Uraia wa nchi mbili: Maendelo na Matokeo yake!

Na ni haki ya mtu hata kama alizaliwa nje ya nchi na wazazi wake wote au mmoja wa wazazi wake ni Mtanzania, kuwa na uraia wa Tanzania na wa huko alikozaliwa (bila kujalisha kama huko alikozaliwa ni Darfur, Kigali, London, au San Francisco). Na kwenye mambo ya ndoa ni hivyo hivyo.Mambo ya misplaced loyalty ni rahisi (yanawezekana) kuyadhibiti kwa kutumia sheria ambazo pia zita-safeguard resources na interests zetu.
 
Kisura,

Mimi nina watoto ambao wamezaliwa nje ya Tanzania wakati babao nikihangaika kujitafutia maisha. Kwanini mnataka uamuzi wangu mimi kurudi kwetu ndio uwe mwisho wa uhusiano wao na nchi waliko zaliwa na kukulia? Mnataka hawa watoto huko mbeleni hata wakitaka
kurudi huku kusoma, kufanya biashara, kutibiwa nk. wakaanze upya kujipanga foleni kama nilivyofanya baba yao? Huo ndio uzalendo mnaousema? Matokeo yake watoto wengi wa namna hii Tanzania itawapoteza na sio wao tu na baadhi ya baba zao na mama zao maana mnawaweka njia panda ya kufanya maamuzi ambayo ni magumu mno kwao.

Jambo lingine ili upate kazi ya maana huku majuu au ili uwe na mafanikio kwenye kazi yako flexibility ni kitu muhimu sana. Unaambiwa keshokutwa kuna mkutano nchi A, na wiki ile nchi Z. Wewe ndugu yangu Mtanzania wakati unahangaika na visa, kuna nchi zaidi ya 100 ambazo huwezi kupata visa chini ya wiki mbili hata uwe na milioni ngapi, matokeo yake kazi kama hizo unawekwa pembeni hata kama ulikuwa na uwezo. Mtu akifikiria mara mbili anaona yanini shida, anachukua gamba na akifikiria kurudi TZ mpaka akatafute visa, huyo ndio hatumwoni tena.

Tanzania tayari tunaruhusu dualcitizenship kwa wanawake ambao wameolewa na wanaume wa Kitanzania. Muingereza akiolewa na Mtanzania basi akitimiza masharti anachukua uraia wa Tanzania na kuendelea na uraia wake wa Kiingereza. Je ubaguzi huu wa nini? Kama hiyo dualcitizenship ina madhara makubwa mbona hakuna madhara ambayo tumepata kwa kuwaruhusu hawa wake zetu wawe na dual citizenship?

Wageni wengi walioko Tanzania hata wakiukana uraia wa walikotoka, kukana huko hakuna nguvu kisheria. Kichini chini wanaendelea kuwa na uraia wa nchi zaidi ya moja. Wengine wao ndio hao walituingiza mjini kwenye mambo ya rada, ndege ya rais nk. Wakati mnafunga mikono Watanzania wenzenu, mnawaachia wageni warushe makonde bila upinzani.

Watanzania wenyewe mpaka sasa kwenye maelfu wana gamba zaidi ya moja. Wakija TZ wanakuja na la TZ wakirudi huko kwingine wanalo lingine. Kwanini mnawafanya Watanzania wavunje sheria, badala ya kuwarahisishia maisha ili popote watakapokuwa wawe na mazingira mazuri ya kujiendeleza wao na familia zao.

Ilipofikia sasa kukataa dualcitizenship TZ ni kujisumbua bure. Watu wengi watachukua maana wanaangalia namna ya kujiokoa wenyewe kwanza kabla ya kumwokoa mtu mwingine. Sheria kwasasa inawabana wale wachache ambao hawako tayari kuvunja sheria na kwa Tanzania sio wengi. Kinachoendelea sasa ni ubinafsi, kwasababu hiyo sheria haitakusaidia wewe basi, huoni umuhimu kwa hao Watanzania wengine wengi ambao watafaidika.

