Upande wa pili wa usalama wa Taifa ukoje?

Hata mimi juzi nilimzabua mwanajeshi mmoja hivi kisa eti kanipa amri kusimama nikagoma wakati sipo kambini kwao wala eneo hatarishi ,,,wakati ananisogelea nikamsoma macho take nikaona ni mchumba tu nikamziba vibao akina mama waliokuwa pale wakapiga kelele Mimi sikujali nikamburuza na magwanda take,,,badae akaja mzee mmoja ana busara akayamaliza kiutu uzima mjeda akabaki na aibu zake haoni hata njia ya kupita kwa aibu,,sasa hivi natembea na kisu changu najua atanivizia na wenzake siku hiyo watajuta mbwa wake maana mkono naujua
Ikitokea tena mkuu wakung'ute kisawasawa! Maana hao jamaa wana Ushamba sana! Wanadai kipaombele chao ni nidhamu na huko makambini kwao wanafundishwa nidhamu ila wao wenyewe nidhamu hawanaga kwa raia. Sasa sijui ni ushamba, umasikini, shule hakuna, exposure ndogo au ndo tupo huku majalalani Afrika. Mambele huwezi kuta mwanajeshi anaonea raia au anapoteza muda na raia, wala mazoea na raia hawanaga kwanza. Ila njoo Afrika.

Mfumo ubadilishwe kwakweli na wapewe semina huko majeshini kwamba "RAIA SIO PUNCH BAG WALA CHOMBO CHA KUMALIZIA HASIRA ZAKO" kazi wanazichagua wenyewe, na shule ziliwashinda wenyewe wanaishia kuonea raia hawa wasenge!
 
Huwezi kuiba pesa ya serikali/umma bila hao wajomba kuwaonjesha mkuu tofauti yake ni kuumbuliwa dk 0 kwa hiyo wapo na wanaona, tusiwalaumu kwa yaliyojuu ya uwezo wao
TATIZO kubwa ni mfumo, kumbuka hata hao tiss hawakujiunda bali, taasisi yao nayo iliundwa, kiongozi wao mkubwa ni mteuliwa wa mwanasiasa mkubwa, nguvu ni mamlaka na mamlaka unapewa na mtu, akiyaondoa una Baki kama ulivyozaliwa SI lolote SI chochote. Nchi yangu Tanzania Kuna mambo makubwa tunatakiwa kubadilika lkn hatuwezi kubadilika kwa urahisi kwa kuwa yeyote anayefikia levo hizo ni faida sana kwake hivyo hawezi kukubali kubadili kitu labda vidogo vidogo.
SI raisi, mkuu wa majeshi, igp, mkurugenzi wa usalama wa taifa jaji mkuu, katibu wa bunge, mawaziri, au mkuu yeyote wa idara anapaswa kulaumiwa kwa rushwa, ufisadi,wizi au UOVU wowote katika taifa hili Bali WA KULAUMIWA NI SISI WANANCHI. KWA UOGA NA UPUMBAVU WETU. ACHENI WANAOPATA FURSA WAPIGE MAISHA NDIO MFUMO ULIVYO.
Hao wakubwa wote wa hizo taasisi kubwa nilizozitaja wanateuliwa na wanaondolewa MDA wowote wakienda kinyume na aliyewateua na Hilo wanalijua, kudumu kwao au kulinda kibarua Chao ni kucheza Ngoma na stepu anazocheza mteuaji.
Tuna ona UOVU tunapokuwa nje ya system lkn ukiwa ndani ya mfumo unaokubeba utafurahia tu.
Nina mengi lkn niishie hapo
 
Hili ndilo neno maana form four failures ndiyo wanaolinda maslahi ya nchi...

Ugumu ni kwamba..
Hao form four failures ndiyo wamejaa jeshini,polisi na kwenye vitengo vinavyotumia silaha kwahiyo mapinduzi ni ngumu kiasi
Hao fomu foo felia walifeli Masomo darasani lkn hawakufeli mafunzo ya kijeshi bwana hebu acha dharau, hata wewe unaweza kufaulu history kwa alama A lkn ukafeli mafunzo ya mgambo. Hapa TATIZO ni mfumo wetu ndio uliofeli, na wakulaumiwa ni sisi WANANCHI ambao hatukui hatua
 
Hao fomu foo felia walifeli Masomo darasani lkn hawakufeli mafunzo ya kijeshi bwana hebu acha dharau, hata wewe unaweza kufaulu history kwa alama A lkn ukafeli mafunzo ya mgambo. Hapa TATIZO ni mfumo wetu ndio uliofeli, na wakulaumiwa ni sisi WANANCHI ambao hatukui hatua
Kwamba hao waliofeli elimu upande wa darasani wakijifunza mbinu za kumlinda raia na mali zake watafaulu...🤔🤔😄😄😄😄.

Kumbuka aliyeleta elimu ya darasani ndiye aliyetuletea elimu na mbinu za jeshini na zote ni written na practical..
 
Kwamba hao waliofeli elimu upande wa darasani wakijifunza mbinu za kumlinda raia na mali zake watafaulu...🤔🤔😄😄😄😄.

Kumbuka aliyeleta elimu ya darasani ndiye aliyetuletea elimu na mbinu za jeshini na zote ni written na practical..
Akiweza kupita tu form 2 atapita popote pale
 
Back
Top Bottom