Uraia wa nchi mbili: Maendelo na Matokeo yake!

Honestly, mi naomba unipe sababu kubwa kwa nini unapinga uraia wa nchi mbili zaidi ya hizi non-existent reasons za maslahi ya taifa? ambazo wanasiasa wamezitumia miaka yote kutukandimiza kwenye lindi la umaskini? Maslahi ya taifa ni yapi? nani anayasimamia? Hao wageni unaowasema kuja kutuibia, kama ni kuja walishakuja na kuiba na wanaendelea kuiba saana tuu. Mimi ninachokiona humu ni kwamba wenye nacho hawataki wengine wapate. Acheni watu watafute pande zote za dunia from Belize to Singapore.
Bwana Masanja,
I don't mean to pick on you, nimeona nikujibu tu kwa maswali machache. Naheshimu sana mawazo ya kila mtu. Niko hapa kupata majibu ya machache yanayonisumbua. Anyhow...
Labda ungeanza kwa kunipa sababu za kunieleza faida za duo citizenship zaidi ya kuwafaidisha wasio watanzania kwa kuwapa citizenship by naturalization. Na zaidi kwa waTanzania ambao watapata flexibility za kusafiri na nini na nini. Is that really all there is to it? Na Uwekezaji? Hapa kwa kweli bado hamjanisomesha. Umesema wanasiasa waliopo wameshaituibia, no doubt they have, lakini si ndio sisi vijana tunaanza kuingia kwenye system, baby boomers si wameanza kuondoka kama sio kufariki?(RIP), sasa kinachoogopesha nini. Kwanini tusishughulikie kubadilisha mambo Tanzania badala ya kufungua milango kwa watu wa nje? Kwani hao wawekezaji ambao tayari wapo Tanzania wanatufaidisha na nini? Ni hizo 3% royalty za madini?? Swali langu linabaki pale ale, NI KITU GANI HAKIWEZI KUFANYIKA MPAKA MHUSIKA AWE NA RAIA WA NCHI MBILI? Nielimisheni kwa hilo tu.

Watanzania tunapenda mterememko and are very good at finding easy way out/in. Na ndio maana mwapigania uraia wa nchi mbili. Lakini ukweli ni kwamba kwa mataifa yanayotuzidi ujanja, ndio watafaidika na uraia huu. WaTanzania maneno yetu mengi, hakuna cha uwekezaji wala nini, mmeshindwa kufanya mkiwa na, and I repeat “green cards” with every right, sasa mnsema mpaka muwe na Uraia ndio mtaweza, I’ m sorry, no offence people, but this reasoning is a load of crap!

Halafu kuna mheshimiwa hapo nyuma anaongea "patriotism", big words! You talk patriotism and duo citizenship? Somebody please tell me, what’s the honor in that?!?

Bwana kwangu mimi as long as kitu kitamsaidia mtanzania mwenzangu hata kama hakitanisaidia, Tuache kimsaidie! Tuache unafiki wa kuimba maslahi ya taifa kumbe ni maslahi ya Lowassa na wenzake wachache.

Ukweli ni kwamba hili suala halitasaidia waTanzania, zaidi litawapa faidi watakao assume u-Tanzania baada ya muswada huu kupitishwa.
 
Dual Citizenship? Labda Niulize tu ..

Kwani hao wanaodai hilo si walikuwa Watanzania? Vipi wakaukataa huo Utanzania sasa wanautaka tena?

Kuna mtu kataja UZALENDO ... i think thats key.. kama upo, basi huhitaji kuwa na dual citizenship kuendelea kuipenda nchi yako. Na kama uliamua kuwa Mwingereza kwa sababu za kuhangaikia maisha, vizuri, nchi yako ya damu si bado ipo, haikukatazi kuichangia kwa njia zote za kimaendeleo. Hicho wengine wanafanya, bila duo citizenry.

Karibuni Wazalendo!
 
Dual Citizenship? Labda Niulize tu ..

Kwani hao wanaodai hilo si walikuwa Watanzania? Vipi wakaukataa huo Utanzania sasa wanautaka tena?

Kuna mtu kataja UZALENDO ... i think thats key.. kama upo, basi huhitaji kuwa na dual citizenship kuendelea kuipenda nchi yako. Na kama uliamua kuwa Mwingereza kwa sababu za kuhangaikia maisha, vizuri, nchi yako ya damu si bado ipo, haikukatazi kuichangia kwa njia zote za kimaendeleo. Hicho wengine wanafanya, bila duo citizenry.