Toka lini sheria zinatungwa ili kusaidia walio wengi tu? Kama ni hivyo mbona wote tunalipia shule hata kama tunajua sio sisi wala watoto wetu ambao watagusa huko vyuo vikuu, mbona nchi inasomesha vijana wake nje hata kama inajua baadhi yao hawatarudi?

Tuachane na mawazo ya kujifungia, tulijifungia huko nyuma kwenye elimu, matokeo yake watu wachache sana walisoma kuliko majirani zetu, matokeo yake mpaka leo hatujiamini na ndio mwanzo hata wa kuogopa Jumuia ya Afrika mashariki.
 
Jamani,
Ni kitu gani hadi leo hii kinafanya ni nchi chache tu dunuani hadi leo ndo zimekubali dualcitizenship? Maanake ingekuwa mali mbona kila nchi ingechangamkia mapema? Kwa nini hizi nchi zinasita? Lazima liko jambo? Siyo hivi2!
Haya mambo ya serikali to rush to do things 'kwa ajili ya presha' mimi naona sii sahihi! Kwa vile US na UK wamechangamkia nasi tuchangamkie?
 
Jamani,
Ni kitu gani hadi leo hii kinafanya ni nchi chache tu dunuani hadi leo ndo zimekubali dualcitizenship? Maanake ingekuwa mali mbona kila nchi ingechangamkia mapema? Kwa nini hizi nchi zinasita? Lazima liko jambo? Siyo hivi2!
Haya mambo ya serikali to rush to do things 'kwa ajili ya presha' mimi naona sii sahihi! Kwa vile US na UK wamechangamkia nasi tuchangamkie?

Na zilizokubali zimepata madhara gani? Na kwa nini US na UK wamechangamkia hiyo dili?
 
Na zilizokubali zimepata madhara gani? Na kwa nini US na UK wamechangamkia hiyo dili?
Wao ni US na UK sisi ni Tanzania- kwani ni lazima kuiga kila kitu chao? I dont see the reason kwa nini serikali ichangamkie kwa sasa! One can not divide his/her loyality! Sijui kama vita ikitokea kama na Idd Amini mtu yuko US atachukua silaha! Na vita tu vikizuka mwenye pasipoti ya US ndo anakuwa wa kwanza kukimbia!
 
Wao ni US na UK sisi ni Tanzania- kwani ni lazima kuiga kila kitu chao? I dont see the reason kwa nini serikali ichangamkie kwa sasa! One can not divide his/her loyality! Sijui kama vita ikitokea kama na Idd Amini mtu yuko US atachukua silaha! Na vita tu vikizuka mwenye pasipoti ya US ndo anakuwa wa kwanza kukimbia!

Suala sio kuiga ; suala ni haki na kama inabidi kuiga ili mtu apate haki yake then so be it. Tuna watoto wamezaliwa huku. Kama walivyo na haki ya kuwa Wamarekani pia wana haki ya kuwa Watanzania kwa sababu nusu au zima la chimbuko lao ni huko. Kwa nini mwanangu awe anahangaikia viza akitaka kwenda kuwaona babu na bibi, shangazi na mjomba, binamu na ndugu na jamaa wengine? Ikitokea vita ni wazi watakuwa torn na ndio maana katika sehemu nyeti za kulinda maslahi ya taifa wanatakiwa wazawa kwa asili na kwa kuzaliwa.
 
