-kwa kuongeza.. Malila nikweli nilishfanya kazi Kilombero... Mbingu kuna bonde la mto kilobero na kuna mito mingi.. barabara ndio changamoto... hata mpunga unalimwa sana kule na kuna mchina ana kama hekta 3000 anataka apige mpunga na aupeleke mojakwamoja uchina..
-Kwa wadau: Nilibahatika pia kufanya kazi mahenge.. Ndizi zinakubala sababu bado ni bonde la mto kilombero na udong ni wa mbuga... Maeneo ya Lukande na malinyu yanafaa ka zao hili..
Mfano hai: mwanajeshi Mstaafu amelima heka zake 5 pale Lukande.. kila mche akaweka dumu la lita 20 na amelitoboa matundu kiasi kwamba..maji yanatoka kwa muda maalumu.. akawe vibarua kuyajaza madu kila wiki maji ayakiisha... akitoa mzigo si ya fuso 5 kwa siku zinatoka pale...!! msisahau pia kuna ujenzi wa barabara 2.. 1 ya mmarekani anapitisha Lukande kwenda Namtumbo-Songea(kwenye mradi wa Uranium)..2 ni serikali inapi Lupiro kupitia Kilosa kwa mpepo na kusonga hadi Ruvuma kurahisisha usafiri(Feasibility Study ya daraja la mto Kilombero umeshakamilika).. hivyo tupieni jicho ukanda huo..
Nilibahatika kupita mvomero ..kuanzia Mji wa mvomero kupitia Turiani hadi Mziha.. ni ukanda unaokubali mazo mengi ikiwemo ndizi na ardhi bado ni bei rahisi... Mchina anajenga barbara kuazia mikumi..Kilosa...Dumila.. Turiani mpaka Handeni(hongera M.Mkulo) kurahisisha usafiri toka Kusini na Nyanda za Juu kuja Kanda y kaskazini... changamkieni na huko..
Ahsanteni..
Nilibahatika pia kuwepo m
Huna mwenyeji kipande hicho?