Nchi za Afrika zinajidhalilisha sana, kulikuwa na haja gani Afrika Kusini kuishtaki Israel mahakama ya ICJ?

Samson Ngomboli

JF-Expert Member
Oct 30, 2019
1,431
2,243
Nchi za afrika zinazidi kujianika kwa kujionesha unafiki,ona sasa eti afrika kusini imepeleka mashtaka mahakama ya kimataifa ya haki(ICJ),kulikuwa na haja gani kuishtaki Israel?,kama kweli wanapenda haki sana kwanini wasingewashtaki Russia kwa kuua watoto wa Ukraine bila kuchokozwa?,kwahiyo sasa imewauma sana kuliko Ukraine.
Afrika ina watu wa ajabu sana na wanafiki waliokubuhu.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Afrika Kusini imewasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ikidai kuwa Israel inajihusisha na "vitendo vya mauaji ya halaiki" huko Gaza.

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ilithibitisha shauri hilo kuhusu madai ya ukiukaji wa majukumu ya Israel chini ya Mkataba wa Mauaji ya Kimbari.

Israel imekanusha vikali madai hayo, na kuyataja kuwa hayana msingi. "Israel inakataa kwa kuchukizwa na kashfa ya damu inayoenezwa na Afrika Kusini", wizara ya mambo ya nje ilisema.

Mahakama ya ICJ, ambayo iko mjini Hague nchini Uholanzi, ndiyo chombo kikuu cha sheria cha Umoja wa Mataifa.

Inasuluhisha mizozo kati ya mataifa na kutoa ushauri juu ya maswala ya kimataifa ya kisheria.

Kufuatia maombi yake kwa ICJ, ofisi ya rais wa Afrika Kusini ilisema katika taarifa kwamba nchi hiyo inalazimika "kuzuia mauaji ya halaiki kutokea".

"Afrika Kusini inasikitishwa sana na hali mbaya ya raia walionaswa katika mashambulizi ya sasa ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na matumizi ya nguvu kiholela na kuwahamisha watu kwenye makazi yao kwa nguvu," ilisema.

"Aidha, kuna ripoti zinazoendelea za uhalifu wa kimataifa, kama vile uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita, unaofanywa pamoja na ripoti kwamba vitendo vinavyokidhi kizingiti cha mauaji ya kimbari au uhalifu unaohusiana ... vimefanywa na bado vinaweza kufanywa katika muktadha wa mauaji yanayoendelea Gaza."

Waraka huo wa kurasa 84 unasema kuwa "vitendo vinavyofanywa na Israel" ni " mauaji ya halaiki kwa sababu vinakusudiwa kuleta uharibifu wa sehemu kubwa ya kundi la taifa, rangi na kabila la Palestina".

Ombi hilo linaitaka ICJ kusikiliza kesi hiyo wiki ijayo na kuomba idadi ya "hatua za muda" zitolewe na mahakama hiyo, ikiwa ni pamoja na Israel kusitisha shughuli zote za kijeshi huko Gaza.
BBC swahili
 
Nchi za afrika zinazidi kujianika kwa kujionesha unafiki,ona sasa eti afrika kusini imepeleka mashtaka mahakama ya kimataifa ya haki(ICJ),kulikuwa na haja gani kuishtaki Israel?,kama kweli wanapenda haki sana kwanini wasingewashtaki Russia kwa kuua watoto wa Ukraine bila kuchokozwa?,kwahiyo sasa imewauma sana kuliko Ukraine.
Afrika ina watu wa ajabu sana na wanafiki waliokubuhu.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Afrika Kusini imewasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ikidai kuwa Israel inajihusisha na "vitendo vya mauaji ya halaiki" huko Gaza.

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ilithibitisha shauri hilo kuhusu madai ya ukiukaji wa majukumu ya Israel chini ya Mkataba wa Mauaji ya Kimbari.

Israel imekanusha vikali madai hayo, na kuyataja kuwa hayana msingi. "Israel inakataa kwa kuchukizwa na kashfa ya damu inayoenezwa na Afrika Kusini", wizara ya mambo ya nje ilisema.

Mahakama ya ICJ, ambayo iko mjini Hague nchini Uholanzi, ndiyo chombo kikuu cha sheria cha Umoja wa Mataifa.

Inasuluhisha mizozo kati ya mataifa na kutoa ushauri juu ya maswala ya kimataifa ya kisheria.