Karibuni Wazalendo!

Thank You! I couldn't have said it better.
 
Kisura, mbona una jazba hivyo leo...kulikoni...hukulala vizuri nini? Uko mkali kweli leo mpaka wanitisha hata kukusalimia....
 
In my opinion, advantages of Dual Citizenship are purely socio-economics. The privilege aims to broadening a relationship between economic activities and social life. The Dual Citizenship proposal for Tanzania is no difference. It aims to broadening our country’s economic activities and social life bases by promoting trade and investment between the dual citizen’s two respective countries.


Bwana Masanja,
Labda ungeanza kwa kunipa sababu za kunieleza faida za duo citizenship zaidi ya kuwafaidisha wasio watanzania kwa kuwapa citizenship by naturalization.

Kwanini kuwe na uoga wa wageni kufaidika na D.C.? Kama swala la wageni kutumia hii privilege kuchuma mali zetu, basi pengine itatupa changamoto ya kuamka na ku-protect hizo mali zetu ambazo zimekuwa zikiibiwa for years anyway. Kama hao wageni watakuja na kuwekeza bongo, si ndio mwanzo wa ajira kuongezeka? Mimi nafikiri pengine muda umefika wa kuacha kuogopa wageni, kwa sababu utake usitake watamiminika tu. D.C. ni sehemu ya Global movement…. itakuja tu sooner or later.

Watanzania tunapenda mterememko and are very good at finding easy way out/in.

Ni kweli tunapenda mteremko. Na ndio maana bado mpaka leo tunaishi maisha ya kunyonyana. Kwa hiyo pengine hiyo D.C. inaweza kusaidia kuacha hiyo tabia ya mteremko, kwa sababu tutapata njia mbalimbali za ku-exercise options zetu. Bila ya kusahau, ujio wa wageni utatupa changamoto ya ku-hussle.
 
Richard,acha jazba zako,issue sio kuwa na pass mbili tatu au nne,issue ni URAIA wa nchi mbili

Nnaposema pasi mbili namaanisha uraia wa nchi mbili si umebeba pasi zinazoeleza wewe ni raia wa nchi mbili,au sio hivyo naomba unieleweshe kama unaelewaje.Mimi sina jazba tupo hapa kuelimishana.
 
Nisalimie tu, usiogope. Ni suala la "duo" tu ndio lanifanya nisilale vizuri.

Haya mama,
Mi mzima huku ila joto linatubanika. Hivi ni "duo" au "dual" au either...anyway...hili lisikufanye usilale maana ukianza kukosa usingizi kila mara utaanza kukonda bure. Haya wasalimie wote hapo nyumbani.
 
In my opinion, advantages of Dual Citizenship are purely socio-economics. The privilege aims to broadening a relationship between economic activities and social life. The Dual Citizenship proposal for Tanzania is no difference. It aims to broadening our country’s economic activities and social life bases by promoting trade and investment between the dual citizen’s two respective countries.




Kwanini kuwe na uoga wa wageni kufaidika na D.C.? Kama swala la wageni kutumia hii privilege kuchuma mali zetu, basi pengine itatupa changamoto ya kuamka na ku-protect hizo mali zetu ambazo zimekuwa zikiibiwa for years anyway. Kama hao wageni watakuja na kuwekeza bongo, si ndio mwanzo wa ajira kuongezeka? Mimi nafikiri pengine muda umefika wa kuacha kuogopa wageni, kwa sababu utake usitake watamiminika tu. D.C. ni sehemu ya Global movement…. itakuja tu sooner or later.



Ni kweli tunapenda mteremko. Na ndio maana bado mpaka leo tunaishi maisha ya kunyonyana. Kwa hiyo pengine hiyo D.C. inaweza kusaidia kuacha hiyo tabia ya mteremko, kwa sababu tutapata njia mbalimbali za ku-exercise options zetu. Bila ya kusahau, ujio wa wageni utatupa changamoto ya ku-hussle.

Unadhani tutapopata mbinu za kuPROTECT? watakuwa wamebakiza kitu. Hiyo ajira ndio itaongezeka, bado kuna mifano mingi ya investors,mfano wachina, wahindi, kuja na watu wao kwenye kazi zinazoweza kufanywa na wazalendo, na hii itatoa mwanya zaidi.
 
Damn! if we haven't yet figured out how to protect our resources and interests then we are slow as hell....
 
