ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,573
- 2,185
Nukta.
Ikitokea tena mkuu wakung'ute kisawasawa! Maana hao jamaa wana Ushamba sana! Wanadai kipaombele chao ni nidhamu na huko makambini kwao wanafundishwa nidhamu ila wao wenyewe nidhamu hawanaga kwa raia. Sasa sijui ni ushamba, umasikini, shule hakuna, exposure ndogo au ndo tupo huku majalalani Afrika. Mambele huwezi kuta mwanajeshi anaonea raia au anapoteza muda na raia, wala mazoea na raia hawanaga kwanza. Ila njoo Afrika.Hata mimi juzi nilimzabua mwanajeshi mmoja hivi kisa eti kanipa amri kusimama nikagoma wakati sipo kambini kwao wala eneo hatarishi ,,,wakati ananisogelea nikamsoma macho take nikaona ni mchumba tu nikamziba vibao akina mama waliokuwa pale wakapiga kelele Mimi sikujali nikamburuza na magwanda take,,,badae akaja mzee mmoja ana busara akayamaliza kiutu uzima mjeda akabaki na aibu zake haoni hata njia ya kupita kwa aibu,,sasa hivi natembea na kisu changu najua atanivizia na wenzake siku hiyo watajuta mbwa wake maana mkono naujua
Hao fomu foo felia walifeli Masomo darasani lkn hawakufeli mafunzo ya kijeshi bwana hebu acha dharau, hata wewe unaweza kufaulu history kwa alama A lkn ukafeli mafunzo ya mgambo. Hapa TATIZO ni mfumo wetu ndio uliofeli, na wakulaumiwa ni sisi WANANCHI ambao hatukui hatuaHili ndilo neno maana form four failures ndiyo wanaolinda maslahi ya nchi...
Ugumu ni kwamba..
Hao form four failures ndiyo wamejaa jeshini,polisi na kwenye vitengo vinavyotumia silaha kwahiyo mapinduzi ni ngumu kiasi
Kwamba hao waliofeli elimu upande wa darasani wakijifunza mbinu za kumlinda raia na mali zake watafaulu...🤔🤔😄😄😄😄.Hao fomu foo felia walifeli Masomo darasani lkn hawakufeli mafunzo ya kijeshi bwana hebu acha dharau, hata wewe unaweza kufaulu history kwa alama A lkn ukafeli mafunzo ya mgambo. Hapa TATIZO ni mfumo wetu ndio uliofeli, na wakulaumiwa ni sisi WANANCHI ambao hatukui hatua
Akiweza kupita tu form 2 atapita popote paleKwamba hao waliofeli elimu upande wa darasani wakijifunza mbinu za kumlinda raia na mali zake watafaulu...🤔🤔😄😄😄😄.
Kumbuka aliyeleta elimu ya darasani ndiye aliyetuletea elimu na mbinu za jeshini na zote ni written na practical..
UmebugiThread yako natabiri itakufa kifo cha mende, ,japo kuna hoja ndani yake
Kwamba form 2 afundishwe jinsi ya kuwalinda ma-bilionea dhidi ya mwizi mwenye Phd?😄😄😄😄Akiweza kupita tu form 2 atapita popote pale
Kwamba form 2 afundishwe jinsi ya kuwalinda ma-bilionea dhidi ya mwizi mwenye Phd?Akiweza kupita tu form 2 atapita popote pale
Unatoa taarifa uku wewe unatolewa taarifaTISS kwa kipindi hiki ni pahala salama sana ingawa sacrifice ni nyingi unachunguza suala huku nawe unachunguzwa.