Kufuatia maombi yake kwa ICJ, ofisi ya rais wa Afrika Kusini ilisema katika taarifa kwamba nchi hiyo inalazimika "kuzuia mauaji ya halaiki kutokea".

"Afrika Kusini inasikitishwa sana na hali mbaya ya raia walionaswa katika mashambulizi ya sasa ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na matumizi ya nguvu kiholela na kuwahamisha watu kwenye makazi yao kwa nguvu," ilisema.

"Aidha, kuna ripoti zinazoendelea za uhalifu wa kimataifa, kama vile uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita, unaofanywa pamoja na ripoti kwamba vitendo vinavyokidhi kizingiti cha mauaji ya kimbari au uhalifu unaohusiana ... vimefanywa na bado vinaweza kufanywa katika muktadha wa mauaji yanayoendelea Gaza."

Waraka huo wa kurasa 84 unasema kuwa "vitendo vinavyofanywa na Israel" ni " mauaji ya halaiki kwa sababu vinakusudiwa kuleta uharibifu wa sehemu kubwa ya kundi la taifa, rangi na kabila la Palestina".

Ombi hilo linaitaka ICJ kusikiliza kesi hiyo wiki ijayo na kuomba idadi ya "hatua za muda" zitolewe na mahakama hiyo, ikiwa ni pamoja na Israel kusitisha shughuli zote za kijeshi huko Gaza.
BBC swahili
Ww ndo umejidhalilisha South Africa wanajua madhara walioyapitia ya mfumo wa kibaguzi ..uliyopo Israel ambao hata ww ukienda wanakushangaa na ukiristu wako ..

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Africa ya kusini inaihitaji zaidi Israel kuliko other way,na hii ni kutapa tapa kwa ANC ambao definitely next year wanapoteza uwezo wa kuitawala SA, another so called liberation party ina hit the dust!,na isipotokea hili nitatembea kwa miguu kutoka huku lingusenguse hadi kabuku,Handeni
 
Nchi za afrika zinazidi kujianika kwa kujionesha unafiki,ona sasa eti afrika kusini imepeleka mashtaka mahakama ya kimataifa ya haki(ICJ),kulikuwa na haja gani kuishtaki Israel?,kama kweli wanapenda haki sana kwanini wasingewashtaki Russia kwa kuua watoto wa Ukraine bila kuchokozwa?,kwahiyo sasa imewauma sana kuliko Ukraine.
Afrika ina watu wa ajabu sana na wanafiki waliokubuhu.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Afrika Kusini imewasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ikidai kuwa Israel inajihusisha na "vitendo vya mauaji ya halaiki" huko Gaza.

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ilithibitisha shauri hilo kuhusu madai ya ukiukaji wa majukumu ya Israel chini ya Mkataba wa Mauaji ya Kimbari.

Israel imekanusha vikali madai hayo, na kuyataja kuwa hayana msingi. "Israel inakataa kwa kuchukizwa na kashfa ya damu inayoenezwa na Afrika Kusini", wizara ya mambo ya nje ilisema.

Mahakama ya ICJ, ambayo iko mjini Hague nchini Uholanzi, ndiyo chombo kikuu cha sheria cha Umoja wa Mataifa.

Inasuluhisha mizozo kati ya mataifa na kutoa ushauri juu ya maswala ya kimataifa ya kisheria.

Kufuatia maombi yake kwa ICJ, ofisi ya rais wa Afrika Kusini ilisema katika taarifa kwamba nchi hiyo inalazimika "kuzuia mauaji ya halaiki kutokea".

"Afrika Kusini inasikitishwa sana na hali mbaya ya raia walionaswa katika mashambulizi ya sasa ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na matumizi ya nguvu kiholela na kuwahamisha watu kwenye makazi yao kwa nguvu," ilisema.

"Aidha, kuna ripoti zinazoendelea za uhalifu wa kimataifa, kama vile uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita, unaofanywa pamoja na ripoti kwamba vitendo vinavyokidhi kizingiti cha mauaji ya kimbari au uhalifu unaohusiana ... vimefanywa na bado vinaweza kufanywa katika muktadha wa mauaji yanayoendelea Gaza."

Waraka huo wa kurasa 84 unasema kuwa "vitendo vinavyofanywa na Israel" ni " mauaji ya halaiki kwa sababu vinakusudiwa kuleta uharibifu wa sehemu kubwa ya kundi la taifa, rangi na kabila la Palestina".

