General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,301
- 23,030
Kipindi cha kagera war Bernard membe jasusi mahiri alikuwa uganda kama muuza spea kwann jwtz wasingetumia watu wao wa MI ?
unajua kuwa MI inaundwa na wanajeshi watupu na unajua ugumu uliopo kutuma mwanajeshi wa nchi A kuingia nchi B ?
mossad ndio wanaodili saana na Iran kwann Israel wasitumie majasusi wa MI ?
unajua kuwa mkuu wa takukuru wa sasa pamoja na kuwa ni mwanajeshi wa jwtz lkn alikuwa ni muajiriwa wa tiss
Umejuaje kama JWTZ hawakua na majasusi wao wa MI?
Au mpaka waje kwenye vyombo vya habari kukuhadithia?
Acha ujinga