Suala sio kuiga ; suala ni haki na kama inabidi kuiga ili mtu apate haki yake then so be it. Tuna watoto wamezaliwa huku. Kama walivyo na haki ya kuwa Wamarekani pia wana haki ya kuwa Watanzania kwa sababu nusu au zima la chimbuko lao ni huko. Kwa nini mwanangu awe anahangaikia viza akitaka kwenda kuwaona babu na bibi, shangazi na mjomba, binamu na ndugu na jamaa wengine? Ikitokea vita ni wazi watakuwa torn na ndio maana katika sehemu nyeti za kulinda maslahi ya taifa wanatakiwa wazawa kwa asili na kwa kuzaliwa.
Nyaningabu,
Bado naanimi mtu hawezi kuwatumikia mabwana wawili! Hao watoto kwani wakizaliwa US na Watanzania do they cease to be Tanzanians? Kwanini wasiandikishwe uraia wa Tanzania? Kama inakuwa ngumu- ok waje tu watafute visa- kama watu wengine!
Hili swala bado sijaona mantiki kwa Utaifa na uzalendo wetu- mtu aamue moja anapenda kuwa Mtanzania au Mmarekani but not both!
Sijui kama huu mswada umefika bungeni- ila sitashangaa bunge kupitisha haraka2 kama miswada mingine! Naona hili swala linaharakishwa kutokana na 'pressure' bado hajutajapata sababu nzito za msingi!
Eti Sumaye, EL alivyokuja watu walimuuliza- is that not 'pressure'?
Uzalendo wa mahali unatokana na loyalty- na hili swala kuwapa watu passpot mbili2 will rob off loyalty!
Hili swala lijadiliwe kwa kina! Hizo sababu bado hazina uzito- ukilinganisha na uzalendo na utaifa!
 
Nyaningabu,
Bado naanimi mtu hawezi kuwatumikia mabwana wawili! Hao watoto kwani wakizaliwa US na Watanzania do they cease to be Tanzanians? Kwanini wasiandikishwe uraia wa Tanzania? Kama inakuwa ngumu- ok waje tu watafute visa- kama watu wengine!
Hili swala bado sijaona mantiki kwa Utaifa na uzalendo wetu- mtu aamue moja anapenda kuwa Mtanzania au Mmarekani but not both!
Sijui kama hii sheria imefika bungeni- ila sitashangaa bunge kupitisha haraka2 kama miswada mingine!

Aha!! First off, mfano wa kutumikia mabwana wawili is misplaced. I just wanted to point that out.

Secondly, to answer your rhetorical question, watoto wakizaliwa Marekani na wazazi wote wakiwa Watanzania au mzazi mmoja akiwa Mtanzania do they cease to be Tanzanians? The answer is a resounding NO. Ndio maana nasema hakuna ubaya wa wao kuwa raia wa Tanzania na wakati huo huo kutambulika kuwa raia wa hiyo nchi walikozaliwa. Who is a Tanzanian anyway?
 
Nyaningabu,
Bado naanimi mtu hawezi kuwatumikia mabwana wawili! Hao watoto kwani wakizaliwa US na Watanzania do they cease to be Tanzanians? Kwanini wasiandikishwe uraia wa Tanzania? Kama inakuwa ngumu- ok waje tu watafute visa- kama watu wengine!
Hili swala bado sijaona mantiki kwa Utaifa na uzalendo wetu- mtu aamue moja anapenda kuwa Mtanzania au Mmarekani but not both!
Sijui kama hii sheria imefika bungeni- ila sitashangaa bunge kupitisha haraka2 kama miswada mingine! Naona hili swala linaharakishwa kutokana na 'pressure' bado hajutajapata sababu nzito za msingi!
Eti Sumaye, EL alivyokuja watu walimuuliza- is that not 'pressure'?
Uzalendo wa mahali unatokana na loyalty- na hili swala kuwapa watu passpot mbili2 will rob off loyalty!
Hili swala lijadiliwe kwa kina! Hizo sababu bado hazina uzito- ukilinganisha na uzalendo na utaifa!

Uzalendo na utaifa ni nini? Maybe we need to define these two concepts before we go any further...
 
