Nurain
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 2,263
- 5,000
Kwhy neno prevent siku hizi huko kwenu maana yake punguza... Wewe ni mbumbumbu Bora wa wakati wote.ipunguze tu vifo vya raia wasio na hatia.
Kwhy neno prevent siku hizi huko kwenu maana yake punguza... Wewe ni mbumbumbu Bora wa wakati wote.ipunguze tu vifo vya raia wasio na hatia.
Mahakama hajasema ipunguze mauaji ya raia bali imeamuru Israel isitishe kufanya mauaji ya kimbali dhidi ya Wapalestina ndo maelezo yaliyoko kwenye nakala ya hukumu, ww hayo maelezo uliyo yaweka hapo umejitungia ili ujifurahishe tu.Mahakama ya haki ya kimataifa, ICJ imeishindwa kuilazimisha israel kusitisha mapigano huko Gaza, na badala yake imeiamulu Israel ipunguze tu vifo vya raia wasio na hatia.
Kesi hiyo ilipelekwa na nchi ya Afrika Kusini, ikiituhumu Israel kusababisha mauaji ya kimbali huko ukanda wa Gaza.
Nchi za kiarabu zimeituhumu mahakama hiyo kwa kushindwa kuilazimisha Israel kusitisha vita ambavyo mpaka sasa vimeua Wapalestina 25,000 wakiwemo wapiganaji 9,000 wa kipalestina wa HAMAS. Kwa mjibu wa takwimu za wizara ya afya ya Gaza inayoongozwa na HAMAS, zaidi ya watoto 10,000 tayari wameshauawa.
Provisional ruling calls for emergency measures, says Israel must ‘prevent and punish’ incitement to commit genocide. ICJ fails to order ceasefire, but says Israel must prevent genocide in GazaView attachment 2883641
Ni kazi yangu maana kama umesoma angalau mpaka kidato cha nne alafu unaandika mambo uliyo yaandika hapo basi elimu ya Tz ni takataka zaidi ya mavi.Sio kazi yako.
Kwani prevent maana yake nini? Si kuzuia au?Kwhy neno prevent siku hizi huko kwenu maana yake punguza... Wewe ni mbumbumbu Bora wa wakati wote.
Sasa kuzuia na kupunguza siku hizi ni neno lenye maana moja?Kwani prevent maana yake nini? Si kuzuia au?
Nimeamini hii mahakama ni chombo cha marekani.Mahakama ya haki ya kimataifa, ICJ imeishindwa kuilazimisha israel kusitisha mapigano huko Gaza, na badala yake imeiamulu Israel ipunguze tu vifo vya raia wasio na hatia.
Kesi hiyo ilipelekwa na nchi ya Afrika Kusini, ikiituhumu Israel kusababisha mauaji ya kimbali huko ukanda wa Gaza.
Nchi za kiarabu zimeituhumu mahakama hiyo kwa kushindwa kuilazimisha Israel kusitisha vita ambavyo mpaka sasa vimeua Wapalestina 25,000 wakiwemo wapiganaji 9,000 wa kipalestina wa HAMAS. Kwa mjibu wa takwimu za wizara ya afya ya Gaza inayoongozwa na HAMAS, zaidi ya watoto 10,000 tayari wameshauawa.
Provisional ruling calls for emergency measures, says Israel must ‘prevent and punish’ incitement to commit genocide. ICJ fails to order ceasefire, but says Israel must prevent genocide in GazaView attachment 2883641
Nimeshangaa kwanini hakuna tamko kamili israel wasitishe vita mara moja na wanaanza kusema mambo ya ku preventSasa kuzuia na kupunguza siku hizi ni neno lenye maana moja?
Na ww unaamn kuna mtu aliyebakwa au unakarirshwa ..tukio la ghafla namna hiyo huo muda wa kubaka unautoa wapiNaamini ni ngumu sana kuipata mahakama yoyote itakayoitaka Israel isimamishe mashambulio.
Lile tendo la kigaidi la Hamas kuwaua raia wa Israel, kuwaua watu wa mataifa mbalimbali waliokuwepo Israel, kuwabaka mabinti na kisha kuwaua, limehalalisha mashambulizi ya Israel ya kila namna dhidi ya magaidi wa Hamas na mashabiki wao wote.
