Mama mkwe mtarajiwa hataki binti yake aolewe na Kabila langu

Kijana LOGICS

Senior Member
Dec 16, 2023
140
525
Mimi ni Mwanaume 28yrs mkurya nilivyofika Dar nilikutana n'a bint mmoja nikamtongoza akakubali.

Huyu binti (21yrs) ni mgeni Dar from mkoa X nyanda za juu kusini anaishi kwa shangazi yake Dar

Hakuwahi kuniuliza Kabila nahisi alijua mimi ni from dar /pwan

kwasababu Mimi Sina ukabila sikuzingatia sana kwanini haniulizi Kabila langu.

Tuna mahusiano ya miez 11 kwa bahati nzuri alipata ujauzito kwenye uchumba manake sasa in animimba ya miez5 .

Shangazi yake aligundua ana mimbaa ikiwa n'a miez3 wakambana akanitaja.

Kwa sababu nilikua n'a malengo nae nikamwambia relax ntakuja kujitambulisha nitakuoa akakubali.

December nikarudi home kuset Mipango ya washenga na mahari.

December mwishon akanipigia simu anasema mama yake kamuuliza mwenye mimbaa/muoaji ni Kabila gani.

Nikacheka nikamuuliza umejibuje akasema amemwambia mimi ni Kabila X tofauti na mkurya.

Akadakia ghafila akasema ety mama amemwambia huyo Mwanaume /Mimi kama angekua mkurya asingekubalika ukweni

Straight nikajib Mimi ni mkurya pure Ila nmekulia dodoma wazaz mdugu karibu wote wako dodoma

nikachukulia ni masihara Kumbe ni serious nikamwambia mwambie tu ukwelii.

Akampigia simu akaniunganisha akamwambia ukweli mama akanza kufoka kumbe yupo serious anamwambia mara unatamaa, umeokoteza wAnaume Huko huwajui Mimi simtaki kama utamkubal ni Wewe mixer maneno kibao.

Nikamchunguza Bint akaniambia Kuna kaka yao aliwahi pata majanga huko mara miaka ya nyuma may be maana wanakisas.na makasiriko.

Binti ananipenda haswa Mimi pia nampenda

Binti kaniambia Yuko tayari kwa lolote Bora nimuoe hâta kama wakimtemga .

Kama Kuna Kuna namna ya kusolve hili ratizo naomba maelekezo/ushauri
 
Mimi ni Mwanaume 28yrs mkurya nilivofika dar nilikutana n'a bint mmoja nikamtongoza akakubali.

Huyu binti (21yrs) ni mgeni dar from mkoa X nyanda za juu kusin anaishi kwa shangazi yake dar

Hakuwahi kuniuliza Kabila nahisi alijua mimi ni from dar /pwan

kwasababu Mimi Sina ukabila sikuzingatia sana kwanini haniulizi Kabila langu.

Tuna mahusiano ya miez 11 kwa bahati nzuri alipata ujauzito kwenye uchumba manake sasa in animimba ya miez5 .

Shangazi yake aligundua ana mimbaa ikiwa n'a miez3 wakambana akanitaja.

Kwa sababu nilikua n'a malengo nae nikamwambia relax ntakuja kujitambulisha nitakuoa akakubali.

December nikarudi home kuset Mipango ya washenga na mahari.

December mwishon akanipigia simu anasema mama yake kamuuliza mwenye mimbaa/muoaji ni Kabila gani.

Nikacheka nikamuuliza umejibuje akasema amemwambia mimi ni Kabila X tofauti na mkurya.

Akadakia ghafila akasema ety mama amemwambia huyo Mwanaume /Mimi kama angekua mkurya asingekubalika ukweni

Straight nikajib Mimi ni mkurya pure Ila nmekulia dodoma wazaz mdugu karibu wote wako dodoma

nikachukulia ni masihara Kumbe ni serious nikamwambia mwambie tu ukwelii.

Akampigia simu akaniunganisha akamwambia ukweli mama akanza kufoka kumbe yupo serious anamwambia mara unatamaa, umeokoteza wAnaume Huko huwajui Mimi simtaki kama utamkubal ni Wewe mixer maneno kibao.

Nikamchunguza Bint akaniambia Kuna kaka yao aliwahi pata majanga huko mara miaka ya nyuma may be maana wanakisas.na makasiriko.

Binti ananipenda haswa Mimi pia nampenda

Binti kaniambia Yuko tayari kwa lolote Bora nimuoe hâta kama wakimtemga .

Kama Kuna Kuna namna ya kusolve hili ratizo naomba maelekezo/ushauri
Kusolve nini sasa jamaa? Mahusiano hua ni ya watu wawili, pale mioyo yao inapokua imependa, hakuna cha mzazi wala jirani anaweza kuwaamulia watu, na wazazi wengine huwatoa watoto wao kwenye eneo salama na kwenda kuwadumbukiza pabaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ya hili kabila huwa ni ukatili, hata mim mwanamke mkurya siwez kuoa, kwanza ukiwa na mke mkurya, mkipgana ndani halaf ugomvi ukaisha, kaa chonjo muda wote, ukipenda mambo ya kulala lala hawachelewag kukudunga kisu, au kukupasua na shoka! Hawa watu hasira zao haziishagi, hata mkisolve ugomvi, yeye anasolve usoni tu ila moyon kakutunza!
 
Mimi ni Mwanaume 28yrs mkurya nilivofika dar nilikutana n'a bint mmoja nikamtongoza akakubali.

Huyu binti (21yrs) ni mgeni dar from mkoa X nyanda za juu kusin anaishi kwa shangazi yake dar

Hakuwahi kuniuliza Kabila nahisi alijua mimi ni from dar /pwan

kwasababu Mimi Sina ukabila sikuzingatia sana kwanini haniulizi Kabila langu.

Tuna mahusiano ya miez 11 kwa bahati nzuri alipata ujauzito kwenye uchumba manake sasa in animimba ya miez5 .

Shangazi yake aligundua ana mimbaa ikiwa n'a miez3 wakambana akanitaja.

Kwa sababu nilikua n'a malengo nae nikamwambia relax ntakuja kujitambulisha nitakuoa akakubali.

December nikarudi home kuset Mipango ya washenga na mahari.

December mwishon akanipigia simu anasema mama yake kamuuliza mwenye mimbaa/muoaji ni Kabila gani.

Nikacheka nikamuuliza umejibuje akasema amemwambia mimi ni Kabila X tofauti na mkurya.

Akadakia ghafila akasema ety mama amemwambia huyo Mwanaume /Mimi kama angekua mkurya asingekubalika ukweni

Straight nikajib Mimi ni mkurya pure Ila nmekulia dodoma wazaz mdugu karibu wote wako dodoma

nikachukulia ni masihara Kumbe ni serious nikamwambia mwambie tu ukwelii.

Akampigia simu akaniunganisha akamwambia ukweli mama akanza kufoka kumbe yupo serious anamwambia mara unatamaa, umeokoteza wAnaume Huko huwajui Mimi simtaki kama utamkubal ni Wewe mixer maneno kibao.

Nikamchunguza Bint akaniambia Kuna kaka yao aliwahi pata majanga huko mara miaka ya nyuma may be maana wanakisas.na makasiriko.

Binti ananipenda haswa Mimi pia nampenda

Binti kaniambia Yuko tayari kwa lolote Bora nimuoe hâta kama wakimtemga .

Kama Kuna Kuna namna ya kusolve hili ratizo naomba maelekezo/ushauri
Maadam bint anakupenda na kaamua kuwa upande wako mpende sana
 
Back
Top Bottom