azikala ngulukizi
Senior Member
- Mar 23, 2016
- 190
- 123
Karibu, hatuendi jando lakini jinsi wazazi wetu wanavyoishi kama mke na mme ni darasa tosha zaidi ya jando. Msukuma akikuoa na ukapa true love, ukamhandle vozuri kiasi anapokuwa na stress unamtia moyo aisee wewe utakula mema ya nchi!
Kaka ww ndio hujaenda jando mbona sisi tumekwenda sio wasukuma wote