Uzalendo na utaifa ni nini? Maybe we need to define these two concepts before we go any further...
Uzalendo na utaifa wenye maana ya loyalty! Mtu ana mguu mmoja Tanzania, mguu mmoja UK huyu je ni Mwingireza au Mtanzania? Akipata taabu kidogo tu sehemu moja anakimbilia kwingine!
I dont think as a poor nation we have reached a stage of Dual-citizenship!
Kwannza hatuna national ID- na dualcitizenship will abuse so much utambulisho wetu kama Mtamzania- watakuja watu wengi tu who will cailm Utanzania na magaidi pia watakuja wengi!
Ila why are we on hurry? Especially now? Bado sioni sababu! Hao US na UK ni matajiri and can control hata watu wenye nia mbaya!
Well siku na miaka ijayo hili swala laweza kujadiliwa na kufikishwa bungeni ila inanipa wasi2 kwa nini tunaharakisha! Inaonekna kuna 'pressure'
 
Mi ndio maana nasema waBongo kweli mnanichosha, yaani hapa choka mbaya. Yaani kweli 'urai wa mtoto wako' ndio sababu ya kutaka kupitishwa muswada huu? Kama unaona Marekani kunakufaa sana, mwache mtoto wako a-assume US citizenship, au ni hiyo $20 ya kulipia viza ya Tanzania ndio inaleta tabu? Are you serious? Eeeh, Wasomi hao, kaazi kweli kweli!

Bwana Masanja ameongea pointi moja, labda kweli kuna kitu kingine ndani ya muswada huu ambacho mimi sijakifahamu, lakini kingine kinachonifadhaisha hapa ni kuwa, of all people mnao-support this citizenship thingy, mnautaka kwa:
1. Family: Uraia wa watoto wenu
2. Viza: Hamtaki kusimama mistari kuomba viza
3. Flexibility ya kusafiri nchi moja na nyingine

Please tell me I am dreaming!
 
Mi ndio maana nasema waBongo kweli mnanichosha, yaani hapa choka mbaya. Yaani kweli 'urai wa mtoto wako' ndio sababu ya kutaka kupitishwa muswada huu? Kama unaona Marekani kunakufaa sana, mwache mtoto wako a-assume US citizenship, au ni hiyo $20 ya kulipia viza ya Tanzania ndio inaleta tabu? Are you serious? Eeeh, Wasomi hao, kaazi kweli kweli!

Bwana Masanja ameongea pointi moja, labda kweli kuna kitu kingine ndani ya muswada huu ambacho mimi sijakifahamu, lakini kingine kinachonifadhaisha hapa ni kuwa, of all people mnao-support this citizenship thingy, mnautaka kwa:
1. Family: Uraia wa watoto wenu
2. Viza: Hamtaki kusimama mistari kuomba viza
3. Flexibility ya kusafiri nchi moja na nyingine

Please tell me I am dreaming!

Yes..and in a broader sense, you can call it family ties. What's wrong and unreasonable about that? Now you tell me under what circumstances would you push such a bill? Or you are just dead set against it for any reason?

Halafu kwangu US citizenship is immaterial and irrelevant. It'a just about the principle; of family ties. Hata kama mtoto wangu angekuwa nusu Mtutsi nusu Msukuma na anaishi Kigali, kwa hili ningelisimamia kama ninavyolisimamia sasa.

Halafu no need kutoa kauli za kejeli eg. "Eeeh, Wasomi hao, kaazi kweli kweli". Hoja zijibiane kwa hoja.
 
Thanks for your opinion, that is why Tanzania is a democratic country and it shows how mature our democracy is growing faster than ever. for that case everyone is in title to his /her thought,but that does not give you any title to judge other or make decission for others. Wether you agree or not to have dual citizenship, it is the parliament's responsibility to decide on behave of all Tanzanians regardless where they reside. Living in Tanzania does not make you a real Tanzanian or give you any power to stripe some's citizenship status. Its a matter of time people will understand and things will change.
Kila la kheri wewe unaedhani ndo Mtanzania Halisi!!!!!!!
 