Ombi hilo linaitaka ICJ kusikiliza kesi hiyo wiki ijayo na kuomba idadi ya "hatua za muda" zitolewe na mahakama hiyo, ikiwa ni pamoja na Israel kusitisha shughuli zote za kijeshi huko Gaza.
BBC swahili
Africa kusini wanafiki sana urusi anarusha makombara hovyo hovyo Ukraine na waukraine wanauawa kila kukicha huoni Africa kusini akiilaani urusi yupo kimya na uvamizi wa urusi Africa kusini alisema hayupo upande wowote kwa Palestine anawashwa nini
 
Nchi za afrika zinazidi kujianika kwa kujionesha unafiki,ona sasa eti afrika kusini imepeleka mashtaka mahakama ya kimataifa ya haki(ICJ),kulikuwa na haja gani kuishtaki Israel?,kama kweli wanapenda haki sana kwanini wasingewashtaki Russia kwa kuua watoto wa Ukraine bila kuchokozwa?,kwahiyo sasa imewauma sana kuliko Ukraine.
Afrika ina watu wa ajabu sana na wanafiki waliokubuhu.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
Afrika Kusini imewasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ikidai kuwa Israel inajihusisha na "vitendo vya mauaji ya halaiki" huko Gaza.

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ilithibitisha shauri hilo kuhusu madai ya ukiukaji wa majukumu ya Israel chini ya Mkataba wa Mauaji ya Kimbari.

Israel imekanusha vikali madai hayo, na kuyataja kuwa hayana msingi. "Israel inakataa kwa kuchukizwa na kashfa ya damu inayoenezwa na Afrika Kusini", wizara ya mambo ya nje ilisema.

Mahakama ya ICJ, ambayo iko mjini Hague nchini Uholanzi, ndiyo chombo kikuu cha sheria cha Umoja wa Mataifa.

Inasuluhisha mizozo kati ya mataifa na kutoa ushauri juu ya maswala ya kimataifa ya kisheria.

Kufuatia maombi yake kwa ICJ, ofisi ya rais wa Afrika Kusini ilisema katika taarifa kwamba nchi hiyo inalazimika "kuzuia mauaji ya halaiki kutokea".

"Afrika Kusini inasikitishwa sana na hali mbaya ya raia walionaswa katika mashambulizi ya sasa ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na matumizi ya nguvu kiholela na kuwahamisha watu kwenye makazi yao kwa nguvu," ilisema.

"Aidha, kuna ripoti zinazoendelea za uhalifu wa kimataifa, kama vile uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita, unaofanywa pamoja na ripoti kwamba vitendo vinavyokidhi kizingiti cha mauaji ya kimbari au uhalifu unaohusiana ... vimefanywa na bado vinaweza kufanywa katika muktadha wa mauaji yanayoendelea Gaza."

Waraka huo wa kurasa 84 unasema kuwa "vitendo vinavyofanywa na Israel" ni " mauaji ya halaiki kwa sababu vinakusudiwa kuleta uharibifu wa sehemu kubwa ya kundi la taifa, rangi na kabila la Palestina".

Ombi hilo linaitaka ICJ kusikiliza kesi hiyo wiki ijayo na kuomba idadi ya "hatua za muda" zitolewe na mahakama hiyo, ikiwa ni pamoja na Israel kusitisha shughuli zote za kijeshi huko Gaza.
BBC swahili
Kwani putin hajashtakiwa katika kipindi hicho cha vita na ukraine??



Any way acha tujionee comments za wazayuni wa buza kwa mpalange
 
Africa ya kusini inaihitaji zaidi Israel kuliko other way,na hii ni kutapa tapa kwa ANC ambao definitely next year wanapoteza uwezo wa kuitawala SA, another so called liberation party ina hit the dust!,na isipotokea hili nitatembea kwa miguu kutoka huku lingusenguse hadi kabuku,Handeni
Hakika uko sahihi kabisa.
 
Africa kusini wanafiki sana urusi anarusha makombara hovyo hovyo Ukraine na waukraine wanauawa kila kukicha huoni Africa kusini akiilaani urusi yupo kimya na uvamizi wa urusi Africa kusini alisema hayupo upande wowote kwa Palestine anawashwa nini
Waafrika walio wengi ni wanafiki sana,mfano ni huyu afrika kusini.
 
Back
Top Bottom