Ukienda nyumbani kwa mtu ukaua wanawe, maana yake umehalalisha na wa kwako kuangamizwa. Haijalishi wewe uliangamiza wachache, ujue wewe wa kwako wanaweza kuangamizwa wote. Na ndiyo kinachotokea huko Gaza. Magaidi ya Hamas waliwaua waisrael karibia 1,200; lakini mpaka sasa, Israel imewaangamiza wapalestina zaidi ya 26,000. Mpaka sasa malipo ya kumwua mwisrael mmoja imekuwa ni vifo vya wapalestina zaidi ya 20. Na namba inazidi kuongezeka.
Hawa wajukuu wa Mwamedi huwa wanameza Viagra kabisa na mchuzi wa pweza, wacha washikishwe adabu ili wasije kufikiria tena kufanya ugaidi kama wa October 7.Na ww unaamn kuna mtu aliyebakwa au unakarirshwa ..tukio la ghafla namna hiyo huo muda wa kubaka unautoa wapi
Nikupunguza acha ujuajiMahakama hajasema ipunguze mauaji ya raia bali imeamuru Israel isitishe kufanya mauaji ya kimbali dhidi ya Wapalestina ndo maelezo yaliyoko kwenye nakala ya hukumu, ww hayo maelezo uliyo yaweka hapo umejitungia ili ujifurahishe tu.
Alafu kingine hiyo hukumu iliyo tolewa leo ni hukumu ya dharura kwa sababu ya mauaji ya kiholela yaliyo kuwa yanafanywa na Israel.
Kesi ya kuyatambua kama mauaji ya kimbali bado inaendelea inaweza chukua hata miaka 2.
Alafu hizo takwimu za wapiganaji 9000 kuuawa umeitoa wapi maana mpaka sasa kati ya Wapalestina 25000 ya walio uawa %75 ni wanawake na watoto.
Swali zuri sana kutokana na khusika kutokuwa objective na kuingiza masuala ya dini. Ingawa naona hukumu iliyotolewa ni sahihiUmesoma mpaka darasa la ngapi?
Ok sawa. Je wamezuia vita?Kwhy neno prevent siku hizi huko kwenu maana yake punguza... Wewe ni mbumbumbu Bora wa wakati wote.
We kafiri umetoa tafsiri ya kigalatia hapo.Mahakama ya haki ya kimataifa, ICJ imeishindwa kuilazimisha israel kusitisha mapigano huko Gaza, na badala yake imeiamulu Israel ipunguze tu vifo vya raia wasio na hatia.
Kesi hiyo ilipelekwa na nchi ya Afrika Kusini, ikiituhumu Israel kusababisha mauaji ya kimbali huko ukanda wa Gaza.
Nchi za kiarabu zimeituhumu mahakama hiyo kwa kushindwa kuilazimisha Israel kusitisha vita ambavyo mpaka sasa vimeua Wapalestina 25,000 wakiwemo wapiganaji 9,000 wa kipalestina wa HAMAS. Kwa mjibu wa takwimu za wizara ya afya ya Gaza inayoongozwa na HAMAS, zaidi ya watoto 10,000 tayari wameshauawa.
Provisional ruling calls for emergency measures, says Israel must ‘prevent and punish’ incitement to commit genocide. ICJ fails to order ceasefire, but says Israel must prevent genocide in GazaView attachment 2883641
Kwahiyo kwa kichwa chako punguani, Hao wanawake umejuaje kama sio Wanachama wa HAMAS? Mwenye akili anajua kabisa Ukiondoa watoto ambao wameuawa kwa kutumiwa kama kinga na HAMAS, Wengine wote waliouawa ni HAMAS.Mahakama hajasema ipunguze mauaji ya raia bali imeamuru Israel isitishe kufanya mauaji ya kimbali dhidi ya Wapalestina ndo maelezo yaliyoko kwenye nakala ya hukumu, ww hayo maelezo uliyo yaweka hapo umejitungia ili ujifurahishe tu.
Alafu kingine hiyo hukumu iliyo tolewa leo ni hukumu ya dharura kwa sababu ya mauaji ya kiholela yaliyo kuwa yanafanywa na Israel.
Kesi ya kuyatambua kama mauaji ya kimbali bado inaendelea inaweza chukua hata miaka 2.
Alafu hizo takwimu za wapiganaji 9000 kuuawa umeitoa wapi maana mpaka sasa kati ya Wapalestina 25000 ya walio uawa %75 ni wanawake na watoto.
Teh teh tehKwahiyo kwa kichwa chako punguani, Hao wanawake umejuaje kama sio Wanachama wa HAMAS? Mwenye akili anajua kabisa Ukiondoa watoto ambao wameuawa kwa kutumiwa kama kinga na HAMAS, Wengine wote waliouawa ni HAMAS.