Thanks for your opinion, that is why Tanzania is a democratic country and it shows how mature our democracy is growing faster than ever. for that case everyone is in title to his /her thought,but that does not give you any title to judge others or make decision for others. Wether you agree or not to have dual citizenship, it is the parliament's responsibility to decide on behalve of all Tanzanians regardless where they reside. Living in Tanzania does not make you a real Tanzanian or give you any power to stripe some's citizenship status. Its a matter of time people will understand and things will change.
Kila la kheri wewe unaedhani ndo Mtanzania Halisi!!!!!!!
 
Saidi,

Ahsante kwa kulileta hili.

Ningependa kuwapasia links za documents mbili muhimu kuhusu hii issue ili tuweze kuchangia vizuri zaidi.

Zinapatikana katika website ya Tanzania Law Reform Commission.

1. Position Paper on Introduction of Dual Citizenship in Tanzania
In pdf format:
http://www.lrct-tz.org/PositionPaperOnDualCitizenship.pdf
In MS word format:
http://www.lrct-tz.org/PositionPaperOnDualCitizenship.doc

2. Questionnaire on whether Tanzania should retain Single Citizenship stance or Adopt Dual Citizenship
In pdf format:
http://www.lrct-tz.org/QUESTIONNAIRE-ENGLISH.pdf,
In MS Word format:
http://www.lrct-tz.org/QUESTIONNAIRE-ENGLISH.doc

Shukrani Mheshimiwa!

Nimepitia hii ripoti, If I doubted this whole thing before, now I am even deeper than I was! MUNGU IBARIKI TANZANIA, maana kaazi kweli kweli iko mbele ati! I'm just going to agree to disagree on this matter.
 
Jamani,
Ni kitu gani hadi leo hii kinafanya ni nchi chache tu dunuani hadi leo ndo zimekubali dualcitizenship? Maanake ingekuwa mali mbona kila nchi ingechangamkia mapema? Kwa nini hizi nchi zinasita? Lazima liko jambo? Siyo hivi2!
Haya mambo ya serikali to rush to do things 'kwa ajili ya presha' mimi naona sii sahihi! Kwa vile US na UK wamechangamkia nasi tuchangamkie?

Mzalendohalisi,

Utasaidia mjadala kwa kutoa idadi ya nchi zilizo na dualcitizenship na zile ambazo hazina.

Ukiangalia sisi Afrika ndio tunaongoza kwa kusua sua kama vile tunavyosua sua kwenye demokrasia. Tatizo kubwa ni ubinafsi, watu ambao hawana nafasi ya kufaidika na hiyo sheria wanaona wale watakaofaidika nao wapigwe nyundo.

Kwasasa karibu Europe yote wanafuata hiyo sheria na Asia nchi zinaongezeka kila siku.

Unaposema wengi hawajafuata nafikiri unapotosha huu mjadala. Nakushauri zitaje nchi 20 waliokubali na nchi 20 waliokataa.
 
Kwa kuongeza ubora wamajadiliano angalieni link hii. Toka ichapishwe kuna nchi tayari zimeruhusu dual citizenship kwahiyo sio sahihi sana (nchi kama Kenya, India nk tayari wameshakubali aina fulani ya DC)ila inaweza kusaidia kujua uwiano wa nchi zilizokubali na zinazokataa. Sasa wazo la kwamba nchi nyingi zimekataa, sijui linatoka wapi?

Dual nationality Definition Countries

Yes Dual nationality is permitted with minimal exceptional prohibition. 59 countries

Yes/No Dual nationality is normally permitted with considerable exceptional prohibition. 15 countries and Taiwan

No/Yes Dual nationality is normally prohibited with considerable exceptional permission. 35 countries

No Dual nationality is prohibited with minimal exceptional permission. 74 countries

? The situation is unknown. 9 countries and Palestine

http://www.geocities.com/jusjih/dncdp.html
 
Mzalendohalisi,

Ukiangalia sisi Afrika ndio tunaongoza kwa kusua sua kama vile tunavyosua sua kwenye demokrasia. Tatizo kubwa ni ubinafsi, watu ambao hawana nafasi ya kufaidika na hiyo sheria wanaona wale watakaofaidika nao wapigwe nyundo.