Damn! if we haven't yet figured out how to protect our resources and interests then we are slow as hell....

Tena kuna dozens of evidence to support that...the more reasons why Tanzania does not need dual citizenship, not now!
 
Unadhani tutapopata mbinu za kuPROTECT? watakuwa wamebakiza kitu. Hiyo ajira ndio itaongezeka, bado kuna mifano mingi ya investors,mfano wachina, wahindi, kuja na watu wao kwenye kazi zinazoweza kufanywa na wazalendo, na hii itatoa mwanya zaidi.

Tuacheni sera za uoga jamani. Unafikiri hao wageni wameanza leo kuchukua hizo mali zetu? Nina uhakika tunaamka kwa speed mzuri. JF ni mmoja wa mifano halisi kwa jinsi tunavyoamka. A decade ago Watz wengi bado walikuwa hawajagundua kwamba internet inaweza kuwa dimba la kubadilishana mawazo. Leo hii forums na blogs kila kona. Kwa hiyo kwa jinsi hii wananchi, pamoja na serikali, wanaweza kuunda njia haminifu za control what what goes out and comes in the country. Ninaamini siku za usoni wananchi wengi watakuwa na uwezo wa kunyooshea vidole mambo ambayo yatakuwa yanaashiria ubadhilifu wa mali zetu.

Kuhusu wageni kuja na watu wao, ukweli ni kwamba hawawezi kuja na entire workforce. Bado watahitaji manpower ya wazawa. Sana sana huwa wanakuja na wataalam na management zao, lakini entire subordinate inajazwa na wazawa. Sasa huoni kuwa hiyo ni ongezeko la ajira?

Sera za uoga ndio zinatufanya mpaka leo hii hatuwezi kupaza sauti zetu kwa nguvu enough kumng'oa kiongozi mbovu. Tunahofia wageni kuja kutuibia, lakini ukweli ni kwamba ni sisi wenyewe ndio tutaongoza kwa kuibiana, kama tunavyofanya sasa. Siku zote kikulacho ki miongoni mwako!!!
 
Damn! if we haven't yet figured out how to protect our resources and interests then we are slow as hell....

Yes it's unfortunate that we are still slow. We, however, are picking up the pace. I believe we will get there soon..
 
Tena kuna dozens of evidence to support that...the more reasons why Tanzania does not need dual citizenship, not now!

Kisura, wewe unaliangalia hili suala katika mtazamo wa uwekezaji/ biashara mno ndio maana Unalipinga kwa hali na mali. Mimi binafsi siamini kama litaongeza au kuvutia wawekezaji. Hoja hii hata mimi naiona kuwa haina nguvu kabisa.

Ila hoja yenye nguvu ni hii ya kifamilia. Nimemsikiliza Mwanakijiji, na yeye inaelekea anaikubali hoja hii ingawa yeye hakuipanua (no pun intended) kujumuisha na watoto. Yeye kaishia kwenye mke na mume tu. Hii hoja inasimama peke yake!

Wanaotoa sababu ya kwa nini tuwe na dual citizenship waifutilie mbali hoja ya uwekezaji kwa sababu mi naona ni kichekesho.
 
Tuacheni sera za uoga jamani. Unafikiri hao wageni wameanza leo kuchukua hizo mali zetu? Nina uhakika tunaamka kwa speed mzuri. JF ni mmoja wa mifano halisi kwa jinsi tunavyoamka. A decade ago Watz wengi bado walikuwa hawajagundua kwamba internet inaweza kuwa dimba la kubadilishana mawazo. Leo hii forums na blogs kila kona. Kwa hiyo kwa jinsi hii wananchi, pamoja na serikali, wanaweza kuunda njia haminifu za control what what goes out and comes in the country. Ninaamini siku za usoni wananchi wengi watakuwa na uwezo wa kunyooshea vidole mambo ambayo yatakuwa yanaashiria ubadhilifu wa mali zetu.

Kuhusu wageni kuja na watu wao, ukweli ni kwamba hawawezi kuja na entire workforce. Bado watahitaji manpower ya wazawa. Sana sana huwa wanakuja na wataalam na management zao, lakini entire subordinate inajazwa na wazawa. Sasa huoni kuwa hiyo ni ongezeko la ajira?

Sera za uoga ndio zinatufanya mpaka leo hii hatuwezi kupaza sauti zetu kwa nguvu enough kumng'oa kiongozi mbovu. Tunahofia wageni kuja kutuibia, lakini ukweli ni kwamba ni sisi wenyewe ndio tutaongoza kwa kuibiana, kama tunavyofanya sasa. Siku zote kikulacho ki miongoni mwako!!!

