka kwenye mashamba ya kusini na kusababisha uzalishajji mdogo na bei kupanda sana. miaka ambayo uzalishaji ni mkubwa bei huporomoka. siamini mkungu wa ndizi za mtori huwa 600 miaka yote. mwezi uliopita nilinunua mzuzu shambani tukuyu kwa 5000.