Nafikiri si sahihi kufikiri namna hii kwa sababu hapa tunaongelea maslahi Ki-taifa!! Ki-binafsi ni sahihi kabisa kufikiri kwamba watu wanaona gere, kwamba "mimi sitafaidika" kwa hiyo tupinge ...., ingawa siwezi kujiweka kwenye kundi hilo, its too trivial! Mjadala ulenge kwanza maslahi ya kitaifa kabla ya yale ya binafsi. Mjadala huu wa Dual Citizenship ufikiriwe kwa misingi hiyo.

Wapo wanaosema itakuwa rahisi ku-invest kwa wale walioko nje, na ambao siyo raia tena .. Sina uhakika sana na hiyo hoja, kwa sababu sijasikia wanaowekeza hapa wakisema wanakwama kwa sababu ya kutokuwa raia wa Tanzania.

Inawezekana pia kwa wale wanaotaka kuhujumu uchumi wetu kwa kutumia kigezo cha utanzania, ikawa rahisi raidi kwao? Sina jibu, nauliza tu. Wapo watanzania, wengine walishawahi kuwa viongozi wakubwa tu, walikuwa watanzania, lakini tunajua wamezikwa nje! Haifurahishi kuwa na waziri expatriate, kwa mfano! Na nafikiri hao haswa ndo waanzilishi wa mjadala huu!

Swala la kulinganisha na Marekani, US siliafiki hata kidogo, ni nchi kubwa zenye mazingira tofauti kabisa na yetu, ndiko wote wanakokimbilia, kwa nini wasiwe na mfumo huo ikiwa kama wameshaona kwamba ni faida kwao. Wamedadisi na kuona kwamba mtiririko wa rasilimali unaelekea kwao. Je sisi tuna uhakika kwamba mtiririko huo utaelekea kwetu, hasa ikiwa kama sasa hivi watu wako tayari kuukana uraia wao na kuupenda huo wa Marekani na Uingereza? Je labda wanataka iwe rahisi zaidi kwao kuhamishia huko wanakokupenda zaidi? Again, sina jibu, ni swali tu!

Mimi sijafanya utafiti wowote kuhusu hili, lakini nina wasiwasi kwamba Watanzania tunarukia mambo bila kuyaangalia kwa kina. Tuna haja kubwa ya kujihadhari na haya mambo yanayokuja kama mafuriko bila kuangalia faida na hasara zake kitaifa.

Pia mjadala upo hapa, toa hoja. Kama wapo waliopendekeza kuwepo kwa hiyo dual citizenship, hiyo haina maana kwamba dual citizenship ni nzuri kwa sababu tumeona mapendekezo mengi, mengine ya aibu!
 
Mzee Mwanakijiji,msimuone nyerere kama ni mtu mwenye akili sana,kiasi kwamba mawazo yake yaendelee kuheshimiwa hata kama ni utmbo,vp dunia ya leoya utandawazi mtaja nyerere?Nyerere huyu si ndiye aliyeiingiza nchi ktk naqama ya vita?au ulikuwa mdogo?wakati tunakimbilia magari ya unga,sukari,mchele.Wakati mwingine watu tulikuwa tunakimbilia magari ya maiti,unga wa njano wa kula farasi USA ndio tulikuwa tukila,mchele kitumbo.
Hivyo basi ktk hili nyerere hana nafasi.Mzee mwinyi alivyoingia alikuta sukari inazalishwa mtibwa,lakini watu wa Moro hawauziwi sukari mpaka ije Dar,then ndio ipelekwe Moro.Kwa hiyo mawazo ya nyerere ama u-nyerererism umekwisha toka enzi ya uhai wake.Leo vyakula wananchi tunachagua madukani,mchele una unusa kama haunukii hununui.Mtoto unamtuma sukari,akija na sukari ya brown unamwambia rudisha nataka sukari nyeupe.
 
Back
Top Bottom