Katika hii awamu ya tatu, tumeshudia mikataba mibovu katika uwekezaji.
Uadilifu mbovu wa viongozi wetu, kwanini tusijipange kwanza kabla ya kutafuta shari jingine? Kwa mtazamo wangu bado sijaona mkakati mbadala, kwenye sheria za kuwawajibisha viongozi.
Pia nikiwa na ushahidi na kazi zinazofanywa na watanzania wengi nje bado ni za kipato cha chini, na idadi yao pia. Manufaa ni kwa wageni zaidi na si taifa.
Tuweke njia madhubuti za kulinda uchumi wetu kwanza.
 
Kisura, wewe unaliangalia hili suala katika mtazamo wa uwekezaji/ biashara mno ndio maana Unalipinga kwa hali na mali.

It is the core reason, ndio hili haswa linalohatarisha nchi yetu. Everytime you hear people saying we want dual citizenship, the next thing is, "it will help us Invest in Tanzania" ...Yaaah!
Tukasafishe kwanza nyumba zetu kabla hatujakaribisha wageni, if we ever will. It's only right!

Ila hoja yenye nguvu ni hii ya kifamilia. Nimemsikiliza Mwanakijiji, na yeye inaelekea anaikubali hoja hii ingawa yeye hakuipanua (no pun intended) kujumuisha na watoto. Yeye kaishia kwenye mke na mume tu. Hii hoja inasimama peke yake!

Enlighten me on this matter. What about families?(Nisamehe kama umeshaliongea huko nyuma). I'm all ears...
 
Ndio tunarudi kule kule, Mwl. Nyerere alituharakisha kutoka kwenye mfumo wa Ukabaila tukarukia kwenye Ujamaa, Tukashee nini sasa? How can you share something you don't have??? Kwani hiyo mifumo ya maendeleo ilikuwa ni kusomwa tu na kui-adapt? Yametufikisha wapi sasa, na mpaka wa leo tuna-feel the impact!
Na ndio haya haya ya leo, tunarukia "dual citizenship" wakati nchi bado inachechemea!!Do we ever learn? Help me understand please!
 
Dual CT nadhani ni mjadala safi na hawa jamaa wa serikali waje humu kujifunza, after all ndo wadau wengi walimo kwenye JF.

Hivi kuna aliyesoma report ya Law Reform Commission ambayo imependekeza serikali iruhusu huu uraia wa nchi mbili? au tunapayuka payuka tuu? personally sijaisoma, lakini maadamu imesupport naamini hizi ni sababu mojawapo. They might adress fears za akina Kisura et al. Hiki ni chombo cha serikali na kinafanya kazi kwa kuangalia maslahi ya nchi, sidhani kama wangefanya conclusion ya kussuport hii issue from no where. Hapo ndo inabidi tuhoji sababu walizozitumia kufikia maamuzi haya na sio kutoa porojo tuu.

Again naamini ingawa siuhitaji huu uraia wa nchi nyingine, ila tusifanye conclusion kwa sababu wageni watapora mali zetu/kuogopa competition. hizo nchi zenye hii dual citizenship wameathirika au wamefaidika kivipi? nadhani ndo swala la msingi hapa ambalo JF inabidi tujadili We are either in globalization or in globalization. Tusijidanganye, tusome alama za nyakati.

Yes, loyalty to your country is the basis of citizenship but also there must be reciprocity from your country kwa wale tuliowapa dhaman ya kutuongoza. Hii notion ya uzalendo ndo imetufikisha hapa tulipo kushindwa kuhoji mambo ya msingi, mpaka akina Balali na wenzake wanadiriki kuwaita wale wote wanao-expose ubadhirifu wanaotufanyia wananchi kwamba sio "wazalendo" Please this is nonsense, unless tutafute definition nyingine ya hili neno.

All the best, Kisura soma hoja za tume ya kurekebisha sheria kuhusu hili swala, harafu uje kupangua hoja zao hapa JF. Again, I respect michango ya wote humu.
 
"Tusimlazimishe Mtazania yoyote, popote alipo achague kuikana nchi yake (Tanzania) kwa sababu yoyote."

Sioni kama kuna sababu ya maana kuliko hiyo...Hongera wote wanayoiunga mkono.
 
Back